Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama hutojali tuongee na Wanasheria ili urejeshewe eneo lakoHuyu akiwa Waziri wa Ardhi alininyang'anya kiwanja changu Mbezi Beach na kumpa demu wake,nina hasira naye sana
Mtanange unaendelea na muelekeo ni mzuriMkuu kama hutojali tuongee na Wanasheria ili urejeshewe eneo lako
Lukuvi ,Moja ya Mzee Makini sana na Tunu Kwa Taifa.
Kwa Taifa hili lenye Vijana wajinga waimbao mapambio Kila uchwao.
Mzee anahitajika sana ,tumuombee uzima, 2025 sio mbali.
Kila nikikumbuka Bilioni 7 za royal tour na deni la taifa lilivyopaa na mnasema bila haya mtaendelea kopa.. Haki tena mtu kama Lukuvi ni wa muhimu sana kwa sasa..
Mzindakaya yupi au yule aliye kaburini?Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake,lakini hakufafanua mshauri wa nini,watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua,likasemwa sana likapita.
Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua,si ajabu kwa giant kama Lukuvi,nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka,ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!
Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati,hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!
Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni,rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Laana ya kuhonga Wapiga kura Ulanzi na viberiti , kwao maendeleo 0 lakini kila uchaguzi anahonga ulanzi na kuzuia wagombea wengine
Amen , hao wakishatoka madarakani wanakuwa sawa na dagaa ukimtoa kwenye majiMtanange unaendelea na muelekeo ni mzuri
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]..Lukuvi si alikuwa ktk genge la Magufuli?
..sasa kwanini ameshindwa wakati tuliambiwa watu wa Magufuli ndio walioongoza kwa kura ktk uchaguzi wa Nec?
..au Lukuvi ameshindwa kwasababu sio mwenyeji wa kanda ya ziwa?
Duh, mbona mada yako hii inachanganya mkuu 'sammonssee'!Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.
Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!
Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!
Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.
Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!
Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!
Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Vipi isimani nako mlihujumiwa nini? Maana we huwa unasema kila mahali mmehujumiwa.Laana ya kuhonga Wapiga kura Ulanzi na viberiti , kwao maendeleo 0 lakini kila uchaguzi anahonga ulanzi na kuzuia wagombea wengine
Halafu ma buku saba yamejipanga kumshambulia bureNyie vijana waimba mapambio ndo mnataka kupewa Madaraka sio!?