Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

hivi ilikuwaje akarudi uraiani na inakuwaje kesi imeanza upya?
Sina elimu sana kuhusu sheria ila nnachokifahamu ni..... Kosa la jinai kama kuuwa halima dhama hivyo wakat amewekwa ndani ilikua kw kosa hili.

Kw nin alirud uraian? Ni hivi baada ya upelelez na maelezo kipnd kile wakat kesi YAKE ikitajwa ilionekana ameua bila kukusudia hivyo kesi ikabadlika na ndio maana akapata dhamana na kurud uraian

Kw nin kesi unaendelea? Sasa hivi ni ushahid ndio unatolewa kw pande Zote,

Lulu ameshtakiwa na jamuhuri kw kosa la kuua bila kukusudia
 
kabisa!
HUYU MAMA NDIYE ANASTAHILI YOTE YALIYOMKUTA HUYU MTOTO!
mtoto wa miaka nane ,unamuacha na WANAUME BAKI(hao ndugu tu mtihani)
UNAMUACHA NA WANAUME BAKI!WANAKAA KAMBINI SIJUI KAMBINI ATI WANAIGIZA IGIZO!
LEO MIMI SIMUONI LULU KUWA NI TATIZO!
HUYU MTOTO ALIONEWA NA JAMII ILIYOMZUNGUKA!
HUKU CHENI HUKU RAY HUKU KANUMBA HUKU CHEKIBUDI HUKU MAMA ANAJIVUNIA AMEZAA MTOTO MZURI HAWEZI KUISHI KWA SHIDA !
walioishi tabata na huyu mama wataelewa ninachozungumza!
TO ME LULU NI VICTIM!

kanumba na wengine WALIMUUA HUYU MTOTO AKIWA HAI!
UNAPOINFLUENCE MTOTO ASISOME
UNAPOINFLUENCE MTOTO AONE MWILI WAKE NDIO MGODI WAKE
UNAPONFULENCE MTOTO ASIJALI UTU WA MWILI WALA NAFSI YAKE
COME TO THINKC OF WANAUME AMBAO LULU AMEWAHI KUWA NA MAHUSIANO NAO?
mimi na uzee wangu sipandi kwa mtu kama marehemu wa TOT!
HUYU ALIULIWA AKIWA HAI!
UNAPOUA NAFSI NA UTASHI WA MTU HUMBAIKIZI SALAMA!
SIONI AJABU YOYOTE YA HAYA YANAYOMKUTA!
NAUMIA KAMA MZAZI WA KIKE
NAUMIA KAMA MAMA WA MABINTI
NAUMIA KAMA MWALIMU
Umeongea vizuri mwalimu.
 
ila aka kalulu kanaonekana kaliua kabisa kwa kukusudia , sio kwa matusi yale kanayotoa mitandaoni
 
Hatujui nani ila kuna mshikaji namjua alikua anaishi mtwara one week before tragedy lulu akijua mtwara kuliwa alifikia naf blue view hotel
Kumbe ni kweli ukimla lulu lazima ufe. Kaliulizwa na salama hili swali kakatoa jibu la siasa
 
Back
Top Bottom