Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Mimi ni kabwela hata wewe hunisikilizi , sana utanitupia makombora kama hivi sasa 😝😝😝Wewe ndo mdini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni kabwela hata wewe hunisikilizi , sana utanitupia makombora kama hivi sasa 😝😝😝Wewe ndo mdini
Hawa wakongwe na CCM wajifunze kuwa kuku mzee hatagi yai😅😅Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.
Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!
Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!
Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Maccm yote yaliyosalia kuanzia bosi wenu mkulu hakuna mwenye UWEZO WA lukuviKila nikikumbuka Bilioni 7 za royal tour na deni la taifa lilivyopaa na mnasema bila haya mtaendelea kopa.. Haki tena mtu kama Lukuvi ni wa muhimu sana kwa sasa..
Ndio niniWaziri Kivuli Assistant to the Assisting Prime Minister katika Ofisi ya Raisi President Special Chapa Wadogo Mnyooshaji Mkubwa.
Cheo Kigumu sana
Waziri Mkuu Plenipotential
Mpeni haki
Waulize Wamalawi.Ndio nini
Kapumzike kama kina mzee pinda hawana pressure wanaendesha maisha yao kilaini hawabughudhi mtu wala hawabugudhiwi na mtu, katafute shamba Isimani, mzee wetuLukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.
Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!
Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!
Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Ubabe sasa na kujiona Dunia yote anaimiliki yeye haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nikiona ana ongea lazima nitulie kumtazamaa, yaan ananiachaga hoi sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
MachawiThey are giants
DuhWaulize Wamalawi.
Dah.
kidini
Kama mzee makini kawaulize tembo wa maeneo ya makatapola ng'ambo ya migoli mlazo,mapela mengi au waulize watu wa migoli.Lukuvi, Moja ya Mzee Makini sana na Tunu Kwa Taifa.
Kwa Taifa hili lenye Vijana wajinga waimbao mapambio Kila uchwao.
Mzee anahitajika sana ,tumuombee uzima, 2025 sio mbali.