Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
hakuna suala la ukristo hapa mnajichanganya
mimi nakubaliana na mawazo ya wewe mleta mada dhidi ya Lukuvi ila si ukristo dhidi ya uislam
wala wakristo hawana hila na waislam na hakuna trick hapa
wewe Faizafox unakwepa kuihusisha CCm moja kwa moja unakimbilia ukristo maana wewe na hili Dubwana CCm ni A+

hapa tatizo ni CCM na nia yao, pale Lukuvi hana nia mbaya na Uislam ila anautumia uislam na kanisa Kuendelea kuifanikisha mbinu ya CCM kuendelea kutawala kwa hila.

hapa kunaletwa fitina kati ya Dini ili CCm iendelee kuwapo, mleta mada unaificha CCM unaibua adui katika mzozo eti ni ukiristo na serikali ya mfumo flan, lukuvi unamfanya minor kwenye hii ishu huku CCM ukiiondoa kabisa. Tafakari upya!

kama serikali ingekuwa mfumo kristo basi mwinyi, kikwete wasingelikuwa watawala. hapa tatizo ni CCM kucheza na akili za Dini kuendelea kuwapo madarakani na matakwa yake kufanyika, tena wanajua kabisa waislam mkiguswa tu balaa lkn bado wanaujasri wakuwatumia pande zote kufanikisha mambo yao na kuharibu wasichotaka...lol

kweli aliezoea kuishi kwa hila....
pesa nayo ni sabuni ya roho kwani Bungeni waliokuwa wakimpigia makofi na hata bila kuomba miongozo juu ya lukuvi pale hawakuwapo waislamu? au wazanzibari ambao pia ni waislam? lakini pesa imewazima, kimyaaa wameweka dini na utaifa wao pembeni, CCM mtoa kitu anaatumikiwa kwa uaminifu, hapa ndipo ninapopenda propoganga za masisiemu yanawachanganya kisha mnakuja kulia huku. ila kwakuwa anakitu aaaah, hamtoki hata Dini zenu zibamizwe.

sisiem wagawe uwatawale.....na imewabamba leo sasa FaizaFox hutaki kuitaja CCM unawaleta wakristo kama ndio adui, hata Lukuvi si Adui anasmamia kazi ya Dubwana linaitwa CCM, akitemwa tu hata leo yupo tayari kukubali serikali 3
na kuamini na kutangaza uislam na ukristo ni imani tu za watu wala si mbaya alimradi wote ni wafuasi wa mungu wa amani

Well said...
 
Huu nao ni Mfumo Gani FOX? Usipepese macho wala Kumung'unya maneno!! LIPUMBA AIBUA JAMBO ZITO - AKIRI KUMNUSURU KIKWETE UCHAGUZI MKUU MWAKA 2010

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameibua suala zito akikihusisha chama chake na “kumnusuru” Rais Jakaya Kikwete katika uchaguzi mkuu uliopita.

Profesa Lipumba alitoboa siri hiyo katika Msikiti wa Idrissa, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, alikokwenda kuswali swala ya Ijumaa.

Huku akisisitiza juu ya umuhimu wa mshikamano wa kiimani, Profesa Lipumba alianza kwa kuzungumzia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2010, na ushindani mkali wa kisiasa uliokuwapo.

Alisema hawaoni matunda ya jitihada walizofanya kumnusuru Rais Kikwete asishindwe, kwani hata chini ya uongozi wake, Waislamu wameendelea kutothaminiwa.

“Ninyi masheikh mnajua vizuri zaidi hali ya kisiasa ilivyokuwa, kwamba ilibidi zifanyike juhudi za makusudi ili kuokoa jahazi. Lakini pamoja na kuliokoa jahazi, hali halisi inaonyesha mpaka sasa hakuna matunda yoyote yaliyopatikana, na tupo katika mtihani mgumu zaidi,” alisema.

Katika hali ambayo inasemekana ushindi wa Rais Kikwete ulipatikana kwa mbinu, huku wengine wakiituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ilimnusuru mgombea wa CCM, kauli hii ya Profesa Lipumba inadokeza kwamba anajua mkakati zaidi wa kazi ya Tume ya Uchaguzi.

Katika hali isiyo ya kawaida, Profesa Lipumba anaonekana kuhamasisha Waislamu kujipanga akisema “wenzetu wameanza kujipanga” kuelekea 2015.

