Nafikiri Conte kamnunua Morata kwa sababu hiyo kuu. Kwamba ata-fit well kwenye hivyo viungo. Time will tell.Zile pasi za Fabregas, na Cross za Mozes+Pedro.....ukileta dribbles penetration pass za Hazard lazima Morata atakuwa tishio...
Yupo very powerful. He is big, strong and quick as well. Proved in the Premiership, but not in big club that faces more defensive sides more often. Time will tell as well.Ila hata Lukaku si wakibeza Lile lijamaa nalo Balaa
Nimeangalia EPL miaka mingi na wafungaji wengi nawafahamu, Lukaku ni kati ya wafungaji ambao hawajawahi kunivutia. Hana magoli mazuri, technically hayuko vizuri kabisa. Morata sijamuona sana akicheza lakini nikiangalia hata clips zake youtube zinavitia.
Ilikuwa kama vile Morata asajiliwe na Man Utd na Lakaku asajiliwe na Chelsea. Lakini imekuwa kinyume chake. Man Utd wamemsajili Lakaku na Chelsea wanamsajili Morata.
Wapo wanaodai kuwa Lakaku ni striker mzuri zaidi kuliko Morata. Pia wapo wanaodai Morata ni mkali zaidi kuliko Lakaku.
Bado ni mapema sana kujua nani mkali zaidi, lakini siyo vibaya kutoa maoni yako juu ya nani aliye mkali zaidi japokuwa muundo wa timu nzima nao unachangia kwa striker kucheza vizuri zaidi na kufunga magoli ya kutosha.
Lukaku is quick?Nafikiri Conte kamnunua Morata kwa sababu hiyo kuu. Kwamba ata-fit well kwenye hivyo viungo. Time will tell.
Yupo very powerful. He is big, strong and quick as well. Proved in the Premiership, but not in big club that faces more defensive sides more often. Time will tell as well.
Kwa nini walikataa? Mourinho alidai kuwa walishindwa kumsaji Morata kwa sababu walishindwa kukubaliana bei. Kwamba ndo iliyofanya Man Utd kwenda kumnunua Lakaku kwa £75. Lakini Real Madrid wamekubali kumwuza Morata Chelsea kwa £60m.
Hapo ndo najiuliza ni sababu gani hasa Madrid walikataa au waliwatamkia Man Utd dau kubwa?
Unamaanisha kupwaya huku against rent boys?Labda ndo maana kwenye big games huwa anapwaya?
jamaa ameonyesha kuwa anaijuwa vizuri Premier League na ni mmoja wa mastraika wakali kwa miaka 3 mfululizo hivi sasa.
Hatimae na wewe umejitokeza mwenye mawazo tofauti.Lukaku ni bora mara kumi ya Morata. Japo siipendi Man juu. Muda utaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama shabiki wa Arsenal, your opinion on Lukaku's move to OT is irrelevant. It doesn't matter at all! Kama unamwona na flaws, is that not good for you as a Gooner?
Nadhani msimu uliyopita ndo alicheza vizuri kuliko misimu ya nyuma. Kweli Lakaku ni proven striker in the Premiership, but not in a big club. Morata has played in big clubs, but not proven in the Premier League.
We will have to wait and see. Who knows within the first 15 games tutakuwa tushajua nani mkali zaidi.
Ebu weka stats za mechi alizoanza kwenye kikosi cha kwanza. Bila kusahau mechi kubwa kubwa.Morata has played in big clubs, but not proven in the Premier League.
.
Nipo ndugu yangu! Tunamshukuru Mungu kwa uzima! Nasubiria kwa hamu mtanange wa EPL msimu ujao.Heshima yako Mkuu. Long time! Tokea Mourinho ahamie Man Utd umekuwa mkimya. Nakukumbuka enzi za David Moyes.
Bora wewe umekuwa wazi!Morata darajani karibu sana jembe
Kwa Mimi naona morata ni bora kwakua kaja Stamford bridge
Ni mapenzi tu
Heavy Weight