mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Japo ni tuhuma ila hutosikia Mama anafanya chochote hapa na ndiyo maana mawaziri wake wanamdharau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio maana uchumi wa China unakuwa kwa kasi ya5G.Siri tunawapelekea mpunga😂😂😂China
Inyeshe tuone kuku anavyolowa🏃Acha inyeshee
Wasuku.a wana nongwa na watu watatuWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Serious!This is serious allegation...
Tatizo linaanzia hapo. Wanaiba! Wanatajana! Wanasafishana! Uchaguzi ukija wanaibua propaganda utafikiri ccm ni chama kinasajiliwa upya kila uchaguzi!Wizi wa Magufuli tunaoujua ni 1.5 trilioni lakini ule wa Magufuli alioshirikiana na Biswalo Mganga ni zaidi ya hapo labda unaweza kufika trilioni 10 na ushee.
CCM ni walewale na mambo ya wizi na upigaji na matumizi mabaya ya fedha za Wananchi masikini ni yale yale.
Mpina anaongea jumla jumla kwa maana hiyo basi wizara zote madudu yake yabebwe na wazir wa fedha maana ndo mlipaji?Pamoja na haya, ajabu Rais akaishia kuvunja bodi tu ya shirika la Reli, wakati inaonekana kuna uozo mkubwa zaidi unafichwa..
Mwigulu anastahili kufikishwa mahakamani kwa hizi tuhuma kama zikithibitishwa, licha ya kuhusishwa kwake na huu wizi kunakoendana nae kuonekana kuwa na mali nyingi zaidi ya kipato chake, bado yupo ofisini miguu juu akibuni tozo mpya kwa ajili yetu.
Kiongozi kama huyu ingefaa kabisa awekwe pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake, bahati yake ni miongoni mwa watoto pendwa wa mama, awamu hii imekuwa incompetent sana.
Kweli nilisahau, huu ni mpango wao wa kuchota, ndio maana hata zile za tozo siku hizi hatuambiwi zimekwenda wapi wala zimekusanywa ngapi, tupo chini ya kundi la majambazi.Inawezekana nawe umesahau lililpoanzia hili jambo la SGR na mabadiliko hayo ya 'Single Source'.
Hili jambo alilizungumzia Samia mwenyewe lilipokuwa likifanyika.
Hapa akina Mpina ni namna tu ya kushindwa kueleza linakotokea tatizo kwa kuogopa uzito wa aliyeruhusu lifanyike, badala yake wanaona ni rahisi waelekeze mashambulizi kwa waziri.
Simtetei Mwigulu kwa jambo lolote, lakini ufafanuzi huu inabidi utolewe ili watu wajue tatizo linaanzia wapi.
Serikali ya Samia, nadhani kwa pamoja walikaa chini na kuamua kutafuta vyanzo vya pesa kwa malengo waliyo nayo wenyewe ndani ya chama chao.
Hizi ni hela zinazokusanywa kwa lengo hilo maalum.
Hayo maigizo anayofanya Samia kwa kuvunja Bodi ya wadhamini, utadhani kuwa hata yeye hakumbuki alichowahi kuzungumzia wakati wakifanya maamuzi hayo.
Na kwa jinsi nchi yetu ilivyo sahaulifu, mbinu zao kila mara hufanikiwa kwa kuvungavunga tu mambo bila ya kuweka ufumbuzi unaoeleweka.
Hizi peas anazodaiwa kuzichota Mwigulu, huo ni mpango maalum ndani ya chama chao wa kukusanya pesa.
Mwigulu, kama Mwigulu hana uwezo wa kukwapua kiasi hicho cha pesa, bila ya mpango kama huo.
Ndio maana hamshughulikii Mwigulu.Tatizo ni Rais, anaiba kupitia huyo Mwigulu. Kujua vizuri haya mambo unahitaji akili yako ifanye kazi
ccm ni mashoga na majiz ya kodi za ruzuku, hasa limagufuli lilikuwa jambaz la matrillion ya pesa bora lilikufa Mungu alichome moto mpaka lilie MAYU NOYAGA.Kuna wezi wa ruzuku na pesa za maridhiano
USSR
mbowe hana konyagi labda kama wewe unaishi kwenye madanguro ya mashoga huko ccm ndio maana akili zako zimekaa kiupindeupinde.Unaishia kwenye konyagi za mbowe
USSR
HV luhaga mpina c ana Akili timamu?tuhuma Hz ingekuwa ulaya mwigulu alipaswa kujiudhulu kupisha uchunguzi.cdhani kama vyombo vyetu vya dola Viko sirias.vingelala mbele na mtoa tuhuma na mtuhumiwa mpaka mbivu na mbichi ijulikane.Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Lakini jambo la kusikitisha sana sasa, hata akina CHADEMA husikii wakiyaibua haya, sijui ni sehemu ya maazungumzo ya maridhiano?Kweli nilisahau, huu ni mpango wao wa kuchota, ndio maana hata zile za tozo siku hizi hatuambiwi zimekwenda wapi wala zimekusanywa ngapi, tupo chini ya kundi la majambazi.