Kumbe BAN itanihusu muda wowote naomba nifute kauli juu ya hilo swali ......ila atakaepata jibu AJEHilo hata mimi nilitaka kuuliza nikaona nisipigwe ban bure maana ukiuliza watu wamefikaje huko ni matusi, lakini all in all hongera zake. Wengine waige mfano.
binti.?? Sio mwanamke tayari.??Huyu bint jina lake siyo geni sana masikioni pangu
Imekuwa tailored special for Lulu.Hahaha.. Magogon mbona hawana hyo course
Simkumbuki vizuribinti.?? Sio mwanamke tayari.??
Mmmh hahaaMatokeo yake ya form four haya hapa.
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2011/csee2011/s3548.htm
View attachment 358613
usije sababisha watu tukacheka kw nguvu sana serikali iingilie kati ikajua mnamkebehi apa [emoji1] [emoji1] [emoji1]Lulu naye! Anadhani hatujui anasoma hapo Magogoni hicho chuo kinaandaa masekretari.. Na wako kwenye mitihani kuanzia wiki jana.
Siku hizi ukisoma MS Word na XL Unasoma Engineering???[emoji23] [emoji23]
Kw matokeo hayo basi litakua Jipu la St jospha maana huko ata mkuu wa kaya anajua [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mmmh hahaa
Kwa qualification gani? au mlimani unamaanisha mlima sekenke?Ni kweli yupo hapa mlimani
Hivi yule jamaa aliyekuwa anafanya kazi bandarini kwenye sector nyeti aliyeishia darasa la saba yupo wapi?anafikiri hiyo kozi ni rahisi kama kula ugali na maharage?
anachukua? Kaiweka wapi? hahahahaa haya bhana all the best“Jamani nimechoka kuulizwa nasomea nini, nasomea nini, nachukua Telecommunication engineering,” alisema Lulu.