“Kwahiyo kama Waislamu tunataka kupata haki zetu, kama tunataka kuishi kama raia wa daraja la kwanza katika nchi yetu, lazima tujipange kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015; na sisi tuanze kujipanga kwa sababu wenzetu wameanza kujipanga, vinginevyo tutaendelea kubaki maskini na raia wa daraja la nne katika nchi yetu wenyewe.

“Mwaka 2010 wakati mshindi wa uchaguzi wa rais alipotangazwa, mimi nilikwenda kwenye hafla ya kutangazwa matokeo, na nilikwenda makusudi tu, siyo kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, ila nilikwenda makusudi kwa kujua hali ya kisiasa ilivyokuwa wakati huo.

“Huku nilikutana na Sheikh Basaleh. Nilipokutana naye, alinipongeza; sijui kama yeye anakumbuka, akaniambia ‘umeweka mbele imani yako na umekuwa mwelewa wa mambo.’”

Hata hivyo, licha ya Profesa Lipumba kuwaambia Waislamu wajipange kwa ajili ya uchaguzi mkuu, hakusema wajipange kupitia chama kipi.

Lakini alisisitiza kwamba uchaguzi ujao ni zaidi ya siasa au rais yupi anafaa, bali maslahi, hasa ya rasilimali nyeti zinazopatikana katika ukanda wa Pwani ya Mashariki, eneo ambalo alisema linakaliwa zaidi na watu wenye imani ya Kiislamu.

Katika moja ya kauli zake, Profesa Lipumba alisema kwamba kuna chama kimoja kinataka kuchukua madaraka ya nchi, lakini kinasaidiwa na mataifa ya magharibi, yasiyoenzi wala kuthamini imani ya Kiislamu.

Kwa muda sasa, zimekuwapo tetesi kwamba CCM imekuwa inafanya siasa za udini dhidi ya vyama vya upinzani, hasa inapoona maslahi yake yapo hatarini.

Mwaka 2010 makada kadhaa wa CCM walitumia mitandao ya simu kuchonga (spoofing) ujumbe wa simu ulioshambulia mgombea mmoja wa upinzani, ukimhusisha na imani yake.

Kauli ya Lipumba imethibitisha pia minong’ono iliyokuwapo muda mrefu kuwa baadhi ya kura za Profesa Lipumba zilipotelea kwa Rais Kikwete.

Katika uchaguzi huo, Lipumba alitangazwa kushika namba ya tatu, nyuma ya Rais Kikwete na Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA.

Alipoulizwa kuhusu ziara yake msikitini na kauli aliyotoa, Profesa Lipumba alikiri kwamba alikwenda kuzungumzia hali ya kisiasa nchini.
CHANZO: Tanzania Daima - Mei 26, 2013

Mnapotosha
Kauli ya lipumba inahusu kumtambua kikwete siku ya kutangazwa matokeo.
Cuf ndio walikuwepo na wakayatamnua matokeo na kikwete alimkumbatia kumpongeza.
Sio kumsaidia kupata kura.cuf wenyewe hawakua na mtaji wa maana uchaguzi ulopita sasa alimsaidia vipii.
Hata kama alimpa tough ya kutambua udhindi na hapo msikitini alizungumza umuhimi wa kujipanga kwa waislam kwenye mambo yasiasa.
Hakutaja kanisa kuwa linataka kuanzisha uktisto tanzania
Hapa tunaxungumzia waziri akisema waislam wa unguja wataleta dola ya waislam na makanisa yatavunjwa..huu nii ujuni na interharamwa style ...ni fitina kubwa sana..
 
Mkuu mimi ni Mkristo Mkatoliki. Tumtofautishe Prof. Lipumba,Mwenyekiti wa CUF Taifa na Waziri ktk Serikali yetu ya JMT. Lukuvi amefanya makosa makubwa,kama ingekua nchi nyingine ameisha jiuzulu!

Kweli. Lukuvi ni Waziri katika serikali lakini si kiongozi mkuu wa hiyo serikali. Aidha, sijawahi kumsikia akitaka urais. Huyu mwingine ni kiongozi Mkuu wa chama kikubwa cha siasa nchini mwetu na ameshagombea urais mara kadhaa. Kwa maana hii, Lukuvi hawezi kushika nchi lakini uwezekano wa Lipumba kushika nchi upo. Sasa nani anatakiwa kuwa responsible zaidi katika matamshi yake?

Amandla.......
 
