Hahaaa umetishaaaBinafsi napenda kuchangia huu mjadala kwa kuangalia angle hizi hapa:
Kati ya Everton na R.Madrid ipi timu kubwa zaidi; bila shaka ni R Madrid nikiwa na maana kuwa kuna a very strong squad yenye build up ya goli kuanzia kwa golikipa hadi strikers. R Madrid hawana tofauti sana na Juventus; lakini Everton haipo level sawa na Juve wala R Madrid
Kwa maneno mengine Morata ana sapoti kubwa sana uwanjani kuliko alivyo Lukaku kutokana na tofauti pamoja na uwezo wa timu husika. Bado Lukaku ameng'ara zaidi ya Morata anayecheza sambamba na Ronaldo ama Benzema ama Gareth Bale; huku Lukaku akipambana kama jeshi la mtu mmoja.
Cha ajabu ni kwamba pamoja na kuwa Morata amekuwa kwenye timu kubwa kubwa bado ameshindwa kuwa kwenye strong first team akiwa Juve na hata R Madrid; yaani amekuwa kama sup kwenye timu zake; wakati Lukaku akifanikiwa kuwa kwenye first team na kufanikiwa pia kuibeba Everton
Ninachokiona ni kuwa ukweli ni kuwa Juve na R Madrid ni timu kubwa na imara zaidi ya Chelsea; na kama Morata alishindwa kung'aa vema na R Madrid kiasi cha kuweza kuwa chaguo namba moja basi nahofia kuwa Chelsea ndo atapotea zaidi maana nature ya ligi ya epl ni tofauti na ligi alizowahi kuzicheza hapo awali kuanzia timu yenyewe hadi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
Kuhusu Lukaku; ni matumaini yangu huenda akarekebisha matatizo yake ya first touch na kumfanya kuwa kati ya wachezaji wakubwa sana Duniani kwa kuwa sasa ana sapoti ya nguvu kuanzia akina Pogba, Miki, Lingaard, Valencia, Blind, Bailly, Lindelof, Martial nk nk jambo ambalo hajawahi kukipata hapo awali tangu amekuwa mchezaji imara na tegemeo kwenye timu husika.
Huenda wazungu wakajitoa ufahamu kuhusu uwezo wa Lukaku dhidi ya Morata kutokana na rangi ya Lukaku.
Nawewe hao ndio unawaona mafundi... Kweli Chelsea kazi mnayoamecheza league yenye mabeki visiki ya Italy atashindwa England....mpira sio nguvu ni akili na inategemeana umezungukwa na nani??? sasa chelsea ina hazard, willian, Pedro, Moses na wanyama wengine wengi tu kitakacho mshinda nini????
I BLNG 2 JESUS CHRST
Nitajie game kubwa alizo cheza au alizo funga MORATATatizo Lukaku anapotea sana kwenye big games..
Haiusiani na de man u kukataa kumwachia degea??Kwa nini walikataa? Mourinho alidai kuwa walishindwa kumsaji Morata kwa sababu walishindwa kukubaliana bei. Kwamba ndo iliyofanya Man Utd kwenda kumnunua Lakaku kwa £75. Lakini Real Madrid wamekubali kumwuza Morata Chelsea kwa £60m.
Hapo ndo najiuliza ni sababu gani hasa Madrid walikataa au waliwatamkia Man Utd dau kubwa?
''Lukaku is nothing but a brilliant goalscorer, a number nine by trade, while Morata is more of a nine-and-a-half, a great finisher with the ability to burn defenders for pace, but a player whose game is about more than just scoring.......''Nitajie game kubwa alizo cheza au alizo funga MORATA
Nimeshaonyesha unachokisema ni uongo...angalia post yenye video za YouTube zikionyesha Lukaku alivyofunga magoli dhidi ya big teams.Tatizo Lukaku anapotea sana kwenye big games..
Haiusiani na de man u kukataa kumwachia degea??
Maana haiwezekani ukatae 75mil then ukubali 60mil hata ukiwa tajiri vipi hii sio biashara!!!
Nahisi kuna ka bifu mahali!! morata alikua anajua kabisa anaenda man united, labda baada ya kushindwana morata akazingua ndio maana madrid wameamua kumuuza kwa bei yeyote ili aondoke!!
Kama drogba kipindi kile chelseaMorinyo anapenda weusi wanaotumia nguvu kuliko akili na pia wawe na maumbo makubwa.All in all morata ni zaidi ya lukaku
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kweli huyu garasa!!Keshaongezwa kwenye mjadala.
hayo ya mabeki mmekalili tu watu huwa wanasema bundasiliga ndio ngumu...morata aliweza kumudu itali ambako mabeki wake sio wa dunia hii ashindwe uingeleza yenye mabeki mchele mchele na kungekuwa na mabeki wazuri basi team za EPL zingekuwa zibafanya vizuri UEFAUzuri wa Morata sidhani kama utaonekana msimu wa kwanza,kwani ligi ya uingereza straika lazima utumie nguvu za ziada kwani mabeki wa timu zote wanajua kukamia.Tofauti na Hispania chenga nyingi hadi golini.
Sent using Jamii Forums mobile app
kufunga goli 7 au 8 msimu mzima ndio kudumu? misimu miwili aliokaa italy kafunga goli 15 tu.hayo ya mabeki mmekalili tu watu huwa wanasema bundasiliga ndio ngumu...morata aliweza kumudu itali ambako mabeki wake sio wa dunia hii ashindwe uingeleza yenye mabeki mchele mchele na kungekuwa na mabeki wazuri basi team za EPL zingekuwa zibafanya vizuri UEFA
I BLNG 2 JESUS CHRST
tunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaanikufunga goli 7 au 8 msimu mzima ndio kudumu? misimu miwili aliokaa italy kafunga goli 15 tu.
wakati lukaku misimu miwili kafunga goli 43.
tunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaani
I BLNG 2 JESUS CHRST
juve kacheza mechi 63 goli 15 unataka nafasi ipi tenatunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaani
I BLNG 2 JESUS CHRST