Luis Miqsonne achaguliwa mchezaji bora wa wiki CAFCL

"Asivimbe kichwa kuona yeye ni hatari Africa nzima"
Mbona unateseka sana kiongozi kwani mleta mada kasema hivyo?
Anyway nenda kaboreshe vyumba vya M6 hayo ndiyo mafanikio ya ya timu yenu.
#kilo800
NB๐Ÿ˜›ovu ruksa
 
wakuu kuna posho yyte hutolewa kwa mchezaji bora wa wiki??
 
Wivu utawaua nyie Utopolo
 
Unajtafutia dhambi kumfananisha miquison na TK master ni dhambi za kujtafutia kwa sauti ya haji mara[emoji28][emoji1787][emoji23][emoji28]
 
Mkuu mbn hasira ivo
 
Yanga bado Wana kibarua leo huko mkwakwani na jumapili sheh amri abeid huko Arusha. Wakiambulia point 2 washukuru Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