Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

Hii hoja itakufa kimya kimya! Maana Mpina atawapelekea ushahidi ulio wazi mpaka tender kwamba imegawiwa kimya kimya! Hapo Tulia atatulia na majibu ya Mpina bila kufanya mjadala!
Tulia na Bashe wana ukaribu sana
 
Hata kabla ya kuleta ushahidi ujumbe wa Mpina umeshafika.

iyo ndio Quid Pro Quo corruption ya uagizaji sukari.
Umeeleza vizuri kwa lugha rahisi. Kitu ambacho sijaelewa ni; Mpina anasema Waziri hatangazi tenda na Waziri kasema ni kweli tenda za kuagiza Sukari nje hazitangazwi. Mpina kaendelea kusema hilo ni kosa kisheria . Sasa huo ushahidi wanaotaka ni upi.
 

Mpina atakiwa kuwasilisha ushahidi wa Bashe kusema uongo bungeni​

Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amempa siku 10 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwasilisha uthibitisho kwamba Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe amelidanganya Bunge.

Dk Tulia ametoa maelekezo hayo wakati akiahirisha Bunge leo Juni 4, 2024 baada ya Mbunge huyo kudai Waziri Bashe amesema uongo na amevunja sheria.

 
Wewe unamatatizo binafsi na Mpina. Angalia mada iliyopo na ujibu, acha kuzalisha mada ndani ya mada za watu. Anzisha uzi tutakuja huko.
Wewe umesema huwa hakosi ushahidi, niwekee hapa ushahidi kuwa Trillion 30 zilifisadiwa ilihali bajeti ni Trillion 50.

Pia miamala shuku anasema hapo eti Trillion 120, Mwigulu akamuuliza yaani miamala shuku inalingana na GDP? akakosa majibu.

So huyo Mpina ni kilaza tu, sisi watu makini tunajua ni mpotoshaji tu kuwapata wajinga kama wewe. Kama unabisha hili nitajie ni takwimu gani amewahi kuwa sahihi?
 
Muongo wewe, na sijui unatoa wapi taarifa zako, njoo bungeni upate ukweli. Kinachoongelewa hapa ni hoja ya NFRA na Sugar Gape kama ilivyo wasilishwa na Bashe.

Na Mpina alivyo mpinga Bashe alijibu pale pale akamwambia Spika kwamba Mpina yuko sahihi, NFRA ndio walibadilisha kanuni, lakini Bodi ya sukari ndiyo iliyokuwa inatoa mapendekezo ya kisi cha kununua nje siyo NFRA.

Wewe umetoka kilabuni sijui unadakia tu kisa umeona jina la Mpina na humpendi.
Haya majangili ya mali za umma lazima yajihami
 
Wewe umesema huwa hakosi ushahidi, niwekee hapa ushahidi kuwa Trillion 30 zilifisadiwa ilihali bajeti ni Trillion 50.

Pia miamala shuku anasema hapo eti Trillion 120, Mwigulu akamuuliza yaani miamala shuku inalingana na GDP? akakosa majibu.

So huyo Mpina ni kilaza tu, sisi watu makini tunajua ni mpotoshaji tu kuwapata wajinga kama wewe. Kama unabisha hili nitajie ni takwimu gani amewahi kuwa sahihi?
Wewe unaongea vitu gani? Umesoma bandiko la mleta mada lakini au umeshalewa?
 
Bashe anatosha sana kwenye bongo movie jamaa ni muigizaji mzuri sana bungeni anavyoongea kwa machungu utadhani anajali kweli.

Nilidhani atakataa hawajatoa vibali vya kuagiza tani łąki nne, nikasikia hadithi za viwanda kutozalisha kwa miezi nane toka mwezi wa kumi mwaka jana.

Sasa kama walikuwa awazalishi, pamoja na kupewa vibali vya kuagiza hawakufanya hivyo; huko kwenye magodown yao walikuwa wanaenda kupekuwa nini sukari ilipoadimika.

Doesn’t add up, Bashe ndio muongo story yake aipo consistent.
 
Hata kabla ya kuleta ushahidi ujumbe wa Mpina umeshafika.

Mhe. Mpina siku zote analia na upigaji kwenye vibali vya uagizaji commodities, anamwambia waziri awe anafuata utaratibu unaopangwa na Bodi ya Sukari, na sio utashi wake.

Leo Waziri Bashe kakiri kwamba uagizaji wa sukari haunaga zabuni.


