Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kinana huwa nampenda hata katika ziara zake huwezi kumsikia akiropoka yeye anazungumzia matatizo ya Watanzania
kwani somalia anasupport kundi gani linaoua waislam wa grade gani?kwani kinana hapa TZ sera za CCM zinazowafanya waislam wa tanzania kuwa ombaomba wa kupewa bwabwa siku ya matukio na vijizee kusimamishw amajukwaani ili vijione vinapewa heshima...?kwani shida ya bakwata kupinguana na akia ponda ktk misikiti ni tatizo la nani..au kuna watanzania na waislam?Acha ujinga wewe..si muda mrefu waislam wataanguka sana...tena sana...wale wenye hela walizopata sasa watazitumia kubadili bishara na bishaa zinazohitajika.....ila masikini wa kushinda misikitini au kupiga blah blah..hali yao itakuw angumu sana
 
kwani somalia anasupport kundi gani linaoua waislam wa grade gani?kwani kinana hapa TZ sera za CCM zinazowafanya waislam wa tanzania kuwa ombaomba wa kupewa bwabwa siku ya matukio na vijizee kusimamishw amajukwaani ili vijione vinapewa heshima...?kwani shida ya bakwata kupinguana na akia ponda ktk misikiti ni tatizo la nani..au kuna watanzania na waislam?

Vibibi vikipewa ubwabwa net inakata kabisa
 
Vibibi vikipewa ubwabwa net inakata kabisa
CCM huwavalisha nguo na kuwapitisha ktk majukwaa...kuwapa sifa kidogo za kutosha kwenda waogopesha wenzao...ukijazia na bwabwa..basi biashara hadi uchguazi mwingine..au tishio la CDM kuja wanyakua....CCM ndio adui wa waislam incl Lukuvi
 
Ulipo anza kujadili hili suala unatakiwa kulimaliza! Na sio kusema utaishia hapa!

Suala la ujauzito wa Maria na kuolewa kwake akiwa na umri wa chini ya miaka 12 sijautoa kichwani kwangu! Wala sikuwepo wakati mzee Joseph wa umri wa miaka 90 akifunga ndoa na maria!
Huu umerekodiwa na WAKATOLIKI WENYEWE!

Ingia hapa kwa maelezo zaidi!

CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: St. Joseph

Na kuhusu suala la Mtume Muhammad kumposa mkewe akiwa na miaka 6 na kumuoa akiwa na miaka 9 Hakuna ktk kitabu chochote wala ushahidi wwt kuwa Tendo la ndoa lilifanyika!

Umeweza kuchunguza utamaduni wa kiyahudi wa wazee kuoa watoto wa miaka 12!
Lkn hakuna jitihada yyt uliofanya ya kujifunza utamaduni wa waarabu wakati huo!
Nimekutolea mfano wa Sheria ZETU ZA SASA kwa hawa wahusika wawili na nimefanya hivyo kukuonyesha kuwa KM ni kuvunja sheria basi Leo Joseph angekuwa keko zamani sana!
Na kwa Muhammad kwa sababu hakuna ushahidi wwt wa uvunjaji wa sheria Sheria isinge muhukumu llt!

Nyie siku zote hufanya haraka na kum accuse Mtume Muhammada kwa kuoa msichana wa miaka 9!
Lkn hapo hapo mnasahau kuwa Joseph Alioa mtoto wa miaka 12 NA ALIKUWA MJAMZITO!

Sasa hata km Itapimwa hio DNA na ikagunfulika Sio ya Joseph!
We ulitegemea Serikali zetu hizi zingekubali kuwa huyo binti hakufanya Tendo la NDOA!?

Msiwe mnapenda kutoa kashfa za kubumba juu ya waislamu wakati huo huo mnajisahau kuwa km ni uvunjaji wa Sheria basi Mnao nyie! Tena KWA USHAHIDI!

Nimeitoa kwako.

It will not be without interest to recall here, unreliable though they are, the lengthy stories concerning St. Joseph's marriage contained in the apocryphal writings. When forty years of age, Joseph married a woman called Melcha or Escha by some, Salome by others; they lived forty-nine years together and had six children, two daughters and four sons, the youngest of whom was James (the Less, "the Lord's brother"). A year after his wife's death, as the priests announced through Judea that they wished to find in the tribe of Juda a respectable man to espouseMary, then twelve to fourteen years of age. Joseph, who was at the time ninety years old, went up to Jerusalem among the candidates; a miracle manifested the choice God had made of Joseph, and two years later the Annunciation took place. These dreams, as St. Jerome styles them, from which many a Christian artist has drawn his inspiration (see, for instance, Raphael's "Espousals of the Virgin"), are void of authority; they nevertheless acquired in the course of ages some popularity; in them some ecclesiastical writers sought the answer to the well-known difficulty arising from the mention in the Gospel of "the Lord's brothers"; from them also popular credulity has, contrary to all probability, as well as to the tradition witnessed by old works of art, retained the belief that St. Joseph was an old man at the time of marriage with the Mother of God.

