Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Japokuwa tunaishi katika siasa na wanasiasa lakini siasa siku zote ni mchezo mchafu. Ndiyo maana binafsi naungamkono hoja ya kurudishwa kwa serikali ya TANGANYIKA kwani hata wanaosema gharama itakuwa kubwa sioni logic yao kwani hata ndani ya serikali 2 zilizopo matumizi, ubadhirifu, ufisadi na wizi vimekithiri kiasi kwamba hata faida siioni, hivyo nibora TANGANYIKA yetu irudi ili matumizi yazidi ili na wao wakose za kukwapua.

Mambo ya udini sijui Ukristo, Uislamu hayo tuwaachie wenye fikra fupi kwani binafsi kila mtu regardless of his/her religion ni ndugu yangu kwani nimeishi hivyo kwa miaka mingi ambayo MUNGU ameniwezesha kuishi hadi sasa, jambo la msingi ni kuwa makini na wanasiasa....mimi kwa taaluma yangu huwa kuna msemo tunapenda kuutumia ktk shughuli zetu unaosema hivi. "......NEVER TRUST A BULL, ESPECIALLY A JERSEY BULL......"
Unaweza kuwa sahihi kama utahakikisha hao unaowaita wenye fikra fupi hawawezi kuwa BULLS
 
Kwa hiyo mtu akisema mnabong'oa mkiabudu atakuwa hajawatusi?

Amandla.....
Na mtu akisema kuwa watu wana PhD halafu wanatengeneza kasanamu kadogo ka bikira maria wanakajengea kizimba kisha wanakaabudu, wakisema ni upunguani atakawa hajawatusi?
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]

cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

Bora umeanza kujitambua sasa lkn bdo hujachelewa jisahihishe usonge mbele.
 
Last edited by a moderator:
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.

Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?

Hata wewe unasema hivyo? Kwani anayeongoza dola sasa hivi ni dini gani? Tuache masihala...hoja zote za Lukuvi ni sahihi isipokuwa hii tu sababu amesema anachoamini yeye binafsi ndio tunaharalisha dola kuongozwa kikristu? Unafiki kitu kibaya sana...
 
Kwa hiyo mtu akisema mnabong'oa mkiabudu atakuwa hajawatusi?

Amandla.....

Kwanza jifunze kusema kijana....ukishajua kutafautisha picha ya Yesu na ya yule mzungu alievaa nepi kisha mkamnunua na kumuabudu...ndio uje sasa tujadiliane upande huo wa unaotaka!
 
Kusoma taabu?

Amandla........[/FONT][/COLOR]
Hii ya Uislam extreme sijui umeipata wapi.

Uislam una misingi yake na taratibu zake kutoka kwenye Quran na Sunna, ndiyo muongozo.

Punguza hofu na Uislam.
 
Stahamala kitu gani....I am straight, I dont like double standard hapa.

Setikali hii ni serikali ya kikristo, so she claim.
Serikali ya CCM anayoipenda sana. Sasa analalamika nini na mambo ya udini usio na kichwa wala miguu.

Upuuzi tu umewajaa hawa wachumia tumbo wa ccm.

Juwa kutofautisha "serikali ya Kikristo" na mfumo kristo, hakuna mahala nimesema hii ni Serikali ya Kikristo. Nnasema kuna mfumo kristo ambao una"hofu" ya Uislaam. Na Waziri Mkuu kadhihirisha hilo kupitia kwa Lkuvi. Waziri Mkuu kamtuma Lukuvu Kanisani kwenda kuongelea hofu hiyo, kuwa iwapo Zanzibar watapewa nchi basi Wakristo wajuwe "Zanzibar itakuwa nchi ya Kiislaam na hawatoweza kufanya ibada zao za Kikristo"

Nini usichokielewa hapo?
 
Na mtu akisema kuwa watu wana PhD halafu wanatengeneza kasanamu kadogo ka bikira maria wanakajengea kizimba kisha wanakaabudu, wakisema ni upunguani atakawa hajawatusi?

Jitu unakuta lina PhD lakini nyumbani kwake linaabudu sanamu la Mzungu alievaa nepi kama ndio Mungu wake!

Huo ni wazimu na ni tatizo la wapakwa mafuta kukaririshwa kua huyu ndio Yesu na hawatakiwi kuuliza suali ili hali wanajua yule ni mcheza sinema tu.
 
Na mtu akisema kuwa watu wana PhD halafu wanatengeneza kasanamu kadogo ka bikira maria wanakajengea kizimba kisha wanakaabudu, wakisema ni upunguani atakawa hajawatusi?

