Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.

Mfumo kristu ni ule ulioizuwia zanzibar kujiunga na OIC kwa kigezo Tanzania itajiunga.hapo serikali ni mbili.Ilipokuja Tanzania kujiunga na OIC mfumo kristu wakabana.

Mfumo kristo huohuo umeiruhusu zanzibar kujiunga na OIC kwa kigezo cha wazanzibari kupitia CCM kukubali serikali mbili.hii ni katiba mpya

members wa OIC sio nchi za kiislam tu.hili halihitaji ubatizo kulijua.
 
Jana akitoa ufafanuzi na utetezi wake., Mzee Lukuvi alinishangaza alupomsifia sana Augustin Mrema kuwa Ni Mpinzani wa kweli, na pia atashughulikia Malipo yake...Kwa mie binafsi nilitafsiri kama Ni Rushwa,Ila Nipo tayari kusahihishwa na pia Ni kwamba hawakuwa tayari kumlipa hadi awasaidie katika kutetea serikali mbili, na zaidi Ni kuonesha Ni mtumwa wao watakae mtajirisha muda mfupi ujao.... HERI MASKINI HURU KULIKO MTUMWA TAJIRI
 

Akili yako ipo likizo na bado imejaa viraka mchanganyiko.

Weye ndo wakurupuka kurupuka kanakwamba umefumaniwa.

Makaafir woote wa Tanzania na nje yake somo walishalifahamu kuwa nini maana ya mfumo kristo.


Kumbe ndo maana watuchelewesha kufahamiana kwasababu ya udogo wako wa viwango vya ufahamu...!?

Huna tofauti na mropokaji/ mfitini Lukuvi.

Cc. Pol Pot
 

Asante
1)Nikasome wapi mambo haya
2)Ninavyojua mimi serekali ya Tanzania sio mwanachama wa vatican.Vatican ina ubalozi wake hapa Tanzania. Sasa oic inataka kufungua ofisi au ubalozi?tatizo ni kutaka tuwe wanachama wsa umoja wa nchi za kidini.
3)Huo mfumo wa kikristo hauleweki kwenye nchi ambayo katiba yake imesisitiza kwamba serekali haina dini lakini raia washiriki na kuendesha imani zao bila kuingilia imani za wengine.shida nini
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni swali zuri sana, nnauhakika tutapata majibu huu mjadala unapoendelea.

Kwa sasa swali lako zuri sipati jibu la haraka-haraka.

Dada FF, jibu ni rahisi kabisa, unapokuwa Rais ni kama Taasisi, kuna externa Forces nyingi ambazo ziko very powerful hizo ndo zinakuongoza, huwezi kwenda against nazo! Wote ni mashahidi Mh. alikuwa tayari kwa katiba mpya na kuwaambia wenzake kuwa wajiamdae kisaikolojia kupokea muundo wa S3, lakini je leo anaongea tena lugha hiyo? Hiyo ni External Drive, ambayo hana jinsi. Ni sawa na ukiwa Rais wa US, unapangiwa nini cha kufanya! Kama kwenye list yao kuna nchi inatakiwa ichapwe, Rais wa US hata ukiwa ni mlokole, utalazimishwa kuingia vitani tu!
 

ndio hivyo kumbe.
 
Andika kwa kiswahili nitakujibu. Hiki kiingereza kibovu sikiwezi.

Amandla....

Weye hata hicho Kiswahili kwako, basi ni dhiki na adha kubwa kwa sie tujuao! Daah!

Mie hicho kiingereza nadodosa dodosa tu!...lakini niko-fluently na nakubalika,nafundisha/research lugha nyanginezo nne za kimataifa... tena, kwenye taasisi zenye kutambulika na kuheshimika mno humu duniani!

Hata hivyo shukran kwa hizo jitihada zako za kujaribu ati "kunirakabisha"! Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Sasa,acha kujitoa ufahamu na rejea kwenye mada,Ok!?

Ahsanta.
 


Mzee wangu Bill Cosby,

Yaani wanacha hoi bin taaban kwa kicheko! Duuh! Teeh! Teeh! teeh!

Yaani umelifananiza lile kanisa katoliki na gonjwa la ukimwi!? Daah! Kwii! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
wa Tanzania lazima tuwe makini waangalifu na wenye kumbukumbu. kila ccm wanaposhikwa pabaya hutumia karata ya udini. likuvi na savimbi ndio wana gamble thr last card tukishinda hapa tumewashinda
intarahamwe.
 
Kwani mama yako aliolewa na baba ako ana umri gani? Na baba yako alikuwa mwanaume wake wa ngapi?

Duuh! Yamekua hayo!?ahahahahaaa!!

Tuko pamoja Mkuu Ritz...umesomeka Kaka!

Ahsanta.
 
Alichokisema ndo hicho hicho Mh Lyatonga alichosema mjengoni mbona hilo jiPumba halikuja juu?
 

Hata mimi napata taabu kukielewa kiswahili chako. Sisi kwetu hatusemi "weye", "kunirakabisha", "kujitoa ufahamu", "ahsanta"n.k. Sasa kama kweli wewe u-msomi wa kiingereza na lugha nyingine nne, hauwezi kusema niko-fluently.

Pengine wengine wanakuelewa unapuzungumza au kuandika hicho kiingereza lakini mimi siwezi. Kwa sababu hiyo, samahani, sitaweza kujibu yale uliyoyasema kwenye posting yako ya kiingereza maana sikuielewa.

Amandla......
 




The king.
 
Thread imeingia udini mi nafahamu kuna mashoga waislam...na hao je utakuwa umetukana
 

Now, let me provide you with slightly different perspective of the the same argument,Ok!?

There's a deliberate and very successful effort/s so far being made to ensure that Muslim's struggle and/or development stays neglected! It involves MfumoKristo at the the core and all kinds of other mind control on the surface. It's insidious!

I said it before...but worthy repeating though!

Chadema is always going to be against Muslims/Islam, no matter how many of its followers/misukule say they are not! Nothing is going to change this tragic reality! Daah!

Some Chadema followers may say...Oooh! It's not Islamophobia and we "love" Muslims!... I mean that kind of bullshit!

Now, do they talk for everyone else on how they feel!? The answer is a big fat NO!

I find it funny, when if I say all Chadema's are spreading Islamophobia and they harbour deep hatred against Muslims/Islam...then automatically makes me "mdini"!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Bottom line is, all Chademas are Nazis and they loathe Muslims!

Ahsanta sana!
 
Thread imeingia udini mi nafahamu kuna mashoga waislam...na hao je utakuwa umetukana



Yaani hivi sasa ndo waanza kuuona huo "udini", baada ya Waislam kuanza kujibu makhanatha ya hao wakosefu wa adabu hapa jamvini!? Duuh!

Hivi Mkuu unafuatilia huu mnakasha bayana kwa bayana!? Tafadhali bana!

Ahsanta!
 


Mimi sikujua kuwa ulishuhudia uja uzito wa Bikira Maria. Mimi kwa sababu sikuwepo wakati ule nimefanya utafiti kidogo. Tamaduni za wayahudi wa wakati ule ziliruhusu msichana kuchumbiwa (betrothal) akiwa na miaka 12 na nusu. Msichana aliendelea kukaa na wazazi wake kwa kipindi cha takriban mwaka mmoja kabla ya harusi kufanyika na yeye kuhamia kwa mume wake. Wakati wa uchumba palikuwa hakuna kujaaminiana. Bikira Maria alipata uja uzito wa Yesu akiwa mchumba wa Joseph na sio Mke wake. Angekuwa tayari keshaolewa, Joseph asingetahayari na kutaka kumuacha. Na hata Maria asingeshangaa pale binamu yake Elizabeth alipomuambia atajifungua Messiah. Joseph alikubali kumuoa baada tu ya kutembelewa na malaika. kwa sababu hizi inakisiwa kuwa Bikira Maria alikuwa na umri zaidi ya miaka 13 ( 12 na nusu jumlisha miezi 9) alipomzaa Yesu.


Kweli wangekuwa wanaishi miaka hii, Joseph asingeruhusiwa kumuoa Maria na wazazi wa Maria wangechukuliwa hatua kali. Lakini ingekuwa wakati huu, DNA ya Yesu ingepimwa na kukutwa si ya Joseph na hivyo kumuondelea kesi ya "statutory rape".

Vile vile kwa Mtume Mohamed ambae alimchumbia Aisha akiwa na miaka 6-7 na kumuingia (consummate) akiwa na miaka 9. Huyu ana tofauti gani na Joseph? Si afadhali Joseph ambae alimuoa Maria lakini hakutembea nae kuliko huyu mwingine ambae bila shaka alitembea na mtoto wa miaka 9.

Mimi naishia hapa na sitaendeleza hii mada maana ishajadiliwa sana na haikuishia pazuri.

Amandla...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…