LUIS SUAREZ na familia yake ndani ya maldives

LUIS SUAREZ na familia yake ndani ya maldives

Mila za mabeberu ni ushamba mtupu. Wakati wao wakivaa chupi tu mbele ya watoto wao sisi huko ndo tuko kwenye mjadala kwamba je, ni sahihi chupi za kike kuanikwa nje kwenye kamba? Mabeberu ni watu wa hovyo.
Chupi za kike zinaanikwa wapi kwani? Ndani vyumbani au bafuni? Ndio maana mifangazi haiwaishi. Limwanamke usoni zuri ila njoo katikati ya mapaja sasa! Utakimbia.
 
Huku bongo mwanamke paja TU likikaa wazi kwenye daladala mtu mpk mbegu zinamwagika[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unajiuliza inakuwaje wengine wale dunga dunga kwenye daladala
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unajiuliza inakuwaje wengine wale dunga dunga kwenye daladala
Ha ha ah...
 
Uruguay, third world wenzetu wamechukuia poa...

Marekani super star athlete katolewa michuano bado inaendelea hawezi kwenda kula bata na kuji post ovyo ovyo hivyo... Media ingemla nyama na thamani yake na heshima yake ingepungua.... Unaonekana hauko competitive, hujali legacy yako, nothing...
 
Uruguay, third world wenzetu wamechukuia poa...

Marekani super star athlete katolewa michuano bado inaendelea hawezi kwenda kula bata na kuji post ovyo ovyo hivyo... Media ingemla nyama na thamani yake na heshima yake ingepungua.... Unaonekana hauko competitive, hujali legacy yako, nothing...
Sasa mkuu Suarez tyari Ana Miaka 35 anamafanikio yote katika soka na mda Si mrefu atastaafu so Lazma wamuache aenjoy nayeye
 
Back
Top Bottom