Mkuu wakristu kule zazibar watafurumushwa, Lukuzi hajakosea kwa hilo.
Hayo maneno ndo yanaleta na kusababisha ugomvi ktk nchi huwa wanayaanzisha halafu yanawashinda,,,,kenya wamewachokonowa wasomali nw yanawashinda,mnataka mtupeleke huko?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wakristu kule zazibar watafurumushwa, Lukuzi hajakosea kwa hilo.
Mbona hakuna kibaya alichokiongea? All are true facts ambazo ni known.
kwa mtazamo wako wewe kusema wanaidhibiti zanzibar ili isiwe nchi ya KIISLAMU si jambo baya,huku akijua wazanzibar 99% ni WAISLAMU........ hii inamana serekali ya muungano inapambana na ustawi wa uislamu zanzibar ndio KAZI YAKE KUU. Maana hatuoni barabara,maji,hospital wala msaada kwa jamii ya zanzibar zaidi ya majeshi na virungu vya mpingo ndio wanaleta.eeeh nimekumbuka na magari washa washa ya polisi.
SASA BASI WASWAHILI TUNASEMA '' UKIMUAMSHA ALIYE LALA UTALALA WEWE''
kwa maana hii BILA MAMLAKA KAMILI YA ZANZIBAR KATIBA MPYA HAIPITI !! HAIPITI!! HAIPITI!!
HERI litote tugawane mbao sisi tulidhani siasa kumbe mpango wa kidini huu
(MANSOUR:KULAZIMISHA KUREKEBISHA KATIBA YA ZANZIBAR WAJIANDAE NA VITA EEHH MENGINE SIKUKUSUDIA KUYASEMA)
[video=youtube_share;hj6sejvmnak]http://youtu.be/hj6sejvmnak[/video]
tukichinjana the icc inamuhusu. Eti waziri, poor mind poor thinking. Lukuv atangazwa janga la taifa.