Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Huwezi penda ccm halafu ukatetea upuuzi unaofanywa na viongozi wa ccm kwa unafiki uitoe kwenye makosa na kuwatupia wakristu,mbaya zaidi hujasikia viongozi wake si tanganyika wala zenj waliokanusha,kisha uwalaumu na kuwakejeli chadema wakati si waliokosea, jibu ni nini,chadema inaongozwa na padri wa zamani mkristu ambae kwako ww ni adui kuliko hao waliolikoroga ccm. You are confused lot

Open your mind before your mouth! Daah!

Chadema is not like any other normal, humane/conventional democratic party.

Chadema is a daylight robbery and mental genocide!

I feel sorry for its followers aka "misukule ya Ufipa"! Daah!...when one accepts lies as truths, this affects his/her notion of reality, which inevitably cause incorrect conclusions to form in the mind!

Tragically, that's exactly what happened to almost all of Chadema followers!

Ahsanta.
 
Tunaposema CCM inatumia udini kama shield huwa mnatuona wapuuzi sana.
faiza Foxy so unalalamika, unashangaa au unapiga story??

CCM inatumia ikulu kama choo cha stand
 
Last edited by a moderator:
This will endless cost our president. Mbona wapo lukuki washauri wazuri, either watu wa usalama wameshindwa kumtaarifu Mh. Rais kuhusu wasifu wa watu wa kumshauri ama alikataa ushauri na kuchukua washkaji zake ili waneemeshe matumbo yao.
You mean "will" ???????
 
Mbona Bikira maria wakati ana umri wa miaka 11alikuwa na mimba!? Na aliolewa na mzee wa miaka 90!?

Au hilo ulikuwa haulijui!?

Bikira Maria alichumbiwa akiwa na miaka 12 na inasemekana alimzaa Yesu akiwa na miaka 13 wakati Joseph akiwa na miaka 90. Aisha Bint Abu Bakar alikuwa ana miaka 6 au 7 alipochumbiwa na Mtume Mohammed. Ndoa yao ilikuwa "consummated" akiwa na miaka 9. Mtume Mohammed alikuwa na miaka 53.

Kwa hiyo?

Amandla.....


 
Hayo ni mawazo yako jambo ni pumba unahaki ya kutoa maoni yako.
 
Hakika umenena vema kwani kama kweli raisi wetu ana washauri kama akina lukuvi hakuna cha kulisaidia taifa hapo,zaidi ya kuliangamiza.
 
Huwezi penda ccm halafu ukatetea upuuzi unaofanywa na viongozi wa ccm kwa unafiki uitoe kwenye makosa na kuwatupia wakristu,mbaya zaidi hujasikia viongozi wake si tanganyika wala zenj waliokanusha,kisha uwalaumu na kuwakejeli chadema wakati si waliokosea, jibu ni nini,chadema inaongozwa na padri wa zamani mkristu ambae kwako ww ni adui kuliko hao waliolikoroga ccm. You are confused lot

Mkuu,

Wanilaumu na kunisimanga bure, yanini Yakhe!?

Mie nalikua nazungumza kiduchu tu na ndugu yangu JokaKuu kwa telepathy!...nae nina hakika amenifahamu nalichokusudia, ndo maana waona amenyamaza!

Pole saana!

Ahsanta.

Cc;Barubaru
 
Kama jei kei angewatumia
mkapa,warioba,butiku,sumaye.
Kidogo hadhi na heshima yake ingekuwa juu zaidi na taifa lingeimarika kiustawi.
Lakini kwa watu kama mwigulu,wassira,lukuvi aaah! Hovyo kabisa.
 
Nathani wenye akili washaona kitu gani kitatokea iwapo Zanzibar itakuwa dola kamili inayojitegemea.

Watu wanakurupuka tu sababu ya uislam. Hawana agenda zaidi ya kulinda dini ambayo hakuna mtu anayoichukua. Kingine nani anajua ukubwa wa Zanzibar?? Wao wajiite nchi kamili lakni wakae kwetu ila wabara hawawezi kukaa Zanzibar bila fitina.

Huu udhalimu na fitina wa kulaumiwa ni Seif na wenzake. Wao wanachotaka znz iwe dola kamili waingie kwa Jumuia ya waislam huku waarabu wakitaka kurudi kwa mgongo wa historia huku tukijua wazi wanataka mafuta.

Tusipokuwa waangalifu tutakuta tumeingia kwenye machafuko ya hali ya juu. Na hawa waarabu wanaharamu ndio wanalotaka. Hakuna mtu wa nje mwenye nia njema na nchi yetu. Sio magharibi wala uarabuni.

Mtu anaongelea Zanzibar kupata dola kamili wakati hana hata hiyo elimu kutwa kukaa vibarazani.

Nashangaa kwanin kina Seif bado wanaishi hawa watu.


The king.

Yaani wewe ni mbwinga, mwehu, mpuuzi, mwanaharamu zaidi ya uliowaita, unaongea utumbo zaidi ya lukuvi,nguruwe Pori weee!
 
Kawaida wajanja huchaguana, na wabovu hivyo hivyo.Hiyo inafuata law of attraction which states that LIkES ATTRACTS LIKES.
 
Lipumba is a dumbest Professor ever to be in politics. Huwezi ukalipiza ubaya kwa ubaya. Kama wenzake walisema uislamu huwezi kuwaita intarahamwe. Na neno interahamwe ni baya sana sana tena sana ni sawa na mtu akulinganishe na nazi ya german. Nadhani hii kauli yake itamgharimu!
Mbona yeye pia alishawahi kuhimiza waislamu wajiange kwa kuwa wakristu wanajipanga tena aliyaongea msikitini, je yeye si mchochezi wa udini?

Kwa hiyo unakiri kuwa Lukuvi kafanya vibaya au?
 
Bikira Maria alichumbiwa akiwa na miaka 12 na inasemekana alimzaa Yesu akiwa na miaka 13 wakati Joseph akiwa na miaka 90. Aisha Bint Abu Bakar alikuwa ana miaka 6 au 7 alipochumbiwa na Mtume Mohammed. Ndoa yao ilikuwa "consummated" akiwa na miaka 9. Mtume Mohammed alikuwa na miaka 53.

Kwa hiyo?

Amandla.....




Na Lukuvi ndio alikuwa shahidi wa hizo ndoa na ndiyo maana akawa na hofu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom