Lukuvi hivi unawatafuta nini wananchi kwenye ardhi? Hebu tuliza spidi unaenda kasi isiyo na faida

🤣🤣🤣
 
Ameyasema hayo lini?

Yani December hii na siku kuu zote hizi halafu useme watu wajenge?

Bora asubiri mwezi March huko kisha aseme hadi December watu wajenge walau itakuwa afadhali Yani atoe walau mwaka mzima hivi mtu anaweza kudunduliza kujenga ukuta
 
Tatizo lingine ni usumbufu na urasimu mkubwa katika utolewaji wa Vibari vya ujenzi.

Atoe tamko watu wajenge bila vibari aone kama watu baadhi hawatajenga.
 
wengine hununua viwanja au mashamba kwa mikopo ya muda mrefu.

Hivyo mara nyingi mtu husubiri amalize kukatwa mkopo wa Ununuzi wa kiwanja au shamba kisha akope tena mkopo mwingine kwaajili ya ujenzi.

Kwa hiyo msisitizo uwe ktk kulipia kodi na kusafisha mara kwa mara!
 
Walivunja nyumba za wananchi wa Kimara-Mbezi kwa ukatili mkubwa, sasa wanataka kupora wananchi ardhi.
Hawa jamaa ni makatili haijawahi kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…