Kama mnavyo kaabudu kale kajiwe ka Al kaaba? Teh teh teh.
 
Kwanza jifunze kusema kijana....ukishajua kutafautisha picha ya Yesu na ya yule mzungu alievaa nepi kisha mkamnunua na kumuabudu...ndio uje sasa tujadiliane upande huo wa unaotaka!

Hebu iweke picha ya mzungu aliyevaa nepi anayeabudiwa na wakristu. Ukishindwa utakuwa na tofauti gani na wale wazungu waliochora katuni za Mohamed?



Amandla.........
 
Hii ya Uislam extreme sijui umeipata wapi.

Uislam una misingi yake na taratibu zake kutoka kwenye Quran na Sunna, ndiyo muongozo.

Punguza hofu na Uislam.

Kwa hiyo waSaudi wanaoiogopa Al Quaeda si waislaamu? Kwa hiyo hao wanaopiga marufuku sambusa kwa sababu ni mfano wa utatu mtakatifu ni waislamu safi? Kwa hiyo hao wanaowachinja wakristu na kuwabaka binti zao ni waislamu safi? Kwa hiyo hao waliomshitaki mtoto wa mwaka mmoja kwa kosa la mauaji ni waislamu safi? Kwa hiyo wale walioteka ndege na kulitumia kulipua jengo ambamo watu wa kila aina wanafanya kazi ni waislamu safi? Kwa hiyo hao waliompiga risasi padiri Unguja ni waislaamu safi? Wote hao si wanadai wanatetea Quran na hizo Sunna!

Amandla.......
 
Hizo takwimu umzibuni kwa ujanja gani.tupatie mganyo wa dini nyingine na wasio na dini hapo zanzibar.hata ingekuwa hivyo unataka kusema wasio wa dini yako watalazimishwa kufuata sheria za imani yako.au una maana watanganyika wote wakija huko watatumikia sheria za dini moja?wewe unaona hii ni sawa kwa imani yako ya haki!

Weka takwimu zozote uzipendazo. Kuna tatizo hapo? umemsikiliza Lukuvi?
 
FaizaFoxy dada yangu,naanza kuhisi a/c yako inatumiwa,wakristo na waislam wote kwa pamoja tumekubari tanzania iwe nchi yenye uhuru wa kuabudu,hakuna kuegemea upande wowote wa dini,zanzibar ni part ya tanzania hata ikipewa madaraka kamili,kwahiyo si sahihi kugeuzwa kuwa nchi ya dini,ni kweli waislam ni wengi kule lakin wana uhuru na imani yao.
angalia mikoa ya tanzania ilivyo,kuna mikoa ukienda utakuta ni ndra kuuona msikiti na kuna mikoa hasa ya pwani misikiti ni kila kona,je utawala wa eneo husika ufuate misingi ya imani?

mimi nadhani lukuvi anahofu na radical muslms na dini kama dini,ILA SIMTETEI BALI AJE MWENYEWE AJITETEE
 
Jitu unakuta lina PhD lakini nyumbani kwake linaabudu sanamu la Mzungu alievaa nepi kama ndio Mungu wake!

Huo ni wazimu na ni tatizo la wapakwa mafuta kukaririshwa kua huyu ndio Yesu na hawatakiwi kuuliza suali ili hali wanajua yule ni mcheza sinema tu.

kwahiyo unatakaje labda
 
juwa kutofautisha "serikali ya kikristo" na mfumo kristo, hakuna mahala nimesema hii ni serikali ya kikristo. Nnasema kuna mfumo kristo ambao una"hofu" ya uislaam. Na waziri mkuu kadhihirisha hilo kupitia kwa lkuvi. Waziri mkuu kamtuma lukuvu kanisani kwenda kuongelea hofu hiyo, kuwa iwapo zanzibar watapewa nchi basi wakristo wajuwe "zanzibar itakuwa nchi ya kiislaam na hawatoweza kufanya ibada zao za kikristo"

nini usichokielewa hapo?

mbona waislam huwa wana hofu na ukristo kuwa unatawala serikali?unamkumbuka ponda?hapo ni rahisi,wakristo wanahofu ya uislam na waislam wana hofu ya ukristo...equation balanced
 
Kama mnavyo kaabudu kale kajiwe ka Al kaaba? Teh teh teh.

Ficha upumbavu wako wewe pimbi mpakwa mafuta! Kama hujui sema ufahamishwe ili upate faida!

Kwenye Uislam hakuna ujanja ujanja kama huko kwenu ambako ukiuliza swali kwa mchungaji atakuambia umepatwa na mapepo nini, ebu kaa kimy?

Teh teh teh!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom