dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Chupi za kike zinaanikwa wapi kwani? Ndani vyumbani au bafuni? Ndio maana mifangazi haiwaishi. Limwanamke usoni zuri ila njoo katikati ya mapaja sasa! Utakimbia.Mila za mabeberu ni ushamba mtupu. Wakati wao wakivaa chupi tu mbele ya watoto wao sisi huko ndo tuko kwenye mjadala kwamba je, ni sahihi chupi za kike kuanikwa nje kwenye kamba? Mabeberu ni watu wa hovyo.