Lukuvi, mbio za sakafuni huishia ukingoni; jitafakari

Lukuvi, mbio za sakafuni huishia ukingoni; jitafakari

Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Kumbuka
Msoga imerudi kazini, ilisemekana Lukuvi alitaka taratibu zifuatwe Msoga inapotaka kuimeza Dakawa, Msoga ikaona huyu ni mfitini, Msoga iliporudi mezani ikamkataa Lukuvi na kujigawia kiti cha msaidizi wa Lukuvi ili itimize azma yake ya kuimeza Dakawa

Decript the code
 
d9ca1fb4-98ea-466b-aefb-44ca64518b10.jpg
 
Waulize kina mbowe na kina sugu watakuambia kichapo walichokula.

Usichokijua ni kuwa kushinda kwa upinzani huwa inategemea mpasuko wa ccm. Kura nyingi za upinzani huwa zinatoka ccm. CCM wakiwa pamoja upinzani mtaimba mashairi yote.

Hata kina msigwa kupata ubunge ni sababu ya kutoswa david mwakalebela kuke iringa,
Sugu ilikuwa vita ya makundi ccm mbeya mjini na maeneo mengine mengi tu, jaribu kufuatilia.

Hata 2015 ilichagizwa na kukataliwa ccm hadi na wana ccm wenyewe. 2020 ccm wameungana mmebaki mnaimba tu upinzani ooh kuhujumiwa ooh uchafuzi.

Maneno matatu matukufu ya Magu yalikuwa;
1. Nipeni connection.
2. Msichanganye gunzi na betri tochi haitawaka.
3. Nipeni huyu nammudu naweza kumuwajibisha, mkinipa wa kule sitaweza kumuwajibisha.

Haya maneno yaliwaponda mno upinzani.
David Mwakalebela ndiye nani?
 
David Mwakalebela ndiye nani?
Alikuwa msemaji wa Yanga, badae akaingia kwenye siasa na kugombea ccm kupitia iringa mjini. Alishinda kwa kishindo kwenye kura za maoni na jina lake likakatwa kwa sababu za rushwa. CCM wakaweka mtu mwingine. Kikachafuka balaa. Hapo zikapigwa kura za hasira kwa msigwa.

Arusha nako aliyekuwa mbunge wa ccm ndugu felix mrema mmiliki na mfanyabiashara wa mashamba ya maua alipigwa chini kwenye kura za maoni wakati akitetea nafasi yake na nafasi akapewa batilda buriani, mrema wa ccm akahamishia majeshi kwa mrema wa chadema. Mwanamama Batilda hakufurukuta tena na kura zikaenda chadema.

Mbeya mjini nako makundi yakapasuana kura zikaenda chadema.
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] huwa hawajui kustaafu hawa
Wanataka waonekane kwenye majukwaa tu
Aende akawe padri huko akamwage sumu
Nchi viongozi huwa hawastaafu

Yupo mwingine smbdy wasira ska ngoma ngumu

Ova
 
Mind you, LUKUVI aliwahi kumshikisha Mbabe mmoja Rushwa wakati wa JPM na kuwatia adabu sana Wanyang"anyi wa Ardhi sasa hao wahuni aliowatia adabu nyakati hizo kwa sasa ndio wameshika hatamu. Unategemea nini?
 
Viongozi waliomo CCM, hawajui kujijenga kwa wananchi moja kwa moja, hata kama wanaonekana kufanya kazi vizuri, badala yake utumishi wao wanaukabidhi kwa hao wanaowateua, na mara wanapoachishwa hizo nafasi, hawajui pa kuanzia ili kuwaended wananchi.
Kalemani aliweza hili, alikubalika sio tu kwa wananchi wake bali kwa wananchi wote.
Hajawahi kutokea mtia nia kwa nafasi ya urais kama Edward Lowassa,alikitikisa chama, serikali na organs zake,very strategically,wengine ni wakina
Dk. Medadi Kalemani ajilipue na kutia nia, jamaa atafaa sana.
 
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
kutetea ugali tu ndgu hakuna kingine
 
Nyie ndo mnawaponza na kutuletea balaa! Mtu kashatumika miaka yote bado mnalazimisha awepo! Let him go apumzike.
 
A
Alikuwa msemaji wa Yanga, badae akaingia kwenye siasa na kugombea ccm kupitia iringa mjini. Alishinda kwa kishindo kwenye kura za maoni na jina lake likakatwa kwa sababu za rushwa. CCM wakaweka mtu mwingine. Kikachafuka balaa. Hapo zikapigwa kura za hasira kwa msigwa.

Arusha nako aliyekuwa mbunge wa ccm ndugu felix mrema mmiliki na mfanyabiashara wa mashamba ya maua alipigwa chini kwenye kura za maoni wakati akitetea nafasi yake na nafasi akapewa batilda buriani, mrema wa ccm akahamishia majeshi kwa mrema wa chadema. Mwanamama Batilda hakufurukuta tena na kura zikaenda chadema.

Mbeya mjini nako makundi yakapasuana kura zikaenda chadema.
Aliporudi mara ya pili bado kura zilikuwa za huruma!?

Tunajisahaulisha kuwa hii nchi ni ya Watanzania wote wana haki sawa ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi ikiwa wana kidhi sifa za kuwa kiongozi.

Ndiyo maana katiba ya JMT haikusema mgombea yeyote lazima atoke CCN
 
Matamko ya hovyo aliyowahi kutoa mzee lukuvi ni kuhusu muungano kama video aliyoshare mdau hapo juu,,nyingine ni wakati akisuluhisha mgogoro wa ardhi iliyomuhusisha aliyesemakana ni mtoto/mjukuu wa mtemi huko rock city.
Kilikua ni kipindi kuna uvumi kuwa aliyekuwa Raisi ameshatangulia mbele za haki pasipo taarifa rasmi ya serikalee.
Mjukuu yule hakuridhishwa na namna waziri wa ardhi alihandle ule mgogoro hivyo akasema atahakikisha anaipata haki yake kwa kumuona Hayati Magufuli(huku mtu mzima akibubujikwa machozi)
Majibu ya mh Lukuvi wakati huo yalikua hivi kwa uchache ... nenda ukamueleze huyo raisi wako kama atakusaidia kuipata haki yako(kauli hii ilijaa jeuri sana)
Mwenye ilie video atakumbushe
 
Back
Top Bottom