Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

shikamoo nyaoro,naskia anaweza kukushika miaka kumi
 

Anachukua au anataabikia?
 
Mbona kama alisema analipwa 15 mill kwa movie? Na hii ilikua 2015 kasema next year (2016) gharama zake zingekua mara mbili kwa kila movie..
 
mkuu ndio maana kasema anachukua teh teh
 
Kabisa! Hivi umeshapata kujiuliza alitumia Law ipi ya Issac Newton hadi kulipeleka chini jibaba kama Marehemu Kanumba?!
Labda alitumia ile mbinu aliyoitumia mfalme Daudi kumuua Gholiati.
 



Lulu mdo mdudu gani
 
Miongoni mwa wanafunzi maboya wa perfect vision huyu nae kwenye list alikuwemo,kutwa alikuwa anashinda kwenye vigenge vya chips na wadau nao walikuwa hawayumbi kumshesha humo no skul labda ushonaji kwa masista wa kijezuiti pale mbinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…