Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kama kasema hivyo hajakosea..ni kweli
 
Pia Zanzibar inaweza kuwa lango la kupenyezea magaidi kuja kutusumbua huku Bara! Ndio maana tunaona tuendelee kushikamana vyema kuepusha rabsha
Sasa tukishikamana si ndio hilo lango litatoa nafasi ya wahalifu wenye imani moja na wazanzibari kuweza kulitumia na kutufikia?
 
Sasa tukishikamana si ndio hilo lango litatoa nafasi ya wahalifu wenye imani moja na wazanzibari kuweza kulitumia na kutufikia?
Zanzibar wakija sie ni ndugu zao sio rahisi kutu snitch na ndio maana unaona hata tawala za Zanzibar zinapewa strong support na bara!

Ila tuki split itajenga uhasama wa hali ya juu! Na hali ya kuonana kuwa sie ni maahasimu na pia ikitokea wazenji wakikung’utwa na wavamizi watakimbilia Bara huku kuleta mabalaa zaidi!
 
Tanzania ni muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Tanganyika ni muungano wa makabila zaidi ya 100. Muungano wa Tanzania ukivunjika, muungano wa Tanganyika nao utakuja kuvunjika baadaye. Na msijidanganye kwamba Watanzania hatuna ukabila, kila binadamu ana ukabila. Human beings are tribal by nature.
 
Pia Zanzibar inaweza kuwa lango la kupenyezea magaidi kuja kutusumbua huku Bara! Ndio maana tunaona tuendelee kushikamana vyema kuepusha rabsha

Kijana ficha ujinga wako mkuu, Kwahiyo TZ nzima njia pekee ya kuingilia magaidi ni Zanzibar? Hiyo mipaka mengine hawawezi kupitia?
 
Kijana ficha ujinga wako mkuu, Kwahiyo TZ nzima njia pekee ya kuingilia magaidi ni Zanzibar? Hiyo mipaka mengine hawawezi kupitia?
Unajua kwa watu ambao ni closed mind ku deal nao huwa ni shida sana! Kupambana na adui wa njia ya maji sio sawa na adui wa nchi kavu!
 
Unajua kwa watu ambao ni closed mind ku deal nao huwa ni shida sana! Kupambana na adui wa njia ya maji sio sawa na adui wa nchi kavu!

Sasa wewe open mind unaongea pumba kiasi hicho, Hao magaidi watokee wapi? kwani TZ ina ugomvi na kundi gani la ugaidi?
 
Bila kusahau manyang'au ya kenya lazima yasumbue sana pande hizi.......wazanziberi ni ndugu zetu wa damu hakunaga kitu kinachoitwa kuvunjika muungano, wenyewe wanasema ni vigumu kutenganisha tui la nazi na maziwa.
 
Nimeona kipande cha Mh Lukuvi.
Sisi hatusemi Zanzibar isiwe sehemu ya muungano bali tunazungumzia muungano ubaki lakini Tanganyika iwepo pia, kwa kuwa muungano ni Tanganyika na Zanzibar.
Tunataka muundo wa muungano ubadilije, sio Zanzibar iondoke kwenye muungano.
Hawa CCM ni wapotoshaji wakubwa wanadanganya kwamba wanaodai mabadiliko wanataka kuiondoa Zanzibar kwenye muungano, si kweli kabisa. Kwa muundo wa dasa hivi rais wetu anatawala Tanganyika na sio Zanzibar( labda) kwa kuwa Zanzibar ina uongozi wake.
Hivi CCM wana hofu gani mbali na ujanja huu huu.
Nàamini kukiwa na serikali tatu, serikali kuu itakuwa na sheria za kuongoza washirika waliounda hiyo serikali kuu.
 
Ukwely hasa hawataki kukuambieni, waulizeni vizuri mipaka y Zanzibar imeishia wap?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…