Baada ya Lukuvi kuzidi kutetea kuiwa serikali ya Zanzibar kwa kuhoji kuwa Zanzibar itakuwa nchi ya kiislamu yenye msimamo mkali ambao utahatarisha maisha ya Wakiristu na majumba yao ya ibada ,wale WaZanzibari maCCM ambao walipokuwepo Zanzibar walikuwa kitu kimoja na walipofika Dodoma na kupigwa brush kwenye vikao lukuki vilivyoitishwa na Chama Cha CCM kwa wanachama wao na kuwapa muwasho uliowaweka maCCM Zanzibar kama wanakasoro.

Lukuvi akijiamini kuwa MaCCM waZanzibar walioachwa bungeni baada ya wenzao kuondoka na Ukawa hawazimi hawawashi na wamekuwa kama kuku walionyonyolewa ,wapowapo tu wengine wakibaki kurembua na wengine wamejitia mirangi ya uso na midomo ,sasa hivi wazenji hao maCCM kusema kweli wamepwaya viba sana na hawajui watetee kitu gani kwani waliokuwa wakiwashambulia kwa matusi ,hawapo tena na hawatorudi.
Na habari iliyopo mitaani ni kuwaomba Ukawa warudi na kama ikishindikana kinachofuatia ni kuvunja bunge hilo.
 
ndugu zangu wanajf ninawaomba kwa heshima na taadhima wakati huu si wakuangalia dini hebu tujitahidi kwa pamoja tudai tanganyika yetu atakae kuwa mkristo au muislam ni imani yake kwa manufaa yake na anachotaka kufanya lukuvi na hao wasakatonge wenzake ni kuvuruga mada ili tugeukie dini tusitetee wala kupigania nchi yetu
 
kumbe bi mkubwa linapokuja suala la dini chama unakitupa pembeni????????
 
hakuna suala la ukristo hapa mnajichanganya
mimi nakubaliana na mawazo ya wewe mleta mada dhidi ya Lukuvi ila si ukristo dhidi ya uislam
wala wakristo hawana hila na waislam na hakuna trick hapa
wewe Faizafox unakwepa kuihusisha CCm moja kwa moja unakimbilia ukristo maana wewe na hili Dubwana CCm ni A+

hapa tatizo ni CCM na nia yao, pale Lukuvi hana nia mbaya na Uislam ila anautumia uislam na kanisa Kuendelea kuifanikisha mbinu ya CCM kuendelea kutawala kwa hila.

hapa kunaletwa fitina kati ya Dini ili CCm iendelee kuwapo, mleta mada unaificha CCM unaibua adui katika mzozo eti ni ukiristo na serikali ya mfumo flan, lukuvi unamfanya minor kwenye hii ishu huku CCM ukiiondoa kabisa. Tafakari upya!

kama serikali ingekuwa mfumo kristo basi mwinyi, kikwete wasingelikuwa watawala. hapa tatizo ni CCM kucheza na akili za Dini kuendelea kuwapo madarakani na matakwa yake kufanyika, tena wanajua kabisa waislam mkiguswa tu balaa lkn bado wanaujasri wakuwatumia pande zote kufanikisha mambo yao na kuharibu wasichotaka...lol

kweli aliezoea kuishi kwa hila....
pesa nayo ni sabuni ya roho kwani Bungeni waliokuwa wakimpigia makofi na hata bila kuomba miongozo juu ya lukuvi pale hawakuwapo waislamu? au wazanzibari ambao pia ni waislam? lakini pesa imewazima, kimyaaa wameweka dini na utaifa wao pembeni, CCM mtoa kitu anaatumikiwa kwa uaminifu, hapa ndipo ninapopenda propoganga za masisiemu yanawachanganya kisha mnakuja kulia huku. ila kwakuwa anakitu aaaah, hamtoki hata Dini zenu zibamizwe.

sisiem wagawe uwatawale.....na imewabamba leo sasa FaizaFox hutaki kuitaja CCM unawaleta wakristo kama ndio adui, hata Lukuvi si Adui anasmamia kazi ya Dubwana linaitwa CCM, akitemwa tu hata leo yupo tayari kukubali serikali 3
na kuamini na kutangaza uislam na ukristo ni imani tu za watu wala si mbaya alimradi wote ni wafuasi wa mungu wa amani

Mkuu,

Umejitahidi kunena/kuelekeza mangi...lakini ndo bado waregea kule kule!? Yaani umeidhoofisha bayana yako kwa kuelekeza personal grievances zako dhidi ya CCM, badala ya kujikita kwenye mada dhidi ya Lukuvi kupewa fursa na Viongozi wa Kanisa kueneza Islamophobia kwa waumini!? Daah! Au weye Mkuu hilo huoni kama ni tatizo!?

Pia unaposema yakua ati Wakristo hawana matatizo/khofu dhidi ya Watanzania wenzao wenye imani ya Kiislam!?...hivi Mkuu kweli weye unajiaminisha kuwa ndo mouth piece ya Wakristo woote hapo nchini!? Hata yule Cardinal Pengo pia pana Wakristo kadhaa ambao hawakubaliani na baadhi ya misimamo/fikra zake...sembuse weye Mkuu!? Daah!

Kwa kifupi,umeidhoofisha bayana/post yako kwa kuweka kimbelembele cha chuki zako kwa wale CCM!

Mada sensitive kama hizi, inalazim tujitahidi kujadili kitaaluma zaidi na kwa pamoja...bila ya kujali mno misimamo/itikadi zetu za kisiasa!?

Ahsanta sana.
 
Hapana sio mimi mkuu uliposikia wamekudanganya bwana Izz ila ni mteule wa Rais bwana Lukuvi, na ni mnadhimu wa serikali bungeni inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Ndugu Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete na makamo wake Dr Gharib Bilal, Lukuvi inawezekana akawa amepata maelekezo kutoka huko...
Naona leo siku nzima unani-quote tu mie basi chukua hii bayana kiduchu.
TANU, mikononi mwa Mwalimu Nyerere,ikawa na mwelekeo tofauti ambao Masheikh waliojaribu kuukosoa, walijikuta matatani. Almarhum Sheikh Hassan Bin Amir alisombwa msobe msobe kurejeshwa Zanzibar, Masheikh bara wakapata misukosuko hii na ile kwa sababu ya vuguvugu la upinzani dhidi ya mwelekeo wa siasa za Kikristo Tanganyika. Nembo ya Bikira Maria na Kichanga Yesu katika sarafu ni moja ya maeneo yaliyowashitua Masheikh. Lakini tukibaki ndani ya Chama, Dkt. Sivalon, katika kitabu chake, Kanisa Katoliki na Siasa Tanzania, anatoboa siri kuwa Kanisa Katoliki lilianzisha Idara ndani ya chama cha TANU ambayo jukumu lake la msingi lilikuwa ni kupambana na Waislamu Tanzania mbali ya itikadi ya kikomunisti.
Mkurugenzi wa Idara hii alikuwa ni Fadha Schildknecht kati ya mwaka 1959 hadi 1966. Kanisa likiwa ndani ya chama cha TANU lilitoa ripoti kuwa Uislamu ulikuwa unastawi kwa kasi sanaTanzania hali ambayo ingeudhoofisha Ukristo.Tofauti na Waislamu waliotumia dini kukinufaisha chama hicho, Wakristo, kinara akiwa Mwalimu Nyerere, walitumia Chama kuimarisha dini.
Matokeo yake, Sivalon anaweka bayana kuwa, wakajivunia matunda haya; kwamba mwaka 1970, Wakatoliki waliunda asilimia 70 kati ya asilimia 75 ya Wabunge Wakristo wa kuchaguliwa. Waislamu walikuwa vipofu wa dini lakini Wakristo hususan Wakatoliki walijitazama kwa kioo cha dini.
Kwa kifupi, mkondo wa siasa ukabadilika. Hapa kuna mambo matatu ya kuzingatia, mosi, Wakristo, kwa kigezo cha Mwalimu Nyerere, ni wadini sana.Kwamba, kwao, dini ndiyo kigezo cha maamuzi yao ya kisiasa.
Na badala ya kuweka mbele uzalendo, kipaumbele chao ni Ukristo na hasa hasa Ukatoliki. Kuliweka wazi zaidi hili, Waskristo ni wabaguzi na wanawahesabu Waislamu kama maadui. Sasa hili ni jambo la hatari kwa umoja na mshikamano wa Kitaifa.
CCM na Dini
Kikiwa chama-mrithi wa TANU, Chama cha Mapinduzi-CCM kilizaliwa mwaka 1977.Kuzaliwa kwa chama hiki kipya kulihitimisha miongo miwili na ushee ya chama chaTANU. Uhusiano wa chama hiki na dini ulichukua zaidi mkondo hasi wa ubaguzi wakidini.
Kinadharia, CCM ilijitokeza machoni mwa Watanzania kama chama halisi cha kisiasa lakini ndani kikabeba ajenda ya siri ya udini. Fukuto la mapambano ya kudai haki sawa kwa wote miongoni mwa Waislamu lilitokana na mwenendo huo wa CCM kutumikia ajenda ya siri.
Marehemu Profesa Kighoma Ali Malima akajitokeza kama shujaa wa mapambano ya kudai haki sawa kwa wote ndani ya chama chake hicho. Jitihada za Profesa huyo zilikosa mwitiko wa Chama chake. Malima alionekana ‘tatizo' siku zote kwa sababu ya kukemea ubaguzi dhidi ya Waislamu na upendeleo kwa Wakristo.
Mapambano yake ya kisiasa ni ushahidi wa kutosha kuwa CCM ilikosa mizani sahihi ya kisiasa kwa sababu ya ajenda ya siri iliyofichwa ndani ya mfumo wa utawala. Wakati Waislamu wakiamini katika siasa za uzalendo chini ya CCM,Wakristo wakapata fursa ya kuimarisha mfumo wa ubaguzi ulioleta athari kubwa kwa Waislamu katika maeneo ya elimu na utawala.
Sivalon amebainisha kuwa, kwa jinsi mfumo wa utawala ulivyofungamana na Ukristo ikawa vigumu kubaini lipi la Kanisa na lipi la serikali. Mtu anaweza kuuliza kwa nini ulaumu chama kwa mambo yaliyotendwa na serikali. Jibu ni rahisi kuwa chama ndicho kilichoshika hatamu zote za uongozi na serikali ilikuwa ni chombo tu cha utekelezaji. Isitoshe,Mwalimu Nyerere aliyeweka mbele Ukristo na hasa Ukatoliki wake alikuwa na nafasi zote mbili. Yeye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama na ndiye pia aliyekuwa Rais. Lakini tukibaki na shahidi mkuu wa ubaguzi wa Wakristo dhidi ya Waislamu ndani ya CCM, Prof. Malima, tunaweza kurejea kidogo nyuma kuona jinsi hali ilivyokuwa hadi alipofikia uamuzi wa kujitoa katika chama hicho.

