Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Ndio marafiki viongozi wa Kikwete hao, nchi inaongozwa kwa hisia. Rasimu ipo, imejieleza, imejifafanua, jamaa haisomi ana ongea mamno ya kufikirika. Halafu Sitta nae kakwama kwenye matope anampa nafasi Lukuvi kujieleza bungeni bila walio mtuhumu kuwepe, ati mwanasheria. Ukiyashangaa ya Makinda utayaona ya Sitta na ccm.
 
Kwenye Ukristo hakuna dhambi mbaya kama hofu na wogo, ndiyo maama bible insema tumeumbwa kwa Roho ya ujasiri. Hiyo ratiba inakuhusu wewe maana Lipumba atazindua album ya Lipumba.

Teh teh teh!

Eti tumeumbwa kwa ujasiri....ujasiri gani huo unashindwa kulisimamia unalosema. Umebaki sasa kugeuza maneno mara ratiba inakuhusu wewe teh teh teh!

Mnasema mnaenda kuzindua album ya lukuvi Makanisani mara tena sio Lukuvi imekua Lipumba teh teh teh!

We mpakwa mafuta umepatwa na nini?

Na bado mtaendelea kuumbuka kila kanisa mtakalo kwenda kuhubiri hofu yenu dhidi ya Uislam!
 

Duuh, mawazo mazuri but uandishi wako ni hatari sana, jaribu kuweka paragraphs coz nimeshindwa kuelewa pia inachosha kusoma
 
Bora kukata viuno umesimama kuliko kukata viuno umekalia Jamvi kama wafanyavyo watukufu.

Sisi hatukati viuno kijana....Mimi nitakuwekea ushahidi hapa wa jinsi mnavyoimba na kukata viuno mkiwa kanisani ili uone kula nachokisema hapa na ushahidi nacho.

Nyie wapakwa mafuta ni mabingwa wa kuzua!
 

Matusi ya nini? Mbona sisi hatuwasemi mnayoyatenda misikitini? Maneno haya kayasema muislamu mwenzako. Muulize yeye ndie atakupa jibu. Au unamuogopa?

Amandla......
 
Sasa ni dhahiri kwamba kumbe hata CCM inaendeshwa kwa sera za Kikatoliki, maana msimamo wa Kardinali Pengo ndio msimamo wa CCM, Sasa utaniaminishaje kwamba CCM sio mshirika wa Wakatoliki,

Hata majuzi tumemwona Mwenyekiti wa Bunge akiwatemebelea Kardinaru Pengo na akageresha Kumwona Mufti Simba lakini hiyo ilikuwa danganya toto. CCM Udini mliouasisi ugtawamaliza ninyi wenyewe, kwa sasa tunao uelewa mkubwa kuliko mlivyodhani.
 

Inaonekana unasoma kama umepakatwa, nimekwambia tukutane Mchambawima Zanzibar Lipumba anazindua album ya Lukuvi. Again siwezi kuwaogopa Wafilisti maana ni viumbe wadogo sana kwangu, na hilo wanalijua.
 
Sisi hatukati viuno kijana....Mimi nitakuwekea ushahidi hapa wa jinsi mnavyoimba na kukata viuno mkiwa kanisani ili uone kula nachokisema hapa na ushahidi nacho.

Nyie wapakwa mafuta ni mabingwa wa kuzua!

Mnafanya nini mkiswali? Msipende kutusi wanavyoabudu wenzio.

Amandla.......
 
Matusi ya nini? Mbona sisi hatuwasemi mnayoyatenda misikitini? Maneno haya kayasema muislamu mwenzako. Muulize yeye ndie atakupa jibu. Au unamuogopa?

Amandla......

Mimi sijamtukana mtu labda kama ukweli umekua matusi siku hizi?!
 
Sisi hatukati viuno kijana....Mimi nitakuwekea ushahidi hapa wa jinsi mnavyoimba na kukata viuno mkiwa kanisani ili uone kula nachokisema hapa na ushahidi nacho.

Nyie wapakwa mafuta ni mabingwa wa kuzua!

Niliwahi kumuuliza Mfilisti mmoja kuhusu ukataji viuno kwenye jamvi, akaniambia ukataji viuno kwenye jamvi kuna raha yake hasa kwa women.
 

Ukweli ni huu,Serekali ya CCM tumeiweka sisi wananchi wapenzi wa CCM tulio wengi nchini.ukiona viongozi wa ccm ni wengi bungeni ujue wanatuwakilisha sisi tulio wengi.wakitoka humo mjengoni watakuja kwetu.tupo pamoja nao. Wananchi hawatachotwa mawazo yao kwa ngonjera hii na ile.
 
....lukuvi anauliza bungeni "uamsho ni naniii?".....watu wanajibu kwa ujumla wao (wakiwemo mawaziri wa utawala huu)..eti "uamsho ni CUFUUUU"......hivi kweli hapa ndipo nchi hii ilipofikia!!!....kwamba leo chama cha kisiasa TZ kinaitwa taasisi ya dini!!!kweli??......huu udini unaoenezwa na watawala wa taifa hili ni sawa kweli???watu wanaona hili ni sawa??....hii nchi hii imefikia hapa na watu wanaona sawa bungeni??..alafu wakiambiwa wanalalamikaje??
 
Inaonekana unasoma kama umepakatwa, nimekwambia tukutane Mchambawima Zanzibar Lipumba anazindua album ya Lukuvi. Again siwezi kuwaogopa Wafilisti maana ni viumbe wadogo sana kwangu, na hilo wanalijua.

Wewe teyari ushakua muongo...na hilo linadhihiri kwenye mabandiko yako....Ukiwa muongo husiwe mwenye kusahau!

Rejea kile ulichoandika utajua wewe ni Mnafiki na nimwenye kuzua uongo!
 
Hiyo phobia ya nini? Uislaam wa Zanzibar unamuhusu nini Lukuvi? hata awe na hofu? Nchi yenye Waislaam 99% wakiamua kuwa nchi ya Kiislaam ni kosa? mlitaka waseme wao hawana dini?

Hizo takwimu umzibuni kwa ujanja gani.tupatie mganyo wa dini nyingine na wasio na dini hapo zanzibar.hata ingekuwa hivyo unataka kusema wasio wa dini yako watalazimishwa kufuata sheria za imani yako.au una maana watanganyika wote wakija huko watatumikia sheria za dini moja?wewe unaona hii ni sawa kwa imani yako ya haki!
 
Wewe teyari ushakua muongo...na hilo linadhihiri kwenye mabandiko yako....Ukiwa muongo husiwe mwenye kusahau!

Rejea kile ulichoandika utajua wewe ni Mnafiki na nimwenye kuzua uongo!

Ufafanue uongo wangu, wewe ndiyo mzito wa kuelewa.
 
Ritz hakuna mwanamageuzi anayeshikiliwa akili na viongozi wa siasa isipokuwa wa-ccm, hivi hujiulizi kwenye bunge hili wale G55 wamepotelea wapi! Hujiulizi wajumbe wa baraza la wawakilishili wameshikwa na nini ndani ya bunge la katiba hata dhamira waliyoingia nayo pale imetoweka! Kwakifupi ni mfumo ccm sio mfumo kristo wala nini, zimwi hapa ni ccm, likona kete ni uislamu linaicheza, likiona sasa ni ukristo linaicheza kiasi kwamba wewe na mimi tunajikuta tukilumbana japo nia ya ukombozi ni moja.
 
Matusi ya nini? Mbona sisi hatuwasemi mnayoyatenda misikitini? Maneno haya kayasema muislamu mwenzako. Muulize yeye ndie atakupa jibu. Au unamuogopa?

Amandla......
Unaonekana una hofu sana na Uislam aka "Islamophobia"
 


Japokuwa tunaishi katika siasa na wanasiasa lakini siasa siku zote ni mchezo mchafu. Ndiyo maana binafsi naungamkono hoja ya kurudishwa kwa serikali ya TANGANYIKA kwani hata wanaosema gharama itakuwa kubwa sioni logic yao kwani hata ndani ya serikali 2 zilizopo matumizi, ubadhirifu, ufisadi na wizi vimekithiri kiasi kwamba hata faida siioni, hivyo nibora TANGANYIKA yetu irudi ili matumizi yazidi ili na wao wakose za kukwapua.

Mambo ya udini sijui Ukristo, Uislamu hayo tuwaachie wenye fikra fupi kwani binafsi kila mtu regardless of his/her religion ni ndugu yangu kwani nimeishi hivyo kwa miaka mingi ambayo MUNGU ameniwezesha kuishi hadi sasa, jambo la msingi ni kuwa makini na wanasiasa....mimi kwa taaluma yangu huwa kuna msemo tunapenda kuutumia ktk shughuli zetu unaosema hivi. "......NEVER TRUST A BULL, ESPECIALLY A JERSEY BULL......"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…