Lukuvi, mbio za sakafuni huishia ukingoni; jitafakari

Lukuvi, mbio za sakafuni huishia ukingoni; jitafakari

Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Anza na wasira kwanza mbona wasira bado yupo?, Lukuvi wanamuonea wivu na kumkomoa kwa sababu alupendwa na Magufuli, na likely hakuwai kuwa sehemu ya agenda ya kumwangusha Magufuli.

Kila mmoja atavuna anachopanda, mwaka 2023 utaondoka na wengi sana sana karma inayoanza mapema sana.

Mungu wa Isaya, Yakobo na Ibrahim yuko bayana.
 
Nature ya mwanadamu ni tamaa kwahiyo hiyo ni sifa ya binadamu Lukuvi bado anatamani uongozi japo kuwa Umri umeenda kidogo ndio maana hataki hata MVI kichwani.
 
Kila nikikumbuka Bilioni 7 za royal tour na deni la taifa lilivyopaa na mnasema bila haya mtaendelea kopa.. Haki tena mtu kama Lukuvi ni wa muhimu sana kwa sasa..
ni wakati gani Taifa la Tanzani halijakopa? bl 7 ya royal tour ilikuathiri nn kama mwananchi wa kijij cha songambele? unazikumbuka zile 1.5 trilion zilizomtoa ASSAD ofsini?
 
ni wakati gani Taifa la Tanzani halijakopa? bl 7 ya royal tour ilikuathiri nn kama mwananchi wa kijij cha songambele? unazikumbuka zile 1.5 trilion zilizomtoa ASSAD ofsini?
Kuleni tu .. Ni muda wenu.
Si mmeshasema hakuna mtu atagongewa mlango kumuomba hela alipe madeni..

Endeleeni na upumbavu
 
Mzindakaya yupi? maana tunayemfahamu alishatangulia mbele za haki.
 
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Lukuvi ni tunu
 
Mi namshangaa Wasira, nawashangaa zaidi walomchagua. Mtu tangia enzi ya Nyerere mpaka Leo anatafuta uongozi, hii ni aina ya uchawi, kuja kuharibia vijana
 
Anza na wasira kwanza mbona wasira bado yupo?, Lukuvi wanamuonea wivu na kumkomoa kwa sababu alupendwa na Magufuli, na likely hakuwai kuwa sehemu ya agenda ya kumwangusha Magufuli.

Kila mmoja atavuna anachopanda, mwaka 2023 utaondoka na wengi sana sana karma inayoanza mapema sana.

Mungu wa Isaya, Yakobo na Ibrahim yuko bayana.
Naweza kubaini haraka kwamba wewe ni mtu mwema. Hata hovyo,wewe no mhanga wa propaganda za Magufuli. Hukuwahi kumjua Magufuli! Yule alikuwa mtawala laghai na muongo.

Halafu,kama wewe ni mcha Mungu kweli...acha kuombea wengine mabaya... Wacha Mungu huwa hawaombei wengine mabaya. Huwaombea hata maadui zao.
 
Uwezo wa kufikiri una kikomo,toka mwaka 1977 ni mtawala mpk uzee huu ndo anaguswa na mawimbi,mzee Mangula aliwahi onja joto ya jiwe kwa JK,baada ya kusota sana akafutwa machozi,machozi yakawa jasho na damu mpk kastaafu,hii ni kwa sababu hawaamini kuwa unapozeeka akili huchoka na maadui huongezeka
 
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
 
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa kumteua, likasemwa sana likapita.

Lukuvi kagombea U-NEC nao kaangukia pua, si ajabu kwa giant kama Lukuvi, nguli wa siasa za nyanda za juu kusini kudondoka, ila kina stusha ni ghafla mno. Shida iko wapi au kuna sehemu alikosea!!!

Kubwa nalo liona wanasiasa wengi hawajui kusoma alama za nyakati, hii hugharimu sana maisha yao ya kisiasa kuishia pabaya. Hawataki kung'atuka mpaka wajumbe waonekane siyo watu wazuri!!!

Mh Lukuvi mbio za farasi huishia ukingoni, rudi kwa mzee mwenzio Mzindakaya muulize aliona nini ambacho wewe umeshindwa kukiona!! Kwa heshima uliyojijengea ni wakati sasa wa kuachia vijana wewe ubaki kuwa mshauri, mbona Mark Mwandosya kaweza wewe na timu ya kina Wassira inashindwa nini!!!
Sekeseke ya migogoro ya Ardhi Morogoro ambayo familia ya kik..t walidai kuwa ni mali ya familia, Waziri akaomba vielelezo, mzozo ukawa mzozo
Tunajuaaa
 
Waulize kina mbowe na kina sugu watakuambia kichapo walichokula.

Usichokijua ni kuwa kushinda kwa upinzani huwa inategemea mpasuko wa ccm. Kura nyingi za upinzani huwa zinatoka ccm. CCM wakiwa pamoja upinzani mtaimba mashairi yote.

Hata kina msigwa kupata ubunge ni sababu ya kutoswa fredrick mwakalebela kule iringa,
Sugu ilikuwa vita ya makundi ccm mbeya mjini na maeneo mengine mengi tu, jaribu kufuatilia.

Hata 2015 ilichagizwa na kukataliwa ccm hadi na wana ccm wenyewe. 2020 ccm wameungana mmebaki mnaimba tu upinzani ooh kuhujumiwa ooh uchafuzi.

Maneno matatu matukufu ya Magu yalikuwa;
1. Nipeni connection.
2. Msichanganye gunzi na betri tochi haitawaka.
3. Nipeni huyu nammudu naweza kumuwajibisha, mkinipa wa kule sitaweza kumuwajibisha.

Haya maneno yaliwaponda mno upinzani.
Sasa huyo magu yuko wapi? Mfuate sasa huko kuzimu umsaidie kukusanya kuni mbanikwe pamoja
 
Na unatakiwa ujitoe akili kuamini Magu hakushinda kihalali. Nyie si kila siku mnatupa idadi ya watu wanaojiandikisha kupitia ile kampeni maarufu ya chadema kidigitali ambayo kwa sasa hatukusikii tena humu ukiipigia chapuo.? Au lengo la ile kampeni ni nini? Kutafuta watu wa kuandamana barabarani?

Sasa wenzenu wakisema wana mtaji wa kura hizo we unaumia, ila we ukisema ni sawa.

Nakusisitizia tena, upinzani hawashindi bila kupata kura za wanaccm, na ili kupata kura za wanaccm ni lazima kwanza itokee mipasuko ya kimakundi. Ombeeni hilo litokee kila chaguzi, utanishukuru badae.
bila shaka umelogwa
 
Back
Top Bottom