Nitarudi punde hapa ukumbini.

Cc; gombesugu THE BIG SHOW wabara Sword
 
Last edited by a moderator:
Yes! Huyu FaizaFoxy nimesoma mara nyingi maandiko yake, hudhani CCM ni mtetezi wake, ni kinga yake, ni mkombozi wake, n.k. Lakini anashindwa kabisa kuelewa kwamba huwezi kumutegemea CCM wakati unajua ni kundi lisilo na ethics. Watakufanyia lolote!

Leo sasa wamemuning'iniza na badala ya kuona ni kasoro ya CCM bado anapinda na kusema ukristo sijui ni nini!.... hai hoi hai hoi! Next time unapowasifia CCM ujue ni kazi ya kusafisha paka. Hakuna faida na sana sana tegemea makucha.
Patriot
===>Walikuwa hawajajua undani wa Magamba,hawana lolote ndio michezo yao hyo kila wakati kucheza na imani za watu halafu wavimbishe matumbo yao,sasa bora ukweli umedhihirika.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani haumfahamu Ritz vizuri mimi sishikiwi akili na viongozi wa siasa kama nyie mnavyoshukiwa akili na Mbowe na Dr.Slaa, mimi naangalia dini yangu kwanza, wewe mbona hautaki kufuata tamko la Pengo anataka serikali mbili. mimi ni Mtanganyika nataka huu muungano uvunjike tuwakabidhi Zanzabar nchi yao halafu tupambane sisi kwa sisi huku Tanganyika, nyie wakirsto si mnafundishwa makinisani kwenu kuwa mchague serikali mbili, tusubiri tuone.
Ritz
===>Kumbe ulikuwa hujui kuwa mnaowatetea wana AGENDA zao za siri?Poleni sana.
 
Last edited by a moderator:
Mnapotosha
Kauli ya lipumba inahusu kumtambua kikwete siku ya kutangazwa matokeo.
Cuf ndio walikuwepo na wakayatamnua matokeo na kikwete alimkumbatia kumpongeza.
Sio kumsaidia kupata kura.cuf wenyewe hawakua na mtaji wa maana uchaguzi ulopita sasa alimsaidia vipii.
Hata kama alimpa tough ya kutambua udhindi na hapo msikitini alizungumza umuhimi wa kujipanga kwa waislam kwenye mambo yasiasa.
Hakutaja kanisa kuwa linataka kuanzisha uktisto tanzania
Hapa tunaxungumzia waziri akisema waislam wa unguja wataleta dola ya waislam na makanisa yatavunjwa..huu nii ujuni na interharamwa style ...ni fitina kubwa sana..

Unaepotosha ni wewe. Lipumba alizungumzia kutetea haki ya wale aliosema ni raia wa daraja la pili dhidi ya makafir. Amesema wazi kuwa dua yake ni kuwa Mwenyezi Mungu amnusuru na makafir. Lukuvi amesema anaogopa uislamu na hususan aina ya uislamu unaoijochomoza Zanzibar. Mifano aliyoitoa ni ya kweli. Au unataka kutuambia kuwa wakristu hawajapigwa risasi, makanisa yao kuchomwa, hawaja mwagiwa tindikali, biashara zao kuvunjwa n.k. huko Unguja? Alipokosea Lukuvi ni kutumia vitendo vya waislamu wachache kujenga hofu katika wakristu dhidi ya uislamu. Lipumba nae alikosea alipotaka kujenga imani kuwa hali duni ya waislamu unatokana na wakristu.

Amandla.....
 
Mkuu,

Umejitahidi kunena/kuelekeza mangi...lakini ndo bado waregea kule kule!? Yaani umeidhoofisha bayana yako kwa kuelekeza personal grievances zako dhidi ya CCM, badala ya kujikita kwenye mada dhidi ya Lukuvi kupewa fursa na Viongozi wa Kanisa kueneza Islamophobia kwa waumini!? Daah! Au weye Mkuu hilo huoni kama ni tatizo!?

Pia unaposema yakua ati Wakristo hawana matatizo/khofu dhidi ya Watanzania wenzao wenye imani ya Kiislam!?...hivi Mkuu kweli weye unajiaminisha kuwa ndo mouth piece ya Wakristo woote hapo nchini!? Hata yule Cardinal Pengo pia pana Wakristo kadhaa ambao hawakubaliani na baadhi ya misimamo/fikra zake...sembuse weye Mkuu!? Daah!

Kwa kifupi,umeidhoofisha bayana/post yako kwa kuweka kimbelembele cha chuki zako kwa wale CCM!

Mada sensitive kama hizi, inalazim tujitahidi kujadili kitaaluma zaidi na kwa pamoja...bila ya kujali mno misimamo/itikadi zetu za kisiasa!?

Ahsanta sana.
Mkuu gombesugu.

Haya pitia hii bayana kiduchu.
Japo Chadema kiliwahi kuwa na Mwenyekiti Muislamu, Mohammed Nyanga, maarufu kama "Bob Makani" lakini hisia za ubaguzi wa kidini zimejitokeza katika chama hicho, na kwa hakika, hakuna atakayethubutu kupinga. Kwanza, kihistoria, chama hicho kilikuwa ni moja ya vyama vidogo vya upinzani katika kipindi chote cha uongozi wa Muislamu huyo, Bob Makani. Sababu ni kwamba Wakristo hawakuwa tayari kumuunga mkono Muislamu huyo. Kwa sababu ya kukosa nguvu za kujishika chenyewe, mwaka 2000, chama hiki kidogo enzi hizo,kililazimika kuunganisha nguvu na CUF. Yumkini, Mohammed Nyanga Makani alichangia mno kufikia uamuzi huo.
Lakini mwaka 2000, licha ya udogo wake, Chadema, chini ya Freemon Mbowe,kiliingia uchaguzini kwa kutumia helkopta. Kwa kuwa sasa Mkristo ndiye aliyeshika hatamu, kikapata nguvu kidogo kuliko kilivyokuwa enzi ya Mohammed Makani.
Hata hivyo, kwa kuwa Kanisa la Kilutheri halina wafuasi wengi, na kwa kuwa Walutheri hawana sana Kasumba ya udini, mtaji wa Mbowe ukawa mdogo. Ghafla bin vuu, Mwaka 2010, chama hiki kikapata nguvu. Utafiti makini ukabaini kuwa Wakatoliki ndio walioamua kuhamishia kura zao CHADEMA kwa sababu Dkt. Slaa ni Mkatoliki.
Lakini hiyo yaweza kuwa haki yao, bado Chadema ina hatia zisizopungua tatu za ubaguzi wa kidini. Kumvua Hijabu mama wa Kiislamu ni hatia ya kwanza, ya pili, Mchungaji Msigwa kudharau utukufu wa Mwezi wa Ramadhani kwa kuhoji Bungeni kwa nini watu walizuiliwa kuvaa nusu-utupu, kula au kuuza vyakula Zanzibar mchana wa Ramadhani, Chama hakikuomba radhi kwa tukio hilo!
Na ya tatu ni ile ya kuthamini zaidi damu ya Mkristo aliyeuliwa Iringa kuliko damu ya kijana wa Kiislamu aliyeuliwa Morogoro. Wamekurupuka Maaskofu wanaokiunga mkoni chama hicho, wamekurupuka wastaafu kama Fredrick Sumaye wanaokiunga mkono chama hicho, na yamecharuka magazeti kulaani mauaji ya Iringa ya Daudi Mwangosi.
Damu ya Iringa ndiyo iliyopewa thamani kwa sababu kijana aliyeuliwa ni wa Kikristo. Hili Chadema hawawezi kulipinga hata kidogo! Mwenye tabia yake haachi.Chadema inajaribu kuwatumia Waislamu wakiwemo wa Zanzibar kuficha ubaguzi wa kidini, lakini tabia inawafichua. Kitendo cha kuipa thamani damu ya Iringa kimewaumbua!
Lakini hili ni fundisho kwa vijana wa Kiislamu wasiotaka kutuliza akili ya kukichunguza chama hicho. Wakisha chomeka mashati mifukoni na mabendera ya mauaji kwenye mapikipiki, hawasikii la muadhini wala imamu.
Duu!!!
 
Last edited by a moderator:
Ritz
===>Kumbe ulikuwa hujui kuwa mnaowatetea wana AGENDA zao za siri?Poleni sana.
Mimi sipo humu kutetea mtu mimi napambana na mfumo kristo, nisome nimeandika mengi sana kuhusu haya majambo, mkuu kwa hiyo wewe upo Chadema kukutetea ukristo wako.
 
Mkuu,

Nakhis watumia mno lugha za tashtit na kebehi, ambazo haijengi asilan!...bali zazidi kuhatarisha hii hali tete inayolikabili Taifa letu changa kwa sasa!

Kama labda unajikhis una ghadhab nyingi!?... basi, kwanini usiketi kando na kuwaachia Wanajamvi wanzio wenye kumudu stahamala na staha ili kuendeleza mjadala huu!? Daah!

Ahsanta.

Stahamala kitu gani....I am straight, I dont like double standard hapa.

Setikali hii ni serikali ya kikristo, so she claim.
Serikali ya CCM anayoipenda sana. Sasa analalamika nini na mambo ya udini usio na kichwa wala miguu.

Upuuzi tu umewajaa hawa wachumia tumbo wa ccm.
 
Kweli. Lukuvi ni Waziri katika serikali lakini si kiongozi mkuu wa hiyo serikali. Aidha, sijawahi kumsikia akitaka urais. Huyu mwingine ni kiongozi Mkuu wa chama kikubwa cha siasa nchini mwetu na ameshagombea urais mara kadhaa. Kwa maana hii, Lukuvi hawezi kushika nchi lakini uwezekano wa Lipumba kushika nchi upo. Sasa nani anatakiwa kuwa responsible zaidi katika matamshi yake?

Amandla.......
Soma hii bayana, hata siku moja mwizi huwa hakubali kama ameiba.
[h=1]Shutuma za udini dhidi ya Mwl. J. K. Nyerere, Baba wa Taifa la Tanzania [/h]
x.gif

x.gif

1_0_660219.JPG
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa la Tanzania ni kati ya viongozi wa siasa wanaoheshimika sana Barani Afrika. Lakini kwa bahati mbaya, "Nabii hakosi heshima isipokuwa kwa watu wa nyumbani kwake".

Kwa miaka kadhaa, baadhi ya Waamini wa dini ya Kiislam nchini Tanzania amedai kwamba, wakati wa utawala wa Mwalimu Julius K. Nyerere, waamini hao walinyanyaswa kiasi kwamba, wamebaki nyuma kimaendeleo ikilinganishwa na waamini wa dini nyingine nchini Tanzania.

Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican, katika mahojiano maalum na Askofu Michael Msonganzila wa Jimbo Katoliki Musoma, anakanusa uvumi huu kwa kusema kwamba, ni malalamiko ambayo yamezagaa nchini Tanzania kiasi kwamba, kuna baadhi ya watu wamediriki hata kutengeneza Kanda ili kueneza uvumi huu. Haya ni mawazo yaliyonunuliwa kutoka nje, ili kuvuruga misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa kitaifa ambao watanzania kwa takribani miaka 50 iliyopita wamekuwa wakiufaidi.

Askofu Msonganzila anasema, hizi ni dalili za ukoloni mambokesho! Kinzani za kidini kwa madai kwamba, Serikali ya Tanzania inaongozwa na mfumo Kristo ni uzushi usiokuwa na msingi. Watanzania watakumbuka kwamba, wakati wa Azimio la Arusha, Serikali ilitaifisha shule zilizokuwa zinamilikiwa na kuendeshwa na Kanisa, ili kutoa fursa kwa watanzania wengi zaidi kupata fursa ya elimu.

Kanisa lilitambua na kuheshimu nia njema iliyooneshwa na Baba wa Taifa bila kunung'unika. Ikumbukwe kwamba, mikakati ya kichungaji katika sekta ya elimu ni sehemu ya Uinjilishaji wa kina unaofanywa na Kanisa Katoliki katika mchakato wa kukomboa mtu mzima: kiroho na kimwili, kumbe kumiliki na kuendesha shule katika viwango mbali mbali si jambo la nasibu bali ni sehemu ya vinasaba vya Kanisa Katoliki.

Hata baada ya kutaifishwa shule, watanzania wengi waliokuwa na kiu ya elimu walipata bila ya ubaguzi wowote, kinyume kabisa cha madai yanayotolewa na baadhi ya waamini kwa sasa! Kuna watanzania wengi ambao baadhi yao ni viongozi waandamizi Serikali wamesoma katika shule zilizotaifishwa au zilizokuwa zinamilikiwa na Kanisa, bila shaka hawa ni mashahidi makini wa hali halisi ilivyokuwa katika shule hizi.

Askofu Michael Msonganzila anasema, hizi ni zama za ukweli na uwazi, watanzania wanapaswa kufungua macho, masikio, mioyo na akili zao ili kuuona ukweli. Huu si muda wa malumbano, bali watu wawekeze katika elimu inayomwangalia mtu mzima: kiroho na kimwili, ili kuweza kuwajengea watoto wa kitanzania, kesho iliyo bora zaidi.

Elimu ya dini na elimu dunia zina nafasi yake. Watanzania wasikubali kutumiwa na watu wasiowatakia mema kwa kufanya ghasia na malumbano yasiyokuwa na tija kwa maendeleo yao. Wakumbuke daima kwamba, vita na ghasia hazina macho, kwa kujiingiza katika migogoro ya kidini, watapoteza hata kile kidogo walicho nacho kwa sasa! Ni wakati wa kujenga na kuimarisha mshikamano na umoja wa kitaifa dhidi ya maadui walioko ndani na nje ya Tanzania wanaotaka kulitumbukiza Taifa katika maafa ya udini.
Amandla....
 
Hata sijaelewa unachojaribu kueleza hapo juu Mdau..
 
Mkuu mimi ni Mkristo Mkatoliki. Tumtofautishe Prof. Lipumba,Mwenyekiti wa CUF Taifa na Waziri ktk Serikali yetu ya JMT. Lukuvi amefanya makosa makubwa,kama ingekua nchi nyingine ameisha jiuzulu!

Mkuu,

Nimekusoma vizuri mno!

Naliwahi kunena hayo ulozungumzia hapo kiduchu mara kadhaa humuhumu-JF!

Yaani tatizo jangine lililopo hapo nchini na hata baadhi ya hizi the so called developing world countries/third world countries...hakuna strong democratic institutions and/or more responsible civil service structure/mechanism, ili kusimamia hizi kanuni na maadili ya viongozi/wanasiasa,khasa wa ngazi za juu!? Daah!

Hapa sikusudii asilan ati yakua zile Western world capitals viongozi/wanasiasa wake ni perfect na hawafanzi makosa,hasha!...lakini ukitazama kwa makini utaona ile degree za huo uchafu/unyama ni tafauti kubwa mno na kwenye hizi nchi zetu takriban zoote!?

Labda nasi tuwape hawa viongozi/wanasiasa wetu myaka mingine japo mia mbili-200...ndipo gradually wafikie hivi viwango vya uadilifu na kufuata kwa umakini hizi kanuni za madaraka/uongozi!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom