Mkuu,
Umezungumza mangi mno dhidi ya Mkuu FaizaFoxy...nina hakika mwenyewe yupo hapa anakusoma na takupatia majawaba yako murua...kama akipata fursa na ikilazim!?
Kama weye unajikhis umo Serikalini kama unavyotujuza!?...sasa kwanini watumia lugha hiyo ya vitisho na dharau!?
Kwa context ya hiyo bayana yako ya kipuuzi...yaani unajaribu kutuaminisha yakua huyo Rais Kikwete "Boss wako", "udhaifu" na "ustaarabu" wake ndo chanzo cha haya matatizo unayodai yanafanzwa na akina "FaizaFoxy na genge" lake kama ulivyotuambia!?
Wee kweli ni mpuuzi na mnyama wa hali ya juu!...yaani unawatisha Wanajamvi hapa yakuwa utawasaka baada ya 2015!?...kwa uhakika upi uliokua nao na kwa vigezo vipi!? Embu tujulishe hapa hapa jamvini!?
Usituletee story zako za vijiweni hapa!
Sasa, mie binafsi nakuhakikishia yakua weye ni kiumbe mduchu mno kwenye hiyo system/serikali hapo nyumbani! Na walaa hizi siasa chafu/za kuchafuana sio level yako au game yako...asilan abadan!
Weye ni mtoto mduchu mno...katafute chandimu ukacheze na wanzio! Ebo!
Yaani unatuletea vitisho vya kitoto na ukosefu wa adab hapa jamvini,sio!?
Wee unajaribu kumshutumu vikali Mkuu FaizaFoxy yakua ati yakua yeye na "genge lake" wanahatarisha hiyo myth yenu ya "umoja na amani" hapo nchini!?...sasa weye mwenyewe umejisoma kwa makini huo uharo wako ulotuletea hapa!?
Kwa hiyo hayo ndo maoni au mtazamo wa baadhi ya nyinyi wafanyikazi wa serikali baada ya hiyo 2015!?
Sasa je unafahamu kiundani athari za matamko ya kiharamia kama hayo yako!?...khasa kama hao unaowashutumu wakiamua kuyachukulia serious, na labda nao kuamua kujiandaa ili kukabiliana na vitisho vyako vya kitoto!?...ambavyo ati unajaribu kutuaminisha yakua ndo msimamo wa wafanyikazi wenye madaraka ya juu serikalini sio!?
Embu tutajie weye unafanzia idara ipi huko serikalini!?...kama utasema kweli, basi nakuhakikishia japo leo ni w'end lakini kama una wadhifa wowote nyeti kama unavyojaribu kutuaminisha...basi, utaitwa leo hiihii ukajieleze kwa Boss wako yeyote hapo!?
Wacha nipate coffee hapa kiduchu, nitakurejea!
We mswahili maneno yako hayanitishi kwa lolote. Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Sina haja ya kutukanana na kusemana vibaya.
Uhuru wa habari ndio unawafanya mseme mtakayo kusema tu bila kufikiri.nakubali Lukuvi alikosea,na kama umenisoma hapo juu nimesimamia our mother Tanzania. Sijasema lukuvi yuko sawa au lah!!
Unataka kunitafuta?? Njoo tume ya mawasiliano -------!!
Ahsanta sana!