Lukuvi, mbio za sakafuni huishia ukingoni; jitafakari

Hawa wakongwe na CCM wajifunze kuwa kuku mzee hatagi yaiπŸ˜…πŸ˜…
 
Kila nikikumbuka Bilioni 7 za royal tour na deni la taifa lilivyopaa na mnasema bila haya mtaendelea kopa.. Haki tena mtu kama Lukuvi ni wa muhimu sana kwa sasa..
Maccm yote yaliyosalia kuanzia bosi wenu mkulu hakuna mwenye UWEZO WA lukuvi
 
Waziri Kivuli Assistant to the Assisting Prime Minister katika Ofisi ya Raisi President Special Chapa Wadogo Mnyooshaji Mkubwa.

Cheo Kigumu sana

Waziri Mkuu Plenipotential

Mpeni haki
 
Kapumzike kama kina mzee pinda hawana pressure wanaendesha maisha yao kilaini hawabughudhi mtu wala hawabugudhiwi na mtu, katafute shamba Isimani, mzee wetu
 
Lukuvi, Moja ya Mzee Makini sana na Tunu Kwa Taifa.

Kwa Taifa hili lenye Vijana wajinga waimbao mapambio Kila uchwao.

Mzee anahitajika sana ,tumuombee uzima, 2025 sio mbali.
Kama mzee makini kawaulize tembo wa maeneo ya makatapola ng'ambo ya migoli mlazo,mapela mengi au waulize watu wa migoli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…