Amevunja sheria inayosema Waziri alipaswa kufuata matakwa ya kibali cha bodi ya sukari, ambacho kilichosema waagize tani laki moja na ishirini tu, na sio laki nne na kumi. Hilo moja.Bottom line is, kavunja sheria gani? Maana loophole ya kisheria ni kosa la bunge sio waziri.
Kingine waziri kasema walipewa vibali hao Kagera sugar etc lakini hawakuingiza sukari mlitaka afanyeje?
Mbili, unaposema Kagera Sugar hawakuagiza sukari, tulitaka Bashe afanyeje. Tunataka Bashe atueleze mfanyabiashara kaomba kibali cha kuagiza sukari, hakuagiza sukari, kwa nini hawakuagiza sukari ? Kwa nini mnatupa maelezo shallow na ya kivivu kama hayo?
Kwa nini Kagera Sugar waombe kibali halafu wasiagize sukari ????????????????????????????????????????