balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Wewe uko sawa na mimi,nadhan watu wengi hawajajua kambo haya.sio zote...inategema na circumstances of each case...n in most cases defence hiyo inatumika kma ni mitigating factor tu. remember each case must be determined basing on its own merit
NDO HAPA KESI INAPOGEUKA UELEKEO!Panga ni immaterial katika kesi hii.Kama angelikuta na damu na polisi aliyechunguza eneo la tukio angeliona na kulichukua na kama lingekuwa na blood steins hapo sawa.Kwa kesi hii panga halihusiki labda kama kuna element za marehemu kukatwa na panga.
Hujui loloteSETH ALIKUWA NI NANI KWA KANUMBA?
najua kanumba alizaliwa peke yake!
MDOGO WAKE KIVIPI?
Si ndo mana nimeuliza rafiki au?Hujui lolote
JamhuriWanawake wa sikuhizi mnazaa "underage". Huyo mama yake Lulu anaonekana kama pacha wake, yaani makamo sawa, hii imekaaje!
Halafu hii kesi nilijua ilisha malizika kitambo. Hata mamaake marehemu kunakipindi alitamka wazi kwamba kasamehe!
Sasa huyu shetani wa mikesi kaibuka toka wapi tena na ni nani mlalamikaji wa msingi pale?
Imani tu hizo hakuna factsTena unajua kiroho tunasema damu huwa inanena.believe me hilo tukio lina athari sana kwa lulu mwenyewe na kwa familia ya kina kanumba kiroho kuliko hata hiyo kesi inayoendelea hapo.ndo maana zamani tunaona kwenye biblia iliandikwa taratibu za kufuata ikitokea mtu ameuwawa lengo ilikua ni kuzuia hilo tukio lisitokee tena kwenye familia ya marehemu na pia kumuokoa na madhara ya damu huyo alieua.madhara ya damu ya mtu ni mabaya yanaenda mpaka kizazi cha nne.ndo maana lulu anatakiwa aende kwa watumishi wa Mungu wa kweli amalize hii issue isimsumbue japo ni ngumu sana.na mazungumzo na familia ya kina kanumba lazima ayafanye.awaeleze ukweli na ahahakikishe wanamsamehe kutoka moyoni.damu ya mtu mbaya sanaaaaaa asikwambie mtu aisee
Panga ni irelevant katika kesi hiiNDO HAPA KESI INAPOGEUKA UELEKEO!
KWANINI HE IS TRYING TO KUSEMA PANGA LILIHUSIKA!
WAKATI STEVE HAKUULIWA KWA KITU CHENYE MAKALI!
UNLEEEEEEEEEEEEEEEEEEESS ANATAKA KUSEMA KUNA MENGINE HAYAKUSEMWA!
WHY NOW?
shahidi anaamini ni relevant!Panga ni irelevant katika kesi hii
bongo movie yetu isingekua hapa ICUHuyu mtoto amelitia taifa hasara kubwa sana
Ngoja twende,ila hisia zangu ni kwamba huenda kulikuwa na mtu mwingune mule chumbani,isije akawa ni Pasua kichwa.shahidi anaamini ni relevant!
as to thts wat wanataka tuamini ilikusudiwa!
HIIII CORNER HIIII!
we twende tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]May be Pole Pole
Mmh geni nipe no yako nikupigie unipe huu ubuyu ni wa moto alafu unautoa taratibu sana jomoniiMmhh!kubadilika kabadilika kwa majizo tena alivyofumaniwa kwenye simu akataka kuachwa ndo akasettle kidogo ila akiachwa na majay ataiba mume wa mtu
Kabisa yaani hatofautiani na waliosaini mikataba ya kimangungoHuyu mtoto amelitia taifa hasara kubwa sana
[emoji23] [emoji23] anatoa taratibu kwa sababu wa moto mtaungua midomoMmh geni nipe no yako nikupigie unipe huu ubuyu ni wa moto alafu unautoa taratibu sana jomonii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anatutesa atoe tu wote tuungue kwa mara moja[emoji23] [emoji23] anatoa taratibu kwa sababu wa moto mtaungua midomo