Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Wanapata wapi pesa za kudhamini timu za mpira singida united na namungo fc hali ni watumishi wa umma watueleze. Kama ni wafadhili wajulishe.
Na sio kukamata traffic au hakimu aliyekula elf 10 ya rushwa.
Ngada,we huoni wachezaji wanatoka Brazil wanakuja kucheza miezi mitatu wanarudi kwao
 
Tuliambiwa na lisu huyo mwigulu ni karani yani anasikiliza ya wakubwa wanataka amewekwa kwa kusudi maalum sina hakika kama hela yote hiyo ikaibwa na mtu mmoja
 
Wizi wa Magufuli tunaoujua ni 1.5 trilioni lakini ule wa Magufuli alioshirikiana na Biswalo Mganga ni zaidi ya hapo labda unaweza kufika trilioni 10 na ushee.

CCM ni walewale na mambo ya wizi na upigaji na matumizi mabaya ya fedha za Wananchi masikini ni yale yale.
Kwahiyo serikali inashindwa kujua pesa za marehemu zilipo?,alikwemda nazo mbinguni?,ifike mahala tumia akili yako kisoda kikamilifu uliyopewa na mungu kupambanua mambo unayosikia.

Kwahiyo trln 10 imekaa tu halafu nchi inatembeza bakuri kupata pesa kwa mashariti ya kugonoana?,wewe ni mbwa kabisa
 
Kwahiyo serikali inashindwa kujua pesa za marehemu zilipo?,alikwemda nazo mbinguni?,ifike mahala tumia akili yako kisoda kikamilifu uliyopewa na mungu kupambanua mambo unayosikia.

Kwahiyo trln 10 imekaa tu halafu nchi inatembeza bakuri kupata pesa kwa mashariti ya kugonoana?,wewe ni mbwa kabisa
Raisi amesema zimefunguliwa akaunti huko Uchina au ulikuwa umelala?
 
Nyie genge la wasukuma zama zenu zimepita hakuna anayesikiliza huo uzushi wenu. Mtaweweseka sana ila hamtafanikiwa. Simtetei Mwigulu uzi wako unajionesha ni wa majungu usiokuwa na ushahidi. Mpina mi nanfahamu tangia anasoma ni mtupu km ndiyo mnamtegemea mjue hilo nii tambara bovu
Muda si mrefu utajua hujui
 
Jamaa huyu anaupenda sana urais kwahiyo anajikusanyia fedha nyingi sana kwa ajili ya kampeni zijazo. Namshauri ajitahadhari sana asije akawa kama kigoma anayelima.
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR

View attachment 2595078
Mimi nafarijika sana hawa mafisi wakiraruana wenyewe kwa wenyewe
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR

View attachment 2595078
Ndiyo maana Esther Luxury Coach fleet imeongezeka maradufu
 
If you asked me hata Samia anahusika..., Huu uozo umetokea under her watch..., kwahio na yeye awajibike.... (Ila ndio hivyo tena sheria, na haki sio necessarily the same thing)
 
Ukimuona na tai yake ya bendera ya taifa utafikiri ni mzalendo kumbe jizi, inashangaza hadi leo yuko ofisini. Aishatuambia kama hatutaki tozo tuhamie Burundi, kumbe anataka tozo ili apige pesa akahudumie singida United
Ashukuru tu ana walinzi lkn anastahili kukamatwa na kupakwa Vaseline msng huyu. Lina dharau wakati hata jamii yake inajulikana ina maisha duni
 
Back
Top Bottom