inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ngada,we huoni wachezaji wanatoka Brazil wanakuja kucheza miezi mitatu wanarudi kwaoWanapata wapi pesa za kudhamini timu za mpira singida united na namungo fc hali ni watumishi wa umma watueleze. Kama ni wafadhili wajulishe.
Na sio kukamata traffic au hakimu aliyekula elf 10 ya rushwa.