Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Hili Taifa Mungu analipenda Sana, Anyone with Evil plan wont prevail
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana.. inafurahisha sanaMimi nafarijika sana hawa mafisi wakiraruana wenyewe kwa wenyeweView attachment 2595183
Mpigaji balaa. Halafu analeta mabasi waziwazi kujifanya hajaiba kitu. Mama timua huyo.Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Hivi mna amini yuko peke yake?Ikiwa rais hatamchukulia hatua basi tutajua kuwa na yeye ni sehemu ya ufisadi huu
Bado wapo wanaoisifia mkuu awamu ya sita,lakini ni kweli,awamu hii ni very incompetent.Lakini tangu lini watu wa pwani wakawa serious,wanejaa uswahili Swahili tu.Pamoja na haya, ajabu Rais akaishia kuvunja bodi tu ya shirika la Reli, wakati inaonekana kuna uozo mkubwa zaidi unafichwa..
Mwigulu anastahili kufikishwa mahakamani kwa hizi tuhuma kama zikithibitishwa, licha ya kuhusishwa kwake na huu wizi kunakoendana nae kuonekana kuwa na mali nyingi zaidi ya kipato chake, bado yupo ofisini miguu juu akibuni tozo mpya kwa ajili yetu.
Kiongozi kama huyu ingefaa kabisa awekwe pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake, bahati yake ni miongoni mwa watoto pendwa wa mama, awamu hii imekuwa incompetent sana.
Ni ajabu sana jinsi watu wanavyojifanya hawakumbuki maswala muhimu, hadi hapo yasiyotegemewa yanapoibuka.MPINA: WAZIRI MWIGULU ANAHUSIKA NA UFISADI WA TRILIONI 1.7 MRADI WA SGR
"Kulikuwa na kutokufuata sheria ya manunuzi wakati wa kutoa zabuni ya mradi wa SGR.Kwa mujibu wa ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 inaonyesha kuwa gharama ya ujenzi wa SGR Lot. Na. 3 na Lot. Na. 4 ziliongezeka kwa dola za Marekani milioni 1.3 na milioni 1.6 kwa kilomita moja ya SGR baada ya TRC kuacha njia ya ushindani na kutumia njia ya Single Source na kusababisha hasara ya jumla ya Tsh. Trilioni 1.7 Licha ya PPRA na bodi ya zabuni ya TRC kukataa sharti la kutumia mzabuni mmoja, lakini TRC ilitoa zabuni hiyo kwa njia ya Single Source kwa kampuni ya Yapi Merkezi.Maamuzi haya yalitokana na
maelekezo ya Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri @mwigulunchemba1 kwa barua yenye Kumb: PST/GEN2021/01/55" Mhe.Luhaga Mpina Bungeni
Baharini hakuna mamba Mkuu.Mwigulu anafaa kufungwa jiwe zito shingoni na kutupwa baharini akaliwe na mamba
Hafai Hata kidogo
Inawezekana nawe umesahau lililpoanzia hili jambo la SGR na mabadiliko hayo ya 'Single Source'.Pamoja na haya, ajabu Rais akaishia kuvunja bodi tu ya shirika la Reli, wakati inaonekana kuna uozo mkubwa zaidi unafichwa..
Mwigulu anastahili kufikishwa mahakamani kwa hizi tuhuma kama zikithibitishwa, licha ya kuhusishwa kwake na huu wizi kunakoendana nae kuonekana kuwa na mali nyingi zaidi ya kipato chake, bado yupo ofisini miguu juu akibuni tozo mpya kwa ajili yetu.
Kiongozi kama huyu ingefaa kabisa awekwe pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake, bahati yake ni miongoni mwa watoto pendwa wa mama, awamu hii imekuwa incompetent sana.
Vyovyote vile ilimradi tu kazama Chini ya Bahari na jiwe zito shingoniBaharini hakuna mamba Mkuu.
Uongo na majungu matupuWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Balaaaaaaduh aiseeee
[emoji38][emoji38][emoji38]Wakiwamaliza wapinzani wataanza wao kwa wao
Acha wivupapuchi ya uw..., ni ile ile au nyingine? si bora tu angeenda ohio hapo angepata iliyo nafuu?
Tatizo ni Rais, anaiba kupitia huyo Mwigulu. Kujua vizuri haya mambo unahitaji akili yako ifanye kaziMama hapo hana mgao?