Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Wape mkeo uone km kweli wamezeeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka mkeo apate murder case, hao wazee hawachelewi kukufia chumbani uozee magereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wape mkeo uone km kweli wamezeeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndiye Masele, unajipigia chapuo hapa' Hupati hata kura moja maana hata kule South Africa ulionesha utovu wa nidhamu wa hali ya juu. Tunataka Spika mwenye umri kama wa akina Nancy Pelosi. Huyo Masele ni hopeless and I hope ni wewe. Kachukue fomu uone itakavyofyekelewa mbali!
Kwenye Uspika suala la uzee linakuwa overrated tu, kazi yenyewe wala siyo kunyanyua vyuma au kumuweka Mwanamke style ya 69 au Cowgirl.Hii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
Masele huyu huyu aliyefanya aibu kule Bunge la AfricaHii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
Lete ushahidi, siyo story za vijiweni! Hata mimi naweza kusema Mbowe alihongwa bil. 10 na Lowassa akaenda kujenga Dubai, unajua hilo?Kuingia tu kwenye wizara ya nishati tayari wamepiga over 20 bilioni kwenye kukodi tu software,una taarifa hii?
Software imewekwa wizarani baada ya mhusika kumuona moja kwa moja hayati Magufuli aliyeamuru iwekwe.Kuingia tu kwenye wizara ya nishati tayari wamepiga over 20 bilioni kwenye kukodi tu software,una taarifa hii?
Kama mama ni mwalimu kwani ni kosa mtoto kumuuliza mama swali wakiwa darasani au mama kumuuliza mwanae swali wakiwa darasani?Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Mikopo ya NSSF alimaliza??? Wastaafu wanataabika mitaani.January kakuibia nini? Weka hata kaushahidi kamoja basi! Au ndiyo yaleyale ya Lowassa fisadi?
Nadhani hilo swali linawafaa NSSF! And wapi umeambiwa KUKOPA ni dhambi? Mimi mwenyewe hapa nina mkopo wa masomo wa NSSF! And una akili za kipuuzi sana, kwa hiyo mkopo wa January ndiyo unasababisha wastaafu wasilipwe?Mikopo ya NSSF alimaliza??? Wastaafu wanataabika mitaani.
Sio January tu hata wewe unakwamisha wastaafuNadhani hilo swali linawafaa NSSF! And wapi umeambiwa KUKOPA ni dhambi? Mimi mwenyewe hapa nina mkopo wa masomo wa NSSF! And una akili za kipuuzi sana, kwa hiyo mkopo wa January ndiyo unasababisha wastaafu wasilipwe?
Steven masele mbunge wa wapi?Hii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
Chenge itapendezaaa zaidiKm kuzeeka kungekuwepo tusingekuwa tunoangozwa na wastaafu
Nani aliyekudanganya kwamba wazee huenda kumtumikia Mungu ? Kazi ya Mungu ni ngumu inahitaji vijana wenye nguvu ili kuipanua.Hii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
U-Spika siyo kubeba zege. Mmojawapo wa hao watatu uliowataja ndiyo Spika, na possibly atakwenda mpaka 2030. Hao watatu wote wakikosa u-Spika, ni-pm halafu mwisho wa mwezi utachukua elfu 50 ya vocha,..., from my heart!Hii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
wanahaki ya kuchukua fomu na hata vijana nao wana haki na kama vina wanaitaka hiyo nafasi wachukue fomu hawajakataliwa na yoyote ni swala la ushawishi tu ndani ya bunge.Hii siyo nchi ya WAZEE, siyo nchi ya familia flani ni nchi yetu sote. Hawa wazee wakubali umri umekwenda na wakubali ni wakati wa new generation. Leo Ridhiwani Naibu Waziri, Mama Mbunge anamuuliza mwanaye swali unategemea majibu gani?
Kwamba Leo unyama wote aliofanya Lukuvi wakuweka maslahi binafsi na chama mbele ndiye anajipigia chapuo ya kuwa spika? Kwamba Leo akina Kabudi ndio tunawaza wakawe maspika na warekebishe Sheria za awamu ya Ndugai?
Sisi wazee tukubali kung'atuka tukafanye mambo mengine. Tutashangaa sasa akina Wasira nao watachua fomu kwa sababu wazee tumeshindwa kukemeana na kukatazana.
Wazee tukae pembeni tutoe ushauri tusiishi maisha yetu na maisha ya watoto wetu. Wake Nyerere wasingetuamini tukiwa vijana may be tusingefika hapa tuliopo.
Wazee kaeni kando turuhusu kizazi kingine kitakachowaza namna nzuri ya kuishi kesho. Turudi kumtumikia MUNGU atujalie afya njema. Tujifunze kwa uborongaji wa wazee wenzetu akina Masilingi, Slaa, Banna, Migiro ambao wamekaa balozini hakuna chochote Cha maana waichofanya, hakuna new intervention waliyoibua. Wapo tu wanazunguka na immunity za kidiplomasia. Wazee tukae pembeni, na ninyi wapika kura wengi ni vijana, msikubali kuwachagua hao wazee hata kwenye chama wataendelea kukaa viti vyenu.
Tunataka spika wa umri wa akina Masele ambaye hata akitukanwa kwa hoja atoweza kutumia umri kama kigezo cha kutoa maamuzi. Spika akianza kuboronga akatamani aheshimiwe kama Mzazi hoja zinakufa kwa sababu ni vigumu kumkosoa baba Yako.
Mvi huwa zinasababishwa na kunyoa nywele mara kwa mara, especially kunyoa vipara. Kuna baadhi ya watu huwa hawana mvi. Sana sana utakuta wana mvi kwenye ndevu ila nywele hapanaHuyu Lukuvi yeye Hana mvi au anapaka Pico?
Shida nini si ana PhD huyu?Nitashangaa hadi msukuma atachukua form