Kwa hiyo Waziri anaweza akajiamulia akampigia simu let's say Pascal Mayalla akamwambia Pascal jiandae kesho nakupa kibali cha kuagiza sukari. Jiandae means kachukue hata mkopo kwa kutumia kibali hiki, hela lazima irudi, nchi nzima itakula sukari yako wewe, bei utapanga wewe, nani atakunyima mkopo?

Ila cha juu lazima urudishe kwa Waziri. Hiyo ndio Quid Pro Quo corruption ya uagizaji sukari.
Quid pro quo .... Teeeh watoto na form failure hawawezi kuelewa hiii.
 
Wewe umesema huwa hakosi ushahidi, niwekee hapa ushahidi kuwa Trillion 30 zilifisadiwa ilihali bajeti ni Trillion 50.

Pia miamala shuku anasema hapo eti Trillion 120, Mwigulu akamuuliza yaani miamala shuku inalingana na GDP? akakosa majibu.

So huyo Mpina ni kilaza tu, sisi watu makini tunajua ni mpotoshaji tu kuwapata wajinga kama wewe. Kama unabisha hili nitajie ni takwimu gani amewahi kuwa sahihi?
Aliombwa ushahidi lini juu ya hili na hakupeleka?
Kama ushahidi wa waziri mkuu kupulizwa ulipelekwa ni hatua gani zikichukuliwa?
 
Umeeleza vizuri kwa lugha rahisi. Kitu ambacho sijaelewa ni; Mpina anasema Waziri hatangazi tenda na Waziri kasema ni kweli tenda za kuagiza Sukari nje hazitangazwi. Mpina kaendelea kusema hilo ni kosa kisheria . Sasa huo ushahidi wanaotaka ni upi.
okay, ni suala la sura mbili.

Kuvunja sheria: Mpina kamshutumu Bashe kuvunja sheria kwa kuagiza sukari kwa utashi wake badala ya kwa maagizo ya bodi ya sukari.

Kusema uongo: Mpina ana ushahidi wa kinyaraka kwamba kibali kilichotolewa na bodi ya sukari ni cha kuagiza tani lakini moja unusu tu, na sio laki nne na nusu Bashe alivyosema.

Tatizo ni nini ?

Ni kwamba sukari inayoagizwa under control ya mtu ( Waziri ) badala ya taasisi (bodi ya sukari), ilishaonekana kitambo ina mianya ya rushwa kubwa, grand corruption. Kibali anapewa mtu ambae Waziri keshampanga kurudisha maokoto, kick-back payment. Shehena ya sukari inakuja kama zana za JWTZ au kifurushi cha Ikulu kinapopita na diplomatic tag pale Nyerere Airport, hakichajiwi ushuru, hakipitishwi kwenye scanner, hakicheleweshwi, hakihojiwi, hakiguswi. Ni mzigo wa kwenda kulisha nchi.

Ukiwa na kibali kama hicho hata kama una mtaji wa Mmachinga na kibali cha Mmachinga benki yeyote nchini itakuandia blank check, kiasi gani unajaza mwenyewe.

Mwisho wa siku ukishafunga duka, usiporudisha kick-back kwa aliyekupa kibali, msimu ujao hupewi biashara ya nchi!

Bashe kakiri bungeni kwamba uagizaji commodities huwa wanaufanya kibingwa, kiholela, haunaga zabuni !
 
Wewe unaongea vitu gani? Umesoma bandiko la mleta mada lakini au umeshalewa?
Bandiko lipi, si bado hajaleta ushahidi so tutabishana tu bila sababu. Ila nimekataa hoja yako kuwa Mpina huwa hadanganyi, maana amewahi danganya huko nyuma kuhusu Trillion 30 kufisadiwa na pia Miamala shuku Trillion 120!! Ndio maana nimekuuliza kama aliwahi toa ushahidi wa hizo hoja mbili hapa nitajie ni lini alifanya hivyo?

Mpina anacheza na numbers tu akiamini waTanzania ni wajinga hawana muda wa kutafiti. So hata akidanganya, serikali ikikanusha bado watu wataamini alichosema Mpina. Ni strategy nzuri kuongeza mtaji wa kisiasa hasa kwa wajinga kama wewe ila kwa watu makini wanamuona opportunist tu.

Haya msaidie kutoa ushahidi kuwa Trillion 30 ilifisadiwa according to CAG report
 
Bashe kakiri bungeni kwamba uagizaji commodities huwa wanaufanya kisela na kiholela, haunaga zabuni
Bottom line is, kavunja sheria gani? Maana loophole ya kisheria ni kosa la bunge sio waziri.

Kingine waziri kasema walipewa vibali hao Kagera sugar etc lakini hawakuingiza sukari mlitaka afanyeje?
 
Back
Top Bottom