Kiongozi njia ya mtu muongo ni fupi.
Maelezo ya Bashe hayakuwa na mterereko sahihi.
Mpina ni ropo-ropo pekee yake.
But when he is coached, ufisadi upo wazi.
Kwenye hili sukari Bashe, achomoki
Shida sio Bashe, Iła bajeti ya 1.3 ambayo asilimia kubwa inaenda kuliwa na mafisadi.
Hata huyo poyoyo mwenyrwe Bashe anatumika bila ya kujua.
Mafisadi yana akili sana, wape poyoyo anaejifanya mjuaji (wanamlisha kidogo), halafu yenyewe yanapiga inavyotakiwa.
Mafisadi halisi ni watu wenye uwezo mkubwa wakuendesha nchi wakiamua kwa maendeleo ya Tanzania, sema wameamua kujifurahisha wao.
Hivi unadhani watu walioamua kumtoa Kakoko bandari na kumuweka yule mwanasheria uchwara Mbossa ni wajinga (wana malengo yao kuwapa nafasi nzito wasio na uwezo).
Ni poyoyo kama ‘Plasduce Mikeli Mbossa’ ndio anaweza DP World na wahindi long term contract walizopewa kwa sababu yeye mwenyewe hajui what he is giving.
Wewe kwa akili zako unatia huruma kwa vitu unavyotetea at times I think you are pathetic and shallow (though I know you read).