Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

Mwalimu wa UPE ni UPE tu hata umfanyeje. You can take a man (Lukuvi) out of the bush, but you can not take a bush out of him (Lukuvi). Huyu Mwalimu wa UPE ni mji.nga sana. Wajumbe wa BMK wana kinga ya kisheria kwa jambo lolote lile walisemalo wakiwa ndani ya BMK. Lukuvi hawezi kushitakiwa kwa maneno ya uchochezi aliyoyasema akiwa ndani ya BMK. But on the other hand Lukuvi anaweza kushitakiwa kwa maneno ya uchochezi aliyoyasema akiwa kanisani (i.e nje ya BMK). In deed kwa nchi inayofuata misingi ya utawala bora na sheria, maneno ya Lukuvi aliyoyasema akiwa kanisani kwamba kama Watanzania tutakubari serikali 3, basi Jeshi litachukua nchi ni UHAINI. Lukuvi alikuwa ana incite jeshi liasi i.e Coupe de'tat.

na zi hilo tu, pia ameikashifu dini ya kiislamu akiwa ndani ya kanisa. huu ni uchochezi wa kidini unaoweza kuchochea mauaji ya kimbali kwa sababu tu ya -------- mmoja.
 
kwa hali inavyoonekana,ccm haiko tayari kuuhusu demokrasia itawale na kama alivyosema lukuvi,inaonyesha kwamba endapo itashindwa bungeni na kwa wananchi kwenye kura ya maoni,wako katika kuliandaa jeshi kisaikolojia ili lichukue nchi,hatua hiyo itafuatia na mauaji ya wananchi na kuwekwa kizuizini na hata kuuwawa kwa baadhi ya viongozi
 
Na mwenyekiti wao ambaye ndiye amiri jeshi mkuu alishatoa maelekezo hayo katika hotuba elekezi aliyotoa siku akilizindua BMK.
 
Hivi hii kauli kuwa ukiwa na sijui mke mmoja ama wake wawili inatumiwa sana na watawala ndani ya CCM wakati wanazungumzia masuala ya muungano. Ni vyema wakaweka wazi kwenye huo muungano nani mume na mke ni yupi kati ya TANGANYIKA na ZANZIBAR vinginevyo huu ni upotoshaji na zaidi utakuwa ni udhalilishaji wa nchi hizi mbili zinazounda muungano uliojaa utata.

Aise ata wewe umeona .huu ni mfano gani ? Matusi haya nani ndio mke sasa hapa anaitakiwa kuachwa !? Nakumbuka huko nyuma zanzibar walisha laani hii kauli ya kufananisha muungano na ndoa .,sijui imekuwaje sasa hivi wako kimya .labda mke ana mimba safari hii anaogopa kuachwa !!!
 
Hiyo rasimu imeandaliwa na watu ambao uwezo wao mimi binafsi nauna ni mkubwa,sasa iweje lukuvi asema hiyo rasimu haifai
 
Huyu Lukuvi ni Nani? Tunaweza Kulaumu Kumbe Uwezo Wake Wa Kufikiri Ni Mdogo.Hivi Elimu Yake Inamruhusu Kuwa Na Mawazo Ya Kuchambua Mambo?
 
Na iwekwekwenye katiba mpya marufuku wanajeshi au Allie staff jeshiini kugombea urais
 
na zi hilo tu, pia ameikashifu dini ya kiislamu akiwa ndani ya kanisa. huu ni uchochezi wa kidini unaoweza kuchochea mauaji ya kimbali kwa sababu tu ya -------- mmoja.

Mkuu,
Kwa mantiki hiyo, wataka tushawishi members humu tuamini pale Prof Lipumba aliposema tuwaache Intarahamwe hakukosea...!?
 
Hiyo rasimu imeandaliwa na watu ambao uwezo wao mimi binafsi nauna ni mkubwa,sasa iweje lukuvi asema hiyo rasimu haifai

Yule kichwa kitupu hamna kitu mle, kwani uliambiwa alikuwa akielekea wapi...!?

Bila ya shaka utanijibu INDIA, ntakuuliza tena kutembea au kufanza nini...!?

Hilo sasa usinijibu,
Twendelee kujadili sasa...

Lakini pia itabidi tuweke kwenye Katiba mpya tuwe na taratibu za kuwapima akili viongozi wetu,

Hilo Natania, wadhani nani atamfunga PAKA kengele...!?
 
suluhisho lilikuwa kura ya maoni ianze ndipo bunge la katiba likae, viongozi wa sasa hawajui maana ya siasa (nina wasiwasi km Lukuvi alipitia kivuköni
 
Lukuvi hata ukiona anavyojenga hoja si wa kumlaumu sana uwezo wake ni duni mno
 
Usikute CCM sasa wanatayarisha jeshi, ili wakishindwa uchaguzi watumie nguvu.

may be i think so mtu huezi sema jambo usilo nabuhakika nalo wanayao ju ya rasimu hii hawez simama mtu kuipingavkwa kusema kamati kuu haikuyataka haya tulikutuma haya...
 
Sijui wanajamii mmechukuliaje kauli ya Mh Lukuvi ambaye ni Waziri mwenye mamlaka makubwa sana katika nchi yetu..... kwa ukweli mimi nimemtapika tena kwa nyongo.... maneno aliyoyasema inaonyesha yeye ndiye engineer wa haya mambo.... unajua wahenga walisema ukitaka kujua undani na ukweli wa moyoni wa mtu subiri akiwa: 1. Kalewa, 2. Kakasirika na 3.Akifurahi..... believe me nimeona hayo mambo na ni ya kweli.....Mh Lukuvi alikuwa na jazba na akayatoa ya moyoni mwake..... wapendwa watanzania wenzangu..... siasa ni mchezo mbaya sana unaohusisha majini, mashetani, laana, uganga na uchafu wote ambao mungu mwenyezi muumba wetu haupendi.... hao wanasiasa ndio kinachowakimbiza hawajui wanaongea kwa niaba ya shetani wanachojali ni matumbo yao na familia zao hawajali matatizo watakayosababisha kwa watanzania.... naomba waungwana wenzangu mtapikeni Lukuvi kama nilivyomtapika mimi. Hafai kuitwa baba, mjomba, mlezi, mheshimiwa na hata mbwa (mlinzi wa nyumba) ila ni muuaji mkubwa..... kiongozi wetu asingejaribu hata kidogo kulipa kisasi..... bali angetumia maneno ya uungwana.... kwa kweli ningekuwa na roho mbaya ningesema anavyoenda INDIA afe huko huko.....maoni yangu wale mnaoipenda nchi kwa kufungua midomo yenu feel free maana na nyie ni wahanga wa LUKUVI..... MUNGU IBARIKI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MUNGU BARIKI RAIA WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MUNGU WAPE HEKIMA NA BUSARA wale wote wanaokula kodi ya wananchi wa TANZANIA kwa kufanya mambo yasiyo na staha kwenye jambo muhimu la nchi ya TANZANIA huko DODOMA SHAME ON YOU ALL hamstahili hata kuitwa paka maana afadhali paka atakula panya wanaotusumbua nyumbani.
 
Nimesikia Waziri Mkuu anamkingia kifua as if aloyatamka Lukuvi ni suala dogo halina shida kabisa, kwa maana nyingine Muh. Pinda (Waziri Mkuu wa nchi, ambaye Lukuvi ni waziri wake) ana-suprt yalosemwa.
Hawa jamaa bwn.
 
Mtenda akitendwa inakuwa nongwa. Lipumba alipiga kampeni msikitini. Hilo sijui kama kuna waliokemea
 
Back
Top Bottom