Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kuna clip nimeona mtandaoni ambapo Lukuvi anaongelea swala la Muungano na katika matamshi yake, anasikika akisema tukiwaacha Wazanzibar pekee yao, kuna hatari kukosekana kwa usalama kutokana na uwezekano wa Waarabu kurudi Zanzibar na kuzalisha siasa kali na hivyo wanaweza kutusumbua.
Hiyo clip mbona ni ya siku nyingi, nadhani ilikua Dodoma 2016 kwenye kanisa flani.
 
Kuna clip nimeona mtandaoni ambapo Lukuvi anaongelea swala la Muungano na katika matamshi yake, anasikika akisema tukiwaacha Wazanzibar pekee yao, kuna hatari kukosekana kwa usalama kutokana na uwezekano wa Waarabu kurudi Zanzibar na kuzalisha siasa kali na hivyo wanaweza kutusumbua.
Kumbe mjinga kiasi hiki
 
Ni kweli kabisa hatutakiwi kuwaachilia hawa jamaa kama wakenyabwalivyowaachilia somalia sasa wanawasumbua kwelikweli
 
Kuna clip nimeona mtandaoni ambapo Lukuvi anaongelea swala la Muungano na katika matamshi yake, anasikika akisema tukiwaacha Wazanzibar pekee yao, kuna hatari kukosekana kwa usalama kutokana na uwezekano wa Waarabu kurudi Zanzibar na kuzalisha siasa kali na hivyo wanaweza kutusumbua.

Mkuu ki ukweli mwalimu alikuwa anaona mbali kwa maana kuuchanganya mchanga wa bara na visiwani kulikuwa na maana kubwa sana mwalimu alikuwa ameangalia sana usalama wa taifa lake na hesabu zake zilikuwa kali sana maana kama mwalimu asinge Fanya hvyo ingekuwa ni rahisi sana kwa adui kutushambilia wala asinge pata tabu sana angekimbilia visiwani na kuweka kambi hapo na hiyo ndio ingekuwa ticket yake ya ushindi


Na ukikaa chini na kufanya tathimini ingekuwa rahisi sana kwa adaui kufanya mashambulizi kuja bara na adui angefanikiwa kwa asilimia kubwa kuipukutisha bara maana angeanzia na white house maana ipo pembezoni mwa bahari ya hindi pamoja nyumba nyingi za viongozi zilikuwa karibu sana na ufukwe wa bahari ya hindi na serikili iketetereka Kwahyo adui hawezi kufanya kitu kwakuwa sisi wote ni wamoja

Kwa wale ambao hawaoni faida ya muungano na wanao kalia kupiga kelele tuwasamehe kwa kuwa hawajui walisemalo.
 
Mkuu ki ukweli mwalimu alikuwa anaona mbali kwa maana kuuchanganya mchanga wa bara na visiwani kulikuwa na maana kubwa sana mwalimu alikuwa ameangalia sana usalama wa taifa lake na hesabu zake zilikuwa kali sana maana kama mwalimu asinge Fanya hvyo ingekuwa ni rahisi sana kwa adui kutushambilia wala asinge pata tabu sana angekimbilia visiwani na kuweka kambi hapo na hiyo ndio ingekuwa ticket yake ya ushindi


Na ukikaa chini na kufanya tathimini ingekuwa rahisi sana kwa adaui kufanya mashambulizi kuja bara na adui angefanikiwa kwa asilimia kubwa kuipukutisha bara maana angeanzia na white house maana ipo pembezoni mwa bahari ya hindi pamoja nyumba nyingi za viongozi zilikuwa karibu sana na ufukwe wa bahari ya hindi na serikili iketetereka Kwahyo adui hawezi kufanya kitu kwakuwa sisi wote ni wamoja

Kwa wale ambao hawaoni faida ya muungano na wanao kalia kupiga kelele tuwasamehe kwa kuwa hawajui walisemalo.
Au adui angeweka maendeleo makubwa ya biashara,makazi na elimu na sisi tungenung'unija.
 
Mkuu ki ukweli mwalimu alikuwa anaona mbali kwa maana kuuchanganya mchanga wa bara na visiwani kulikuwa na maana kubwa sana mwalimu alikuwa ameangalia sana usalama wa taifa lake na hesabu zake zilikuwa kali sana maana kama mwalimu asinge Fanya hvyo ingekuwa ni rahisi sana kwa adui kutushambilia wala asinge pata tabu sana angekimbilia visiwani na kuweka kambi hapo na hiyo ndio ingekuwa ticket yake ya ushindi


Na ukikaa chini na kufanya tathimini ingekuwa rahisi sana kwa adaui kufanya mashambulizi kuja bara na adui angefanikiwa kwa asilimia kubwa kuipukutisha bara maana angeanzia na white house maana ipo pembezoni mwa bahari ya hindi pamoja nyumba nyingi za viongozi zilikuwa karibu sana na ufukwe wa bahari ya hindi na serikili iketetereka Kwahyo adui hawezi kufanya kitu kwakuwa sisi wote ni wamoja

Kwa wale ambao hawaoni faida ya muungano na wanao kalia kupiga kelele tuwasamehe kwa kuwa hawajui walisemalo.
Huyo adui ni nani?Kama ni Sultan angetaka kurudi Unguja angekua na madhara gani kwa Bara?Kama ni hofu ya kupakana na bahari mbona Kenya na Msumbiji hazijawahi kushambuliwa kutokea baharini?Hii theory huwa naiona haina ukweli wowote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom