Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Nimekumbukaa msaada wa komba captain
images.jpg
 
Mistake of fact unaachiwa ila siyo self defense.
Hata self defense unaachiwa. Kesi nyingi wewe mtu avamiwe na jambazi wenye silaha katika kujilinda amuue jambazi utamhukumuje mtu kama huyu hiyo ni manslaughter yes lakini hakuna kifungo chochote.
 
Halafu kwenye self defense kinachoangaliwa ni reasonability ya force iliyotumika kama Lulu akisema alitaka kubakwa na kanumba akamsukuma, kusukuma ni reasonable force kwa mtu anayetaka kubakwa hivyo ataachiwa huru tu!
Ataweza kuthibitisha madai hayo? Watu wameishakusanya ushahidi,ingekuwa ni hivyo kesi isingeanza kusikilizwa.Tusubiri mchakato,ushahidi usiotia shaka utaiwezesha mahakama kuamua.
 
report ya daktar ilionyesha kanumba ubongo wake ulitingishika na kushuka nyuma..halafu mwili ulibadilika rangi.
sasa mtu unadhani ni kitu gani kimpate hadi ubongo ushuke nyuma ghafla.?si alibabizwa ukutani labda?
maekezo ya seth yanasema alimkuta k kaegemea ukuta huku hapumui.
kama alianguka mwenyewe why hako kalulu kalipoona haamki kakatimua mbio kuondok?
if she ia not guilty si angebaki akaomba msaada kwa seth wamkimbize hospital?
Mkuu subiri mawakili wa Lulu wakianza kumuuliza maswali Seth ndio utajua sheria ilivyo ya kiduanzi....Tena Seth kaleta na story za kuwa kulikuwa na Panga chini ya kitanda ila hajui Panga la nani ndio wanajimaliza kabisa.

Na seth kusema kuwa alimsikia Kanumba akifoka kwanini Lulu anaongea na bwana mbele yake ndio inazidi kuwaweka pabaya.
 
Mkuu acha uongo,Jamaa alikufa katika mazingira ya ugomvi uliomuhusisha Lulu na Lulu ndo anajua na ndo maana ni lone suspect.Seth ni shahid tuu,ushahidi wake unatakiwa uendane na material facts ya kesi husika,Seth akisema mambo ambayo hayana kushabihiana na kesi au kuonesha Lulu si muhusika inawezekana Lulu akachomoka lakini Seth hawez kuwa hatiani labda upande wa mashtaka ushtaki upya na Seth awe suspect.Kumbuka Lulu alisha plead manslaugthter,kama hii ni kweli kitakachofanyika mitigating process ya kumpunguzia ukali wa adhabu.
Mkuu amini nakwambia mawakili wa Lulu watamuweka kitimoto Seth.
 
Wa kulaumiwa hapa ni wengi ,wengi sana,baba yake,wababa watu wazima waliomuingiza mtoto katika dunia ovu,wakamkatili utoto wake.Kuna wale walioweka mbele ya luninga wakamfanua kuwa maarufu hadi kujiona yuko juu ya wengine hata waliomzidi umri.Na wale waliomshabikia,mamlaka zilizozembea hadi mtoto akaacha shule? Hapa namkumbuka King crazy Gk na sauti ya Manka.je,yawezekana hii ndiyo sauti ya Manka aliyoiimba msanii huyu?
KWA KWELI MIMI NAUNGANA NA WEWE!
HUYU ALIKATILIWA SANA UTOTONI
ALIKATILIWA NA BABA YAKE
ALIKATILIWA NA MAMA YAKE
ALIKATILIWA NA WANAUME
ALIKATTILIWA NA WASANII
MAPRODYUZA
ALIKATILIWA NA VYOMBO VYA HABARI.
hakuna mahala popote huyu mtoo alitetewa!
 
Mkuu subiri mawakili wa Lulu wakianza kumuuliza maswali Seth ndio utajua sheria ilivyo ya kiduanzi....Tena Seth kaleta na story za kuwa kulikuwa na Panga chini ya kitanda ila hajui Panga la nani ndio wanajimaliza kabisa.

Na seth kusema kuwa alimsikia Kanumba akifoka kwanini Lulu anaongea na bwana mbele yake ndio inazidi kuwaweka pabaya.
HII HABARI YA PANGA HII!
NAKWAMBIA NATAMANI NIWEPO MAHAKAMANI KUSHUHUDIA KITAKACHOVYOWAGEUKA!
 
Mkuu amini nakwambia mawakili wa Lulu watamuweka kitimoto Seth.
kabisa!
WHY NOW?
KWANINI SETH ANATAKA KULAZIMISHA KUWA LULU ALIKUSUDIA?
WANATAKA KUFICHA NINI?
KESI YA MWANZO WAS VERY GENUINE!
KAMSUKUMA KAANGUKA KAFA!
SASA LEO ANALETA HABARI ATI NILIONA PANGA CHINI YA KITANDA!
so lulu aliliweka ili amchinje Kanumba?
usiku kuna taharuki unawezaje kuona panga uvunguni kama sio ULILIWEKA?
kama panga lilikuwepo toka mwanzo kiasi unajua kuwa lipo,HOW COMES UNALIHUSISHA LEO?
kwanini HAWAKULITOA?
walikuwa wanaishi na nani zaidia ya wao watatu?
HEHEHEHHEHE WACHA TUONE!
 
SETH ALIKUWA NI NANI KWA KANUMBA?
najua kanumba alizaliwa peke yake!
MDOGO WAKE KIVIPI?
 
Lakini huku kwetu mistake of fact unaachiwa huru refer Sultan maginga
sio zote...inategema circumstances of each case...n in most cases defence hiyo inatumika kma ni mitigating factor tu. remember each case must be determined basing on its own merit.
 
Hata self defense unaachiwa. Kesi nyingi wewe mtu avamiwe na jambazi wenye silaha katika kujilinda amuue jambazi utamhukumuje mtu kama huyu hiyo ni manslaughter yes lakini hakuna kifungo chochote.
sio zote...inategema na circumstances of each case...n in most cases defence hiyo inatumika kma ni mitigating factor tu. remember each case must be determined basing on its own merit
 
kabisa!
WHY NOW?
KWANINI SETH ANATAKA KULAZIMISHA KUWA LULU ALIKUSUDIA?
WANATAKA KUFICHA NINI?
KESI YA MWANZO WAS VERY GENUINE!
KAMSUKUMA KAANGUKA KAFA!
SASA LEO ANALETA HABARI ATI NILIONA PANGA CHINI YA KITANDA!
so lulu aliliweka ili amchinje Kanumba?
usiku kuna taharuki unawezaje kuona panga uvunguni kama sio ULILIWEKA?
kama panga lilikuwepo toka mwanzo kiasi unajua kuwa lipo,HOW COMES UNALIHUSISHA LEO?
kwanini HAWAKULITOA?
walikuwa wanaishi na nani zaidia ya wao watatu?
HEHEHEHHEHE WACHA TUONE!
Panga ni immaterial katika kesi hii.Kama angelikuta na damu na polisi aliyechunguza eneo la tukio angeliona na kulichukua na kama lingekuwa na blood steins hapo sawa.Kwa kesi hii panga halihusiki labda kama kuna element za marehemu kukatwa na panga.
 
Back
Top Bottom