Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
FF siku zote umekuwa muumini wa kweli wa ccm na viongozi wake na unajua jinsi ccm isivypoenda kutenda haki kwa mtu yeyote asiye mwanaccm. Mnafiki zaidi ni nani, anayeshabikia ccm wanaovunja haki za binadamu ili wabakie watawala labda kwa ujira wa dhambi/au kwa kutishiwa au ccm wanaovunja katiba kibabe kwa sababu tu wako madarakani na watu kama wewe mnawaimbia ccm nambari wani? Sioni unachokilalamikia hapa na kuleta hoja za kanisa badala ya kuona ubaya wa ccm kuminya kwa makusudi haki za watu wengine. Unaongea kwa sababu wewe ni mwislamu au unaongea kwa sababu hupendi dhuluma? kama unatetea dini peke yake, hoja yako haina mashiko. Kama unatetea haki za watu zinazovunjwa kwa makusudi na mabwana zako (ccm) unaweza ukawa na hoja iwapo tu utatutangazia kuwa sasa wewe si muumini wa ccm tena!

Kwa hiyo wewe unaona ni sawa Lukuvi kwenda kanisani na kuongea na Wakristo ili kuweka chuki baina yao na Waislaam? kuwa Waislaam ndiyo wanaotaka Serikali tatu?
 
Mnapenda sana kuzungumzia udini sana,na tena hadi kuita watu magaidi kwa dini zao za haki. Acheni bhana, kwani mnajua yajayo mbeleni baada ya nyie kufa na vizazi vyenu? Jadilini mambo ya kijamii hapo tusome tupate uelewa.
 
Wadau kwa jinsi nilivyo muona Waziri Lukuvi akiongea bungeni kwa jazba bila kutumia busara, in fact aliongea pumba na huyu ni mmoja wa washauri wa Jk. Najiuliza Jk akiwa mezani na washauri wake wawili, kushoto Lukuvi kulia Wasira, nini kitaendelea hapo??
 
It is wrong to shift all blames to politicians and exempt ourselves.we are directly responsible.If you are boko haram you can not kill thousands of nigerians and blame politicians or distribution of wealth to difuse the culprints.sorry i dont trut your school of thought

Mkuu,

Sijakufahamu asilan umekusudia kusema kipi hapo!? Daah! Lakini haina neno!

Yaani kwa jinsi hivyo ulivyonijibu....nina hakika yakua hujanifahamu asilan au huna uwezo wa kunyambua kiundani, kile nalichojaribu kumdadavulia yule Mwanajamvi mwenzetu kiduchu!

Au umejibu tu kwa mihemuko Mkuu!? Daah!

Pole yako!

Ahsanta!
 
Wadau kwa jinsi nilivyo muona Waziri Lukuvi akiongea bungeni kwa jazba bila kutumia busara, in fact aliongea pumba na huyu ni mmoja wa washauri wa Jk. Najiuliza Jk akiwa mezani na washauri wake wawili, kushoto Lukuvi kulia Wasira, nini kitaendelea hapo??
Umesahau ...na Mgulu Nchemba!
 
Kama JK anayumba basi anajitakia mwenyewe tu, mamlaka yote anayo mikononi mwake, ni yeye tu kuyatumia vema
 
Wamepata kijiwe cha kuzeekea tu..., ushauri watoke nao wapi?
Wenyewe wanahitaji kushauiwa
 
Faiza na Manyang'au kadhaa humu,mmekua mstari wa mbele kuteteaa watawala hawa dhalimu mpaka dini yetu inapiguswa ndio tunajidai kuwa tunachukizwa, Kataa CCM leo, Kesho na Milele,

I said it before, but,but let me repeat for you!

Nothing clearer than the tragic fact that Chadema, like most of the opposition parties and/or fake politicians in third world countries has only the illusion of being in power!

Chadema is undemocratic,corrupt, coupled with toxic tribal and religious ideologies and is still as hypocrisy and nepotism enshackled as it ever was, in some respect more so! Daah!

Basically, Chadema is sickening and highly outrages!...and the worst is they are not willing in anyway to understand/listen anything!? Daah!

Ahsanta sana!
 
Let me break it down/amplify a bit!

We all have personal situations and issues dealing with one another within our society and World politics dynamic.

There will always be something we will complain about with the other group/s, but that can't the focus of struggle!?

What you create is the tug of war battle/instability between two parts that actually has the same and/or similar strength. NO one wins!

You have to critically think/evaluate and know that these situations and problems are occurring due to us(as a society) being gravely sickened by the influence of the people that rules over us.

Not only this, you can't internalize all Muslim's issues when they are not directly related to you and you have NO immediate solution to resolve them!?