Nimeitoa kwenye link uliyoiweka. Hapo nilipo-bold panasema kuwa makasisi walitangaza kuwa wanatafuta mtu wa kumuoa Maria ambae alikuwa na umri wa kati ya miaka 12 na 14. Joseph akiwa na miaka 90, alikuwa mmoja wa waliotuma maombi ya kumuoa Maria.

Jewish maidens were considered marriageable at the age of twelve years and six months, though the actual age of the bride varied with circumstances. The marriage was preceded by the betrothal, after which the bride legally belonged to the bridegroom, though she did not live with him till about a year later, when the marriage used to be celebrated. All this agrees well with the language of the Evangelists. St. Luke (1:27) calls Mary "a virginespoused to a man whose name was Joseph"; St. Matthew (1:18) says, when as his mother Mary was espoused to Joseph, before they came together, she was found with child, of the Holy Ghost". As we know of no brother of Mary, we must suppose that she was an heiress, and was obliged by the law of Numbers 36:6 to marry a member of her tribe. The Law itself prohibited marriage within certain degrees of relationship, so that the marriage of even an heiress was left more or less to choice.

Hii nayo iko kwenye link uliyoiweka. Inasema kuwa mabinti wa kiyahudi walihesabiwa kuwa wako tayari kuolewa walipokuwa na umri wa miaka 12 na nusu. Ndoa ilitanguliwa na uchumba ambapo binti alitambulika kuwa ni wa mchumba wake lakini hawakuishi pamoja mpaka baada ya takriban mwaka mmoja.

Ikiwa Maria alitafutiwa mchumba akiwa na miaka 12, aliolewaje akiwa na miaka 12 (mwanzo ulisema miaka 11) hiyo hiyo kama unavyodai?

Kuhusu Mtume Mohammed na ndoa yake na Aisha. Katika Sahih Bukhari kitabu cha 58 namba 234, mke wake mpendwa Aisha anasimulia hivi:


Volume 5, Book 58, Number 234:
Narrated Aisha:
The Prophet engaged me when I was a girl of six (years). We went to Medina and stayed at the home of Bani-al-Harith bin Khazraj. Then I got ill and my hair fell down. Later on my hair grew (again) and my mother, Um Ruman, came to me while I was playing in a swing with some of my girl friends. She called me, and I went to her, not knowing what she wanted to do to me. She caught me by the hand and made me stand at the door of the house. I was breathless then, and when my breathing became Allright, she took some water and rubbed my face and head with it. Then she took me into the house. There in the house I saw some Ansari women who said, "Best wishes and Allah's Blessing and a good luck." Then she entrusted me to them and they prepared me (for the marriage). Unexpectedly Allah's Apostle came to me in the forenoon and my mother handed me over to him, and at that time I was a girl of nine years of age.

Yeye anasema alichumbiwa akiwa na miaka 6 na baada ya kutayarishwa kwa ndoa alikabidhiwa kwa Mtume Muhammad na mama yake. Alikuwa na miaka 9. Tamaduni za huko ni kuwa binti alitayarishwa kwa ajili ya tendo la ndoa. Hii ni kwa sababu baada ya sherehe, maharusi walipelekwa kwenye chumba chao ambako bwana harusi alimfunua bibi harusi na pili alimtoa bikra yake. Sehemu nyingi shuka iliyokuwa na damu ilichukuliwa na kuonyeshwa kwa waliokuja kwenye harusi. Utamaduni huu ulikuwepo hata huku kwetu sehemu za pwani ambako waarabu waliweka mizizi.

Sasa wewe ulitaka Aisha bint Abi Bakr, kipenzi cha Mtume wako, akusimulie yote haya ndio ujue kuwa Mtume Mohammed kama mume alimtoa bikra siku ya harusi?

Kwa vile ulitaka tutumie sheria za sasa hivi na hasa huko unakodai unaishi, mtu anayemtoa bikra mtoto wa miaka 9 anaitwaje na anachukuliwa hatua gani?

Na wewe ni mwingine ambaye nimefikia mwisho wa kujadiliana nae.

Amandla.......
 
Nimeitoa kwako.



Nimeitoa kwenye link uliyoiweka. Hapo nilipo-bold panasema kuwa makasisi walitangaza kuwa wanatafuta mtu wa kumuoa Maria ambae alikuwa na umri wa kati ya miaka 12 na 14. Joseph akiwa na miaka 90, alikuwa mmoja wa waliotuma maombi ya kumuoa Maria.



Hii nayo iko kwenye link uliyoiweka. Inasema kuwa mabinti wa kiyahudi walihesabiwa kuwa wako tayari kuolewa walipokuwa na umri wa miaka 12 na nusu. Ndoa ilitanguliwa na uchumba ambapo binti alitambulika kuwa ni wa mchumba wake lakini hawakuishi pamoja mpaka baada ya takriban mwaka mmoja.

Ikiwa Maria alitafutiwa mchumba akiwa na miaka 12, aliolewaje akiwa na miaka 12 (mwanzo ulisema miaka 11) hiyo hiyo kama unavyodai?

Kuhusu Mtume Mohammed na ndoa yake na Aisha. Katika Sahih Bukhari kitabu cha 58 namba 234, mke wake mpendwa Aisha anasimulia hivi:




Yeye anasema alichumbiwa akiwa na miaka 6 na baada ya kutayarishwa kwa ndoa alikabidhiwa kwa Mtume Muhammad na mama yake. Alikuwa na miaka 9. Tamaduni za huko ni kuwa binti alitayarishwa kwa ajili ya tendo la ndoa. Hii ni kwa sababu baada ya sherehe, maharusi walipelekwa kwenye chumba chao ambako bwana harusi alimfunua bibi harusi na pili alimtoa bikra yake. Sehemu nyingi shuka iliyokuwa na damu ilichukuliwa na kuonyeshwa kwa waliokuja kwenye harusi. Utamaduni huu ulikuwepo hata huku kwetu sehemu za pwani ambako waarabu waliweka mizizi.

Sasa wewe ulitaka Aisha bint Abi Bakr, kipenzi cha Mtume wako, akusimulie yote haya ndio ujue kuwa Mtume Mohammed kama mume alimtoa bikra siku ya harusi?

Kwa vile ulitaka tutumie sheria za sasa hivi na hasa huko unakodai unaishi, mtu anayemtoa bikra mtoto wa miaka 9 anaitwaje na anachukuliwa hatua gani?

Na wewe ni mwingine ambaye nimefikia mwisho wa kujadiliana nae.

Amandla.......


Msomi anapoandika kitu basi ANAWEKA NA USHAHIDI WA kuyathibisha aliyoandika au kusema!

Sasa mimi nimekuwekea USHAHIDI wa kila madai nilio andika hapa!

Na wewe hapo kwenye RED TUWEKEE USHAHIDI WA MANENO YAKO! Usiniletee maneno yenu ya kwenye hivyo vibaraza vyenu vya uswahilini!

Nyie ndio wale siku za nyuma viongozi wa makanisa walipokuwa wanajifungia na watoto wenu, mna hadithiana huko nyuma kuwa PADRI ANAWATOA MAPEPO!

Matokeo yake leo Kesi za UBAKAJI NA KUNAJISI WATOTO WADOGO ZIMETAPAKAA KWENYE MAKANISA DUNIA MZIMA!

Acha mipasho na maneno ya rusha roho km muimba taarabu!

Nimekuonyesha KWA USHAHIDI kuwa Maria ALIOLEWA NA JOSEPH Wa miaka 90 Hali ya kuwa yeye ni kasichana ka miaka 12! na UJAUZITO AKAPATA! na wewe ngonjera! NIPE USHAHIDI!

Halafu hizo tabia za kutishia kutokujibu ni Tabia za kike! Jibu maswali km Dume!
 
Nyerere aliwahi kusema kuwa mwanasiasa yeyote akifilisika kisera hukimbilia sera ya udini na ukabila!
 
kwani somalia anasupport kundi gani linaoua waislam wa grade gani?kwani kinana hapa TZ sera za CCM zinazowafanya waislam wa tanzania kuwa ombaomba wa kupewa bwabwa siku ya matukio na vijizee kusimamishw amajukwaani ili vijione vinapewa heshima...?kwani shida ya bakwata kupinguana na akia ponda ktk misikiti ni tatizo la nani..au kuna watanzania na waislam?Acha ujinga wewe..si muda mrefu waislam wataanguka sana...tena sana...wale wenye hela walizopata sasa watazitumia kubadili bishara na bishaa zinazohitajika.....ila masikini wa kushinda misikitini au kupiga blah blah..hali yao itakuw angumu sana
Kwani kwa ujinga wako huu na hasira zote kwa kinana unadhani utapunguza kasi yake pengine upewe pole kwa maumivu na uchungu ambao unapata kwa kasi ya kinana aliyonayo,pole vumilia ukienda pupa utapasuka msamba.
 
Napata whatsapp.msga toka kwa watu na hususan waislam.ambao wanasema Lukuvi kawatukana na sasa wanauliza maswali kuhusu career ya waiziri Lukuvi kuanIa shule...na.kazi Ote alizopitia na maamuzi yote ya muhim aliyopitia ili kujua ana wa treat vipi waislam.


