Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
UzalendoKwanza nguo za mabeberu turudi enzi zetu tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UzalendoKwanza nguo za mabeberu turudi enzi zetu tu!
... kwa kuwa unawaona kwa macho yako binadamuKwa mambo kama haya ninajikuta ninawapongeza sana WAISLAM
baadae watasema hata ibilisi awe best friend wao.ukiwauliza watasema Mungu anaangalia moyo wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Wanamsemo wao kuwa 'Mungu haangaliii mavazi, anaangalia moyo'
Kwako mwaimu Kashasha
Anachelewa afanye haraka, aisee 😆😆Alifikishe FIFA Hili Jambo
😅😄😃😂😁😀😃🤣😂😅😄😃😁😀😀
Amevaa kiasili mbona.Naamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
Hizi ni kauli za watu wanaotafuta uhalali wa utamaduni wao wa kutokwenda kanisaniMK
MKUU VIONGOZI WA KANISA WANACHOHITAJI NI SADAKA TU WEWE HATA UKIENDA UCHI WATAKUAMBIA MUNGU HAANGALII MAVAZI
Hee...ulitaka baada ya hapo wasemeje...! Endelea kuwasubiri labda watasemaNyie mnaouliza "kanisa gani" "kanisa gani" kwani nyie mlidhani ni kanisa gani? Na mbona mkishajibiwa hamrudi tena kusema kitu? Ni la kwenu eeeh?
Hapo ustaarabu wa mwanaume umemezwa na aibu ya mwanamke.yaani suti ya mwanaume imeshushwa hadhi kwa vazi la mwanamke.ndio yale ya edeni bustaniniNaamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
[emoji855][emoji855][emoji855]Asante Jesse John.., hii kitaalam inaitwa half-naked-wedding dress style..!
Usishangae kwa watu maarufu kuona haya.. kwao lolote linawezekana.. usikute hata mchungaji alikodiwa toka Kenya au hata ni masanja mkandamizaji[emoji3]
Kwako Jesse John..
umechelewa sana kujua kuwadini ni biashara kama biashara nyingineNaamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
Hapana mdogo wangu, siku hizi hatuli kungu ili tuwe na vimacho mlegezo vyenye aibu, bali tunakunywa beer ili kuondoa aibu..kwani bado mnakula kungu siku hizi dada mkubwa 😊
Zamani mlikuwa mnauhadaa umma.. vimacho vinakuwa vya aibu.Hapana mdogo wangu, siku hizi hatuli kungu ili tuwe na vimacho mlegezo vyenye aibu, bali tunakunywa beer ili kuondoa aibu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni mwaka wa neema maana sio kwa uchumba huu sugu wa lulu!
Wote tutakao olewa mwaka tusema emeeen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema pia bi kharusi wa siku hizi hawanaga aibu kabisa, mtu anaingia kanisani na shela lake huku anapiga zake kelele 'oyoooh'...![emoji23]
Wee una roho mbaya sana, hovyoooooohMTU mwenyewe hata siyo wife material