Basi inawezekana injury na mfumo wa kocha au mazingira yamemuathiri ila uchezaji wake akiwa yanga ni WA kawaida sanaSkudu ni mchezaji mzuri sana amkekosa muda wa kucheza ile injury ya kwanza ilimtoa kwenye reli
kwa msahahara tu ambao alikuwa analipwa unaweza kusajili wachezaji watatu na kuimarisha timu ikawa bora kuliko kuwa na mchezaji anaishia benchi aende singida fauntain gate huko
Luis Jose Miquisone kuondolewa kwenye kikosi cha Simba SC ni pigo jingeni kwa viongozi wa Simba sc.
Ushauri kwa Yanga Sc na Azam fc mchukueni Luis Miq atawasaidia sana kwenye Club bingwa Afrika.
Viongozi wa simba sc hawana maono hapa wamefeli kumuondoa luis
Wakati Gamondi anaanza kuifundisha Yanga, alikuwa anamchagua Skudu dhidi ya Pacome. Pacome hakuingia first eleven ya Yanga na hakuna aliyejua Pacome anakitu mguuni. Mechi ya Yanga dhidi ya Kaizer chief, Skudu alionesha kiwango kikubwa sana hakupoteza pasi na alipiga cross nyingi zenye hatari ila hazikutendewa haki. Skudu ndiye aliyeonekana ni mchezaji hatari kwa Yanga, mechi dhidi ya Azam, wachezaji wa Azam wali deal zaidi na Skudu na kufanikiwa kuumiza Skudu na kumuweka nje ya uwanja kwa muda mrefu. Kwanzia hapo maisha ya Skudu kwenye kikosi cha Yanga ikawa tofauti, kaja kukuta Gamondi mfumo wake umesha click kwa uwepo wa Pacome, Max na Aziz Ki.Basi inawezekana injury na mfumo wa kocha au mazingira yamemuathiri ila uchezaji wake akiwa yanga ni WA kawaida sana
Skudu ni pro tunategemea afanye zaidi
ifke mahali watu wapewe elimu mpra wamiguu lazma ifanye mabadliko Real Madrid waliwaacha kna CR7 bale wakiamn wapishe kzaz kngne lakn uku bongo unakaa na mchezaji mpaka anacheza na wajukuu et atakupa impact ifke tu chama miqson sjui saido wamefanya kaz kwa wakat wao tumeona ila tunaitaji madogo wakumalizia hyo ndoto iliyo achwa njianSidhani kama anafaa badala ya kucheza mpira huwa anacheza na jukwaa
Sahihi kabisa.ifke mahali watu wapewe elimu mpra wamiguu lazma ifanye mabadliko Real Madrid waliwaacha kna CR7 bale wakiamn wapishe kzaz kngne lakn uku bongo unakaa na mchezaji mpaka anacheza na wajukuu et atakupa impact ifke tu chama miqson sjui saido wamefanya kaz kwa wakat wao tumeona ila tunaitaji madogo wakumalizia hyo ndoto iliyo achwa njian
Hili ni neno la siku kwao simba.ifke mahali watu wapewe elimu mpra wamiguu lazma ifanye mabadliko Real Madrid waliwaacha kna CR7 bale wakiamn wapishe kzaz kngne lakn uku bongo unakaa na mchezaji mpaka anacheza na wajukuu et atakupa impact ifke tu chama miqson sjui saido wamefanya kaz kwa wakat wao tumeona ila tunaitaji madogo wakumalizia hyo ndoto iliyo achwa njian
Kwao siyo Nigeria, Okra magic alitoka club ya Bechem ya kwao GhanaMkude alienda kuchukua nafasi ya bangala na hata mshahara wake sio mkubwa ukilinganisha na wa Miqquisone.
Okrah kwenda yanga hakutokea simba. Okrah alisajiriwa yanga akitokea kwao nigeria ambapo alikua na kiwango kizuri tu ivyo lengo lilikua kuimarisha kikosi kwa kuziba nafasi iliyoachwa na jesus moloko.
Sijaelewa point yako ya kum-challwnge uyo jamaa ni ipi maana wewe mwenyewe kukiri hizi ni sajiri za kimhemko tayari unakubaliana na yanga kumtomsajiri miqquisone, au unataka yanga amsajiri tu Miqquisone kuendeleza huo utamaduni wa sajiri za mihemko?