You are creating more problems for this effect, which is Islamophobia,religious indifference and/or tension, because all you have is point the finger!?

Yes, we all need accountability, but once again, this can't be the focus for us to do because it is a delicate fabric that needs to be balanced with immediate solution/s and not cheap accusations on the whole!

Imbalance of removing the element of solution will replace it with the element of destroying our whole own society.

There's no way I'm telling you that you shouldn't vent about issues you see for the moment, but many choose to go on this rage long term and eliminate the real Terrorists that created these problems for us to have...which are the Politicians/leaders in our society and of the World!

They should always be the direction you focus on, because if we did not live in a society/world where their illusion of superiority and/or deception ruled we wouldn't be having these kind of Islamophobia and/or religious tensions over our discussion/s!?

Ahsanta sana!

Andika kwa kiswahili nitakujibu. Hiki kiingereza kibovu sikiwezi.

Amandla....
 
Unamzungumzia lukuvi kama lukuvi au taasisi anayoiwakilisha ambayo ni serikali inayofuata mfumo kristo? Nimekuuliza taasisi (ccm) bosi wao aliyepinga s3 ambayo lukuvi kaenda itetea kanisan na wale wajumbe wa zenj waliokata mauno kumshangilia kikwete nao mfumo kristo? Mm siogopi uislaam kabisa,bali majuha wapotoshaji wanaojificha kwenye kichaka cha dini

Lukuvi na aliyotumwa na Waziri Mkuu.

Serikali ina dini?
 
Naona unanipa maelezo marefu mno ambayo hayana majibu, mie nimeuliza Ukirsto unaruhusu ushoga simple tu ungenijibu ndiyo au hapana.

Uislam upo wazi sana kwanza unatakiwa ufahamu kuna Waislam na Waumini, siyo kila Muislam ni Muumini, Uislam una utaratibu wake kutoka kwenye Quran na Sunna hapa ndiyo unatakiwa uelewe, sisi tumefundishwa kufuata mwenendo wa Mtume wetu Mohammad na waja wema waliopita, pamoja na Mitume wa Mungu, hauwezi kufanya reference kwa hao ulionitajia hawamo kwenye vitabu Quran na Sunna.

Uislam ni dini ya haki na upendo tumekatazwa kudhulumu wala kukubali kudhulumiwa, tumeamrishwa kuwatendea haki wema watu wote hata wasiokuwa Waislam, na tumefundishwa kuwaheshimu na kuishi nao kwa wema wale wote ambao wasiokuwa Waislam.

Sasa wewe ukiwaangalia Boko haram, Al-Qaida na makundi mengine ndiyo ukaona huo ndiyo Uislam basi umekosea, usome Uislam ufahamu vizuri.

Rudi kwenye Google.

Tarejea barzani...

Najua majibu yangu ni marefu mno kwa nyinyi mliozoea mitihani ya multiple choice. Hata hivyo kwa nini unapata kigugumizi kutuambia kama Boko Haram, Al Qaeda wanawakilisha Uislamu au la? Kama siwezi kufanya reference kwao kwa sababu hawamo katika Quran niambie wapi kwenye Biblia kuna Anglican au Gene Robinson?

Amandla.....
 
Lipumba is a dumbest Professor ever to be in politics. Huwezi ukalipiza ubaya kwa ubaya. Kama wenzake walisema uislamu huwezi kuwaita intarahamwe. Na neno interahamwe ni baya sana sana tena sana ni sawa na mtu akulinganishe na nazi ya german. Nadhani hii kauli yake itamgharimu!
Mbona yeye pia alishawahi kuhimiza waislamu wajiange kwa kuwa wakristu wanajipanga tena aliyaongea msikitini, je yeye si mchochezi wa udini?
 
Nimekutajia Rev Gene Robinson kwa makusudi kumbe unamjua vizuri kama ni shoga.

Ni kiongozi wa Kanisa Anglican, ni shoga vipi ndiyo ukirsto huo?

Haya hautaki habari za Mbwa,je habari za mashoga wa jinsia moja kufunga ndoa Kanisani vipi ndiyo Ukirsto.

Uzuri wa Uislam hauwezi kuulizwa habari za nchi nyingine unaulizwa umeufanyia nini Uislam pale ulipokuwepo Zanzibar wana haki kama nchi yao kujiamulia mambo yao.

Una hofu sana na Uislam.

Nakusoma kwa utuvu sana sharrif ritz
 
This will endless cost our president. Mbona wapo lukuki washauri wazuri, either watu wa usalama wameshindwa kumtaarifu Mh. Rais kuhusu wasifu wa watu wa kumshauri ama alikataa ushauri na kuchukua washkaji zake ili waneemeshe matumbo yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom