Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kinana huwa nampenda hata katika ziara zake huwezi kumsikia akiropoka yeye anazungumzia matatizo ya Watanzania
kwani somalia anasupport kundi gani linaoua waislam wa grade gani?kwani kinana hapa TZ sera za CCM zinazowafanya waislam wa tanzania kuwa ombaomba wa kupewa bwabwa siku ya matukio na vijizee kusimamishw amajukwaani ili vijione vinapewa heshima...?kwani shida ya bakwata kupinguana na akia ponda ktk misikiti ni tatizo la nani..au kuna watanzania na waislam?Acha ujinga wewe..si muda mrefu waislam wataanguka sana...tena sana...wale wenye hela walizopata sasa watazitumia kubadili bishara na bishaa zinazohitajika.....ila masikini wa kushinda misikitini au kupiga blah blah..hali yao itakuw angumu sana
 

Vibibi vikipewa ubwabwa net inakata kabisa
 
Vibibi vikipewa ubwabwa net inakata kabisa
CCM huwavalisha nguo na kuwapitisha ktk majukwaa...kuwapa sifa kidogo za kutosha kwenda waogopesha wenzao...ukijazia na bwabwa..basi biashara hadi uchguazi mwingine..au tishio la CDM kuja wanyakua....CCM ndio adui wa waislam incl Lukuvi
 

Nimeitoa kwako.


Nimeitoa kwenye link uliyoiweka. Hapo nilipo-bold panasema kuwa makasisi walitangaza kuwa wanatafuta mtu wa kumuoa Maria ambae alikuwa na umri wa kati ya miaka 12 na 14. Joseph akiwa na miaka 90, alikuwa mmoja wa waliotuma maombi ya kumuoa Maria.


Hii nayo iko kwenye link uliyoiweka. Inasema kuwa mabinti wa kiyahudi walihesabiwa kuwa wako tayari kuolewa walipokuwa na umri wa miaka 12 na nusu. Ndoa ilitanguliwa na uchumba ambapo binti alitambulika kuwa ni wa mchumba wake lakini hawakuishi pamoja mpaka baada ya takriban mwaka mmoja.

Ikiwa Maria alitafutiwa mchumba akiwa na miaka 12, aliolewaje akiwa na miaka 12 (mwanzo ulisema miaka 11) hiyo hiyo kama unavyodai?

Kuhusu Mtume Mohammed na ndoa yake na Aisha. Katika Sahih Bukhari kitabu cha 58 namba 234, mke wake mpendwa Aisha anasimulia hivi:



Yeye anasema alichumbiwa akiwa na miaka 6 na baada ya kutayarishwa kwa ndoa alikabidhiwa kwa Mtume Muhammad na mama yake. Alikuwa na miaka 9. Tamaduni za huko ni kuwa binti alitayarishwa kwa ajili ya tendo la ndoa. Hii ni kwa sababu baada ya sherehe, maharusi walipelekwa kwenye chumba chao ambako bwana harusi alimfunua bibi harusi na pili alimtoa bikra yake. Sehemu nyingi shuka iliyokuwa na damu ilichukuliwa na kuonyeshwa kwa waliokuja kwenye harusi. Utamaduni huu ulikuwepo hata huku kwetu sehemu za pwani ambako waarabu waliweka mizizi.

Sasa wewe ulitaka Aisha bint Abi Bakr, kipenzi cha Mtume wako, akusimulie yote haya ndio ujue kuwa Mtume Mohammed kama mume alimtoa bikra siku ya harusi?

Kwa vile ulitaka tutumie sheria za sasa hivi na hasa huko unakodai unaishi, mtu anayemtoa bikra mtoto wa miaka 9 anaitwaje na anachukuliwa hatua gani?

Na wewe ni mwingine ambaye nimefikia mwisho wa kujadiliana nae.

Amandla.......
 


Msomi anapoandika kitu basi ANAWEKA NA USHAHIDI WA kuyathibisha aliyoandika au kusema!

Sasa mimi nimekuwekea USHAHIDI wa kila madai nilio andika hapa!

Na wewe hapo kwenye RED TUWEKEE USHAHIDI WA MANENO YAKO! Usiniletee maneno yenu ya kwenye hivyo vibaraza vyenu vya uswahilini!