Kwaiyo alivosajiliwa Sherhan kutoka Zanzibar ilikuwa mihemko?Sasa kama walikuwa pamoja hapo wote kwanini unasema sababu ya Mkude kutopewa nafasi ilikuwa ni kutokana na Mudathiri ikiwa Mkude kuletwa kuziba gap la Bangala?
Sijui unanielewa point yangu?
Halafu utambue kuwa Mudathiri ni Central Midfielder wakati Bangala ni Defense Midfielder. Kwa hiyo kusema sababu ya Mkude kutocheza ni kwasababu ya Mudathiri haiwezi kuwa hoja yenye mashiko kulinganana na majukumu yao yanavyotofautiana kiwanjani
Unaubishi wa kijinga sanaKama Aucho na Mudathiri ndio combinations nzuri baada ya kuondoka Bangala basi replacement ya Bangala ni Mudathiri sio Mkude.
Na kama Mudathiri alikuwa na kiwango hicho kabla ya Mkude halafu bado wakenda kumsajili Mkude ambaye anaozea benchi, basi ndio yaleyale ya ulimbukeni tuliyoyasema
Unajua sababu za kuanzia benchi Bangala katika mechi za mwishoni zilisababishwa na nini?Unaubishi wa kijinga sana
Msimu wa mwisho wa nabi bangala hakua na namba alianzia benchi hata mechi ya fainal vs usm alger alikua bench
Bangala msimu wa mwaka juzi 2022/2023 na wa mwisho kwa nabi hakua first eleven alikua anaanzia bech na mechi nyingi sana alikua hachezi sasa sijui unachobisha nini
We hujui mpiraUnajua sababu za kuanzia benchi Bangala katika mechi za mwishoni zilisababishwa na nini?
Unakumbuka Bangala kuna muda alikuwa anachezeshwa eneo la beki unajua sababu ilikuwa ni nini?
Kuna sababu yeyote unaweza kuitaja kuwa kushuka kwake kiwango ndio kulikopelekea Bangala kuanzia benchi?
Au ni personal issues tu za nje ya uwanja?
Sasa je na Mkude naye anakaa benchi kwasababu zilezile zilizomuweka benchi Bangala?
Au ni swala la kiwango?
Waua vipaji
Luis Jose Miquisone kuondolewa kwenye kikosi cha Simba SC ni pigo jingeni kwa viongozi wa Simba sc.
Ushauri kwa Yanga Sc na Azam fc mchukueni Luis Miq atawasaidia sana kwenye Club bingwa Afrika.
Viongozi wa simba sc hawana maono hapa wamefeli kumuondoa luis
Kufananisha na nani?We hujui mpira
Kwaiyo akina Rodrigo, camavinga, Tchuman ,Miltao wanavoanzia benchi Madrid hawana kiwango
NdiyoKufananisha na nani?
Na Mkude?
Mbona unaongea habari za kufikirika a.k.a za vijiweniUnajua sababu za kuanzia benchi Bangala katika mechi za mwishoni zilisababishwa na nini?
Unakumbuka Bangala kuna muda alikuwa anachezeshwa eneo la beki unajua sababu ilikuwa ni nini?
Kuna sababu yeyote unaweza kuitaja kuwa kushuka kwake kiwango ndio kulikopelekea Bangala kuanzia benchi?
Au ni personal issues tu za nje ya uwanja?
Sasa je na Mkude naye anakaa benchi kwasababu zilezile zilizomuweka benchi Bangala?
Au ni swala la kiwango?
Ok nilichanganya kidogo hapo ila point yangu ilikua ni kwamba hakwenda yanga straight from simbaKwao siyo Nigeria, Okra magic alitoka club ya Bechem ya kwao Ghana
Ni kweli, Simba wanakosea Sana kusema Yanga wanachukua mabaki waliyoyatema, Yanga wamemsajili Okra kutoka Bechem fc, pia wanasahau wao walivyomchukua Morrison kimagumashi.Ok nilichanganya kidogo hapo ila point yangu ilikua ni kwamba hakwenda yanga straight from simba
Nilichanganya kidogo hapo ila anatokea nchi za uko uko afrika magharibi lakini msingi wa hoja yangu ilikua ni kusema kwamba okrah hakukwenda yanga straight from simbaOkrah mnigeria πππππ