Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

Hilo hata mimi nilitaka kuuliza nikaona nisipigwe ban bure maana ukiuliza watu wamefikaje huko ni matusi, lakini all in all hongera zake. Wengine waige mfano.
Kumbe BAN itanihusu muda wowote naomba nifute kauli juu ya hilo swali ......ila atakaepata jibu AJE
 
In any case ni uamuzi mzuri sana tena unaostahili kupongezwa. Tunamtakia kila la kheri.

Ila ajiepushe na drama zisizo na kichwa wala miguu. Ajielekeze zaidi kwenye mambo yanayomjenga!
 
Matokeo yake ya form four haya hapa.
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2011/csee2011/s3548.htm
lulu1.jpg
 
Dah... kweli Bongo movie sasa hailipi ..
 
Lulu naye! Anadhani hatujui anasoma hapo Magogoni hicho chuo kinaandaa masekretari.. Na wako kwenye mitihani kuanzia wiki jana.

Siku hizi ukisoma MS Word na XL Unasoma Engineering???[emoji23] [emoji23]
usije sababisha watu tukacheka kw nguvu sana serikali iingilie kati ikajua mnamkebehi apa [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kama kaenda kuchukua hapo sawaaaaaaaaaaaaaa atapata

lkn kama kaenda kusomea asahau hapati kitu
 
Back
Top Bottom