CCM wasipokuwa makini hili jambo litawatokea puani na sidhani kama Kinana atakuwa tayari kuongea na kutuliza hii hali. Je CCM wako tayari kumtosa Lukuvi? Ana umuhim gani ndani ya chama na serikali hadi asitoswe?
Aliyekutumia msg hiyo muulize kuwa wakati lipumba anaomba kura msikitini alifanywa nini,nadhani jibu jepesi tu wewe na huyo aliyetuma msg wote tunawapuuza tu fanyeni kazi halali mpate riziki umbea hauna posho.
 
wa Tanzania lazima tuwe makini waangalifu na wenye kumbukumbu. kila ccm wanaposhikwa pabaya hutumia karata ya udini. likuvi na savimbi ndio wana gamble thr last card tukishinda hapa tumewashinda
intarahamwe.
Akili za kibavicha hizi,

chama chako kimejaa mapadri na wachungaji huku miezi michache iliyopita mlikuwa mnachochea udini kupitia njia ya kuchinja halafu leo unaongea pumba unadhani tumesahau.
 
Nyerere aliwahi kusema kuwa mwanasiasa yeyote akifilisika kisera hukimbilia sera ya udini na ukabila!
Hili ndiyo tatizo la bavicha wengi hamjitambui wala hamwelewi mnafanya nini kwenye hii dunia kazi yenu kuwinda watu na sumu mfukoni.
 
Hapa kosa ni la Jakaya Mrisho Kikwete, aliyemteua kushika nafasi hiyo na ndio pekee anayeweza "kumuadabisha". Kwavile Rais wetu ni "dhaifu" basi sisi wananchi yatupasa tuchukue hatua.



Rais si kazi yake kumuadabisha mtu.
 
Kwa hili FaizaFoxy na kubaliana na wewe Waislamu wa zenji wananyanyaswa sana na hii serikali dhalimu ya ccm
 
Last edited by a moderator:
Mzee wangu Bill Cosby,

Yaani wanacha hoi bin taaban kwa kicheko! Duuh! Teeh! Teeh! teeh!

Yaani umelifananiza lile kanisa katoliki na gonjwa la ukimwi!? Daah! Kwii! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
kumbe na hili kibaka gombesugu lipo Huku Ngoja nichape mwendo
 
Last edited by a moderator:
kwani somalia anasupport kundi gani linaoua waislam wa grade gani?kwani kinana hapa TZ sera za CCM zinazowafanya waislam wa tanzania kuwa ombaomba wa kupewa bwabwa siku ya matukio na vijizee kusimamishw amajukwaani ili vijione vinapewa heshima...?kwani shida ya bakwata kupinguana na akia ponda ktk misikiti ni tatizo la nani..au kuna watanzania na waislam?Acha ujinga wewe..si muda mrefu waislam wataanguka sana...tena sana...wale wenye hela walizopata sasa watazitumia kubadili bishara na bishaa zinazohitajika.....ila masikini wa kushinda misikitini au kupiga blah blah..hali yao itakuw angumu sana

Gongo mbaya sana hata mbwa ukimuwekea hanywi wanakunywa wendawazimu tu.
 
Wee kenge ujiitae ati "aminiusiamni"!

Kwa huo uharo wako wa vitisho vya kitoto hapa jamvini...lazim utakua ni kenge wa Kihaya tu weye,au!?

Weye ndo watakiwa uwe na adab unapozungumza kwenye public forums kama hizi! Kwani weye unafahamu yakua humu ndani unazungumza na watu wa aina gani!?

Sasa, hata kama labda ndo kweli, kumbe weye mchovu wa maisha unafanzia hicho kibarua pale tume ya mawasiliano,kama ulivyodai,sio!? Daah! Sasa weye kupewa desk pale...ndo kweli vitisho vyoote vile!? Duuh! Yaani wajifanza weye ati ndo mouth piece ya serikali,sio!?

Katafute misukule wanzio ucheze nao mdako!

Acha kabisa kutishia nyau hapa jamvini!

Sisi wangine haya majambo tusemayo humu...huwa tunazungumza na viongozi wako tena wenye nyadhifa nyeti za juu...na wanatufahamu na kuhishimu fikra/mitazamo yetu! Ebo! Kenge mweusi wee!

Ahsanta sana!

Wewe fisimaji wacha kujitutumua na kutajataja Makabila ya watu, hizo daliliza kushindwa Mnakasha badala yake unaleta mikwala Mbuzi.
 
Mungu hufichua mbinu za waovu kweupe, mpaka sasa kama wazanzibari bado hawataki kuchanganua mawazo na kufanya tafakuri ya kina basi wana matatizo kwenye vichwa vyao........

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom