Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
William Lukuvi, yuko kwenye Serikali ambayo haina dini! lakini yeye mwenyewe ana dini na alienda kuongea kwenye nyumba ya dini na huko ndipo alipowaudhi Waislaam.

Hapa FaizaFoxy Huyu Waziri alikosea kabisa na kustahili adhabu kali.Serikali yetu hii ya CCM haina utaratibu huo wa kuadhibu wakosaji zaidi ya kuwapandisha hadhi na kuwakirimu,kiasi kwamba unaweza kufikiri kuwa wanatumwa na viongozi/kiongozi wa juu kuyasema haya.
My take.
Tuungane kutokemza aina hii ya utawala dhidi ya nchi yetu,tukiachilia mbali tofauti zetu za kidini na kisiasa.Kinacho husu Tanzania tuwe wamoja.Kinyume na Hapo safari itakuwa ndefu kufikia malengo mahsusi ya kujikomboa Ki fikra,Uchumi,Kijamii na Kimaendeleo kwa ujumla wake
 
Last edited by a moderator:
William Lukuvi, yuko kwenye Serikali ambayo haina dini! lakini yeye mwenyewe ana dini na alienda kuongea kwenye nyumba ya dini na huko ndipo alipowaudhi Waislaam.

Hapa FaizaFoxy Huyu Waziri alikosea kabisa na kustahili adhabu kali.Serikali yetu hii ya CCM haina utaratibu huo wa kuadhibu wakosaji zaidi ya kuwapandisha hadhi na kuwakirimu,kiasi kwamba unaweza kufikiri kuwa wanatumwa na viongozi/kiongozi wa juu kuyasema haya.
My take.
Tuungane kutokemza aina hii ya utawala dhidi ya nchi yetu,tukiachilia mbali tofauti zetu za kidini na kisiasa.Kinacho husu Tanzania tuwe wamoja.Kinyume na Hapo safari itakuwa ndefu kufikia malengo mahsusi ya kujikomboa Ki fikra,Uchumi,Kijamii na Kimaendeleo kwa ujumla wake

Naam, serikali haina dini! au hilo ni shida kwako kulijuwa? lakini kumbuka, Lukuvi pia hana dini au wewe unaijuwa dini yake? mimi sijawahi kumuona au kumsikia akienda kuongea msikitini.

Hata Pinda aliyemtuma Lukuvi kwenda kubwabwaja na kuhororoja kanisani hana dini. Au wewe una ushahidi kuwa Pinda ana dini?

Jee, wewe una dini?
 
Hivi alizungumza lini na tunajadili haya siku gani tangu ayaseme haya,nadhan twapaswa kupuuza kama nasisi hatuna upande katika udini!
 
Msimlaumu Mr Willian Lukuvi si yeye bali alipandwa na roho mtakatifu kichwani,ni roho ndiye alikuwa anaongea si yeye mwenyewe mtakatifu alimpanda ndani ya kichwa chake nayeye alishindwa kumdhibiti akajikuta anaropoka hovyo hovyo ka kuku asiyekuwa na kichwa,ni aibu kubwa kwa mwanasiasa ka huyo kuropoka hovyo namna hiyo.Mr.Murage
 
Hivi alizungumza lini na tunajadili haya siku gani tangu ayaseme haya,nadhan twapaswa kupuuza kama nasisi hatuna upande katika udini!

Jambo la msingi ni kuwapa wazanzibar wanayotaka yanayowafanya waseme hawataki muungano ila nasi tubaki na raha.
 
Sote hatuna dini na hizi dini zililetwa ana wakoloni wajerumani walilete ukristo na waarabu walilete uislamu hivyo sisi hatuna dini ila dini yetu ni uafrika kusali kwa mababu zetu hivyo msilumbane hovyo kuhusu dini zitaleta ballaaa bure
naam, serikali haina dini! Au hilo ni shida kwako kulijuwa? Lakini kumbuka, lukuvi pia hana dini au wewe unaijuwa dini yake? Mimi sijawahi kumuona au kumsikia akienda kuongea msikitini.

Hata pinda aliyemtuma lukuvi kwenda kubwabwaja na kuhororoja kanisani hana dini. Au wewe una ushahidi kuwa pinda ana dini?

Jee, wewe una dini?
 
Sote hatuna dini na hizi dini zililetwa ana wakoloni wajerumani walilete ukristo na waarabu walilete uislamu hivyo sisi hatuna dini ila dini yetu ni uafrika kusali kwa mababu zetu hivyo msilumbane hovyo kuhusu dini zitaleta ballaaa bure

Hapana, si kweli, hivyo ndivyo ulivyoaminishwa. Ebrahim alikuwa Mwaarabu? Mussa alikuwa Mwaarabu, hao wote wamehubiri Uislam.
Eshmail ansema Ukristo si dini, nakubalina nae. Lakini kusema sote hatuna dini, si kweli. Waislam Uislam ndiyo dini yetu.

Unajuwa neno dini linatokana na Kiarabu, labda maana ya neno dini inakupiga chenga, kwa kukujuza na kwa ufupi tutu, dini maana yake ni njia ya kuishi hapa duniani kama aliyotufundisha aliyetuumba. Na Waislaam tunaamini nia ni moja tu kwa kuwa muumba ni mmoja tu, Uislam ndiyo dini na kwa hilo sina argument na Ishmael kwa kukiri kwake kuwa Ukristo si dini kwa maana si njia.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo wewe ni mwarabu na sio mwafrika acha kukataa uafrika wako halisi a na mababu zako halisi kwa kukumbatia wakoloni waliokutawala na hawajakuongezea chochote zaidi ya kukufilisi na kuwanyonya mababu zetu waafrika wote dini yao moja ni uafrika na kutambika na kusali kwa mizimu ya mababu zetu hzio dini zenu zililetwa na kasumba yenu waafrika mnapenda sana vitu vya nje hampendi dini za mababu zenu hilo ndo tatizo hivyo hakuna dini hapa tanzania zaidi ya uafrika na kutambika ttuuuuuu acheni kujidanganya nyie
Hapana, si kweli, hivyo ndivyo ulivyoaminishwa. Ebrahim alikuwa Mwaarabu? Mussa alikuwa Mwaarabu, hao wote wamehubiri Uislam.
Eshmail ansema Ukristo si dini, nakubalina nae. Lakini kusema sote hatuna dini, si kweli. Waislam Uislam ndiyo dini yetu.

Unajuwa neno dini linatokana na Kiarabu, labda maana ya neno dini inakupiga chenga, kwa kukujuza na kwa ufupi tutu, dini maana yake ni njia ya kuishi hapa duniani kama aliyotufundisha aliyetuumba. Na Waislaam tunaamini nia ni moja tu kwa kuwa muumba ni mmoja tu, Uislam ndiyo dini na kwa hilo sina argument na Ishmael kwa kukiri kwake kuwa Ukristo si dini kwa maana si njia.
 
Nimemdharau sana huyu lukuvi dharau yangu kwake inashinda yale ninayo yadharau...
 
Siasa za chuki wanazozisambaza CCM.
 
Last edited by a moderator:
Ccm ndio waasisi wa siasa za udini.

Hakuna kosa au mbaya lolote Tanzania lisilokuwa na mkono wa ccm
 
Haya na huyu tena tume ya uchaguzi iseme onyo hapa,na ccm watoe onyo tena
 
hapo hata umpelekee hii video JK, au polisi, au tume ya uchaguzi, hawawezi kusema kitu UTADHANI HAKUNA KILICHOFANYIKA, YAAANI NI UPENDELEO WA WAZIWAZI KWA CCM...


Cc; Makamba Jr, Mwigulu Madelu, Ritz, Jingalao, Mr. Chin, Juliana wa Kufyozwa, The Big Show, Lumumba team...
 
Udini wanauneza ccm nchi hii kwan ni kosa lowassa kuwaomba walutheri Wamuombee mungu?
 
Kuna clip nimeona mtandaoni ambapo Lukuvi anaongelea suala la Muungano na katika matamshi yake, anasikika akisema tukiwaacha Wazanzibar pekee yao, kuna hatari kukosekana kwa usalama kutokana na uwezekano wa Waarabu kurudi Zanzibar na kuzalisha siasa kali na hivyo wanaweza kutusumbua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom