Mudimi Hwilangiboli
Member
- Apr 11, 2014
- 92
- 22
Watashauri kwa hofu na jazba zao na si katika hali halisi! Yaleyale ya mwaka 1992 wakati wa kuanzisha vyama vingi, ilikuwa hivhiv kwani walikua wanaonesha mikanda ya vita za Rwanda na Burundi.Wadau kwa jinsi nilivyo muona Waziri Lukuvi akiongea bungeni kwa jazba bila kutumia busara, in fact aliongea pumba na huyu ni mmoja wa washauri wa Jk. Najiuliza Jk akiwa mezani na washauri wake wawili, kushoto Lukuvi kulia Wasira, nini kitaendelea hapo??
aliyewachagua mwenyewe pumba
Sasa wamshauri nini wakati yeye mwenyewe hewaWadau kwa jinsi nilivyo muona Waziri Lukuvi akiongea bungeni kwa jazba bila kutumia busara, in fact aliongea pumba na huyu ni mmoja wa washauri wa Jk. Najiuliza Jk akiwa mezani na washauri wake wawili, kushoto Lukuvi kulia Wasira, nini kitaendelea hapo??
Bikira Maria alichumbiwa akiwa na miaka 12 na inasemekana alimzaa Yesu akiwa na miaka 13 wakati Joseph akiwa na miaka 90. Aisha Bint Abu Bakar alikuwa ana miaka 6 au 7 alipochumbiwa na Mtume Mohammed. Ndoa yao ilikuwa "consummated" akiwa na miaka 9. Mtume Mohammed alikuwa na miaka 53.
Kwa hiyo?
Amandla.....
Walewale bila CCM hamwezi kuishi .siku zenu zinahesabikaLukuvi karusha jiwe gizani.
Waliopatwa na jiwe tunawaona wanavyolialia......
We have already sealled your coffin. The time to be buried is here and now!!!!!!!
Naema Ukristo? Lukuvi alipokuwa anajitetea bungeni leo hii, kashindwa hata kusema kuwa hayo maneno kayaongelea kanisani, kasema maneno niliyoyangea mitaani! Dah kajikoroga ile mbaya.
Sasa mimi nakuuliza wewe, Kanisani kuna Uislaam au Ukristo? na mkienda kanisani huwa mnaongelea Uislaam? jibu ni ndio, kutoka kwa Lukuvi, anasema alikuwa anatoa hofu yake na hiyo ni imani yake na hakuna wakumzuia hata katiba haiwezi kumzuia. Kishajisahau kuwa mwanzoni alisema pale alitumwa na Waziri Mkuu.
Hakika, ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
mtoa mada siku zote amekuwa mtetezi na wakili wa ccm humu jamvini, leo hii analialia sijui kwa nini. ok tulia dawa iingie
kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa ukawa jana, professor lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa serikali ya muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya kiislam".
Jana nikauliza ni waziri gani huyo? Sikupata jibu humu jf.
Lakini kwa kuwa mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na waziri mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".
Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza lipumba.
Kwa uchache, lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "islamophobia" au hofu ya uislaam.
Kiongozi unaefikia kutangaza kanisani na bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si serikali ya mfumo kristo tunayoilalamikia siku zote humu?
Na leo lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu muungano upo kwa ajili ya kanisa. Na unaongozwa na kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya lukuvi, halafu wanajiita wao waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa islamic brotherhood ya egypt.
Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa lukuvi? Ikiwa nchi anayoiongelea ni zanzibar na wazanzibari 99% ni waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?
[video=youtube_share;piapaad3dck]http://youtu.be/piapaad3dck[/video]
cc ritz, gombesugu, kahtaan, the big show, chamviga
moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
Eeeeh! hata CUF kuna mfumo Kristo?
Mfumo kristu umedhihirishwa vizuri tu na huyu mwanaharam lukuvi.OIC imepingwa vikali sana Tanzania na huu mfumo kristu.Leo zanzibar imeruhusiwa kwa kigezo cha serikali mbili wakati kipindi kile inakataliwa zanzibar ilikua chini ya serikali mbili.hapo mfumo kristu umebadilisha mawazo.
ipi hatma ya OIC na Tanganyika huku Bara,Mfumo kristu kupitia hofu ya lukuvi juu ya uislam washajibu.
Ha ha ha ha ha.......Leo ni full vichekesho....Dahhhh...Kumbe hiki ndio Kirefu cha CCM.....
Hakika Kanisa Katoliki ni powerfull church ever...Kanisa ni kama maji....Lazima uyanywe, usipoyanywa utayakoga, kufulia, au kunyeshea bustani.....
Hakika na hichi ndicho nilichokuwa nasubiria kwa hamu.... CCM kumbe ni Chama cha Kikatoliki.....
Na bado....
tatizo ni kanisa au ni ccm??? Uanaccm wako usikufanye uzunguke vichaka,,ita nyeusi nyeusi na nyeupe nyeupe!!
1)Hivi mfumo wa kikristo unamaanisha nini hasa?Hembu acha kutupia humu maneno ya ujumla ujumla
2)Halafu unaka kuwa mwanachama wa Umoja wa Nchi za Kiislamu kwani nchi yako ni ya kiislamu.Hivi malengo muhimu ya oic ni nini ukiacha yale ya jumla ya uchumi?Kumbuka huu sio umoja wa maendeleo wa dunia
tatizo mfumo kristu