Nyie ndio wale siku za nyuma viongozi wa makanisa walipokuwa wanajifungia na watoto wenu, mna hadithiana huko nyuma kuwa PADRI ANAWATOA MAPEPO!

Matokeo yake leo Kesi za UBAKAJI NA KUNAJISI WATOTO WADOGO ZIMETAPAKAA KWENYE MAKANISA DUNIA MZIMA!

Acha mipasho na maneno ya rusha roho km muimba taarabu!

Nimekuonyesha KWA USHAHIDI kuwa Maria ALIOLEWA NA JOSEPH Wa miaka 90 Hali ya kuwa yeye ni kasichana ka miaka 12! na UJAUZITO AKAPATA! na wewe ngonjera! NIPE USHAHIDI!

Halafu hizo tabia za kutishia kutokujibu ni Tabia za kike! Jibu maswali km Dume!
 
Nyerere aliwahi kusema kuwa mwanasiasa yeyote akifilisika kisera hukimbilia sera ya udini na ukabila!
 
Kwani kwa ujinga wako huu na hasira zote kwa kinana unadhani utapunguza kasi yake pengine upewe pole kwa maumivu na uchungu ambao unapata kwa kasi ya kinana aliyonayo,pole vumilia ukienda pupa utapasuka msamba.
 
Aliyekutumia msg hiyo muulize kuwa wakati lipumba anaomba kura msikitini alifanywa nini,nadhani jibu jepesi tu wewe na huyo aliyetuma msg wote tunawapuuza tu fanyeni kazi halali mpate riziki umbea hauna posho.
 
CCM na Lukuvi wakome kuchochea udini!
Kwetu pwani kwa akili yako hii tungekuita mwapwani unaropoka bila hata kujielewa pengine tukupuuze au upate ushauri mbadala kwanza.
 
wa Tanzania lazima tuwe makini waangalifu na wenye kumbukumbu. kila ccm wanaposhikwa pabaya hutumia karata ya udini. likuvi na savimbi ndio wana gamble thr last card tukishinda hapa tumewashinda
intarahamwe.
Akili za kibavicha hizi,

chama chako kimejaa mapadri na wachungaji huku miezi michache iliyopita mlikuwa mnachochea udini kupitia njia ya kuchinja halafu leo unaongea pumba unadhani tumesahau.
 
Nyerere aliwahi kusema kuwa mwanasiasa yeyote akifilisika kisera hukimbilia sera ya udini na ukabila!
Hili ndiyo tatizo la bavicha wengi hamjitambui wala hamwelewi mnafanya nini kwenye hii dunia kazi yenu kuwinda watu na sumu mfukoni.
 
Hapa kosa ni la Jakaya Mrisho Kikwete, aliyemteua kushika nafasi hiyo na ndio pekee anayeweza "kumuadabisha". Kwavile Rais wetu ni "dhaifu" basi sisi wananchi yatupasa tuchukue hatua.



Rais si kazi yake kumuadabisha mtu.
 
Kwa hili FaizaFoxy na kubaliana na wewe Waislamu wa zenji wananyanyaswa sana na hii serikali dhalimu ya ccm
 
Last edited by a moderator:
Mzee wangu Bill Cosby,

Yaani wanacha hoi bin taaban kwa kicheko! Duuh! Teeh! Teeh! teeh!

Yaani umelifananiza lile kanisa katoliki na gonjwa la ukimwi!? Daah! Kwii! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
kumbe na hili kibaka gombesugu lipo Huku Ngoja nichape mwendo
 
Last edited by a moderator:

Gongo mbaya sana hata mbwa ukimuwekea hanywi wanakunywa wendawazimu tu.
 

Wewe fisimaji wacha kujitutumua na kutajataja Makabila ya watu, hizo daliliza kushindwa Mnakasha badala yake unaleta mikwala Mbuzi.
 
Mungu hufichua mbinu za waovu kweupe, mpaka sasa kama wazanzibari bado hawataki kuchanganua mawazo na kufanya tafakuri ya kina basi wana matatizo kwenye vichwa vyao........

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…