Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

Binafsi napenda kuchangia huu mjadala kwa kuangalia angle hizi hapa:

Kati ya Everton na R.Madrid ipi timu kubwa zaidi; bila shaka ni R Madrid nikiwa na maana kuwa kuna a very strong squad yenye build up ya goli kuanzia kwa golikipa hadi strikers. R Madrid hawana tofauti sana na Juventus; lakini Everton haipo level sawa na Juve wala R Madrid

Kwa maneno mengine Morata ana sapoti kubwa sana uwanjani kuliko alivyo Lukaku kutokana na tofauti pamoja na uwezo wa timu husika. Bado Lukaku ameng'ara zaidi ya Morata anayecheza sambamba na Ronaldo ama Benzema ama Gareth Bale; huku Lukaku akipambana kama jeshi la mtu mmoja.

Cha ajabu ni kwamba pamoja na kuwa Morata amekuwa kwenye timu kubwa kubwa bado ameshindwa kuwa kwenye strong first team akiwa Juve na hata R Madrid; yaani amekuwa kama sup kwenye timu zake; wakati Lukaku akifanikiwa kuwa kwenye first team na kufanikiwa pia kuibeba Everton

Ninachokiona ni kuwa ukweli ni kuwa Juve na R Madrid ni timu kubwa na imara zaidi ya Chelsea; na kama Morata alishindwa kung'aa vema na R Madrid kiasi cha kuweza kuwa chaguo namba moja basi nahofia kuwa Chelsea ndo atapotea zaidi maana nature ya ligi ya epl ni tofauti na ligi alizowahi kuzicheza hapo awali kuanzia timu yenyewe hadi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Kuhusu Lukaku; ni matumaini yangu huenda akarekebisha matatizo yake ya first touch na kumfanya kuwa kati ya wachezaji wakubwa sana Duniani kwa kuwa sasa ana sapoti ya nguvu kuanzia akina Pogba, Miki, Lingaard, Valencia, Blind, Bailly, Lindelof, Martial nk nk jambo ambalo hajawahi kukipata hapo awali tangu amekuwa mchezaji imara na tegemeo kwenye timu husika.

Huenda wazungu wakajitoa ufahamu kuhusu uwezo wa Lukaku dhidi ya Morata kutokana na rangi ya Lukaku.
Hahaaa umetishaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
amecheza league yenye mabeki visiki ya Italy atashindwa England....mpira sio nguvu ni akili na inategemeana umezungukwa na nani??? sasa chelsea ina hazard, willian, Pedro, Moses na wanyama wengine wengi tu kitakacho mshinda nini????

I BLNG 2 JESUS CHRST
Nawewe hao ndio unawaona mafundi... Kweli Chelsea kazi mnayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini walikataa? Mourinho alidai kuwa walishindwa kumsaji Morata kwa sababu walishindwa kukubaliana bei. Kwamba ndo iliyofanya Man Utd kwenda kumnunua Lakaku kwa £75. Lakini Real Madrid wamekubali kumwuza Morata Chelsea kwa £60m.

Hapo ndo najiuliza ni sababu gani hasa Madrid walikataa au waliwatamkia Man Utd dau kubwa?
Haiusiani na de man u kukataa kumwachia degea??

Maana haiwezekani ukatae 75mil then ukubali 60mil hata ukiwa tajiri vipi hii sio biashara!!!

Nahisi kuna ka bifu mahali!! morata alikua anajua kabisa anaenda man united, labda baada ya kushindwana morata akazingua ndio maana madrid wameamua kumuuza kwa bei yeyote ili aondoke!!
 
Haiusiani na de man u kukataa kumwachia degea??

Maana haiwezekani ukatae 75mil then ukubali 60mil hata ukiwa tajiri vipi hii sio biashara!!!

Nahisi kuna ka bifu mahali!! morata alikua anajua kabisa anaenda man united, labda baada ya kushindwana morata akazingua ndio maana madrid wameamua kumuuza kwa bei yeyote ili aondoke!!

It is very interesting b'se inadaiwa kuwa Morata alikuwa ameshakubaliana na United on personal terms only the deal to collapse at the last minute. Inadaiwa pia kuwa Vicente Del Bosque played a part in sabotaging the the deal as far as the Spanish national team is concerned and the negativity against Mourinho huko Spain. Wengine wanadai Madrid alikuwa wanaraka £79m, which doesn't sense kuwauzia Chelsea kwa bei ya nchini.

Could also be De Gea Saga, lakini mie nadhani ni ile rival iliyopo kati ya Man Utd na Real Madrid at the international stage. Also, note that Man Utd have been named as the world’s most valuable football club this year, overtaking Real Madrid. Halafu Madrid wawauzie Morata to add to that prestige?

Unakumbuka enzi za saga la Ronaldo, Fergusosn alisema " I will not sell that mob a virus”. Who knows, maybe Madrid nao hawakutaka kuwauzia United a "virus". United watacheza na Madrid kwenye European Super Cup and possibly who knows kwenye Champions League next season. Hata huko Marekani kwenye pre-season wanabishana sehemu za kukaa na kufanyia mazoezi
 
Uzuri wa Morata sidhani kama utaonekana msimu wa kwanza,kwani ligi ya uingereza straika lazima utumie nguvu za ziada kwani mabeki wa timu zote wanajua kukamia.Tofauti na Hispania chenga nyingi hadi golini.

Sent using Jamii Forums mobile app
hayo ya mabeki mmekalili tu watu huwa wanasema bundasiliga ndio ngumu...morata aliweza kumudu itali ambako mabeki wake sio wa dunia hii ashindwe uingeleza yenye mabeki mchele mchele na kungekuwa na mabeki wazuri basi team za EPL zingekuwa zibafanya vizuri UEFA

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
hayo ya mabeki mmekalili tu watu huwa wanasema bundasiliga ndio ngumu...morata aliweza kumudu itali ambako mabeki wake sio wa dunia hii ashindwe uingeleza yenye mabeki mchele mchele na kungekuwa na mabeki wazuri basi team za EPL zingekuwa zibafanya vizuri UEFA

I BLNG 2 JESUS CHRST
kufunga goli 7 au 8 msimu mzima ndio kudumu? misimu miwili aliokaa italy kafunga goli 15 tu.

wakati lukaku misimu miwili kafunga goli 43.
 
kufunga goli 7 au 8 msimu mzima ndio kudumu? misimu miwili aliokaa italy kafunga goli 15 tu.

wakati lukaku misimu miwili kafunga goli 43.
tunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaani

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
tunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaani

I BLNG 2 JESUS CHRST

Unadhani kwanini Morata alivyokuwa juventus na real Madrid kwanini hakuwa anapewa nafasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunaongelea kupewa nafasi lukaku alikuwa anaanza na anadumu dakika 90 .....sasa twende kwa morata kacheza mechi 15 goli 14 na hajawahi kucheza dakika 90 huwa anaingia dakika za. 75 sasa nambie akipewa dakika 90 kama main straiker mbona tutaheshimiana huku mtaani

I BLNG 2 JESUS CHRST
juve kacheza mechi 63 goli 15 unataka nafasi ipi tena
 
mi naona kama vile wote its fair deal kwa timu zote, morata angekuwa na hatari ya kutoshine MAN UTD kutokana na mfumo wa mou wa kujilinda kumiliki mpira kwa mda na kutumia counter attack huku akiwa na mshambuliaj mmoja mbele, remember chelsea ya drogba, na MAN haina viungo kama aina ya chelsea ya ss waliopo at least kwa miaka miwili nyuma ingawa wanaendelea kupanda viwango.

MORATA angekuja MAN ndo ingekuwa gambling zaid kuliko LUKAKU kwan at least LUKAKU primer league experiences inambeba, so MORATA kwenda chelsea ni sahihi zaid na LUKAKU kwenda MAN UT its a perfect combo, kutokana na caliber ya wachezaji waliopo kwenye timu zote mbili, nafikiri Mou aliliona hilo ndoomaana akaamua kustick kwa Lukaku kama Morata angekuwa cheap Mou angeweza kurisk kumleta Morata Man u an angesajili strike mwingine kama cover au angebadili mfumo ila sababu bei hazipishan sana akaona bora abaki na huyu mwenye experience,

kwa chelsea wote sawa angekuwa lukaku ama morata ingawa conte inaonekana alimtaka lukaku zaidi kwa sababu anajua beki za england zilivyo aggressive

haijalish wanasemaje ila chelesea first choice ilikuwa lukaku same to man u ila mou alihis atampata morata in a cheap deal compare na lukaku ambapo alijua gharama zitakuwa kubwa kwani inajulikana vilabu ya england haijalish ni ndogo kias gan ila kama mchezaji wao anatakiwa na timu za mle ndani hasa bg four bas lazima dau liwe kubwa kwani ni direct opponent
 
Lukaku ni anatumia uwezo binafsi,..ii inaweza ikamchanganya akiwa man u,kama wenzake hawata MPA support,.. Morata ni very intelligent striker kwa iyo wakicheza na hazard they can make wonders kama wakielewana,
...watakua invincible
 
Back
Top Bottom