Lulu (Elizabeth Michael) awaogopa Wachawi kumtaja aliyemtundika Ujauzito wake


Mie mwenyewe nawashangaa sana Ig.Marehemu kaacha mjane hata le mutuz kasema.
 
Anaitwa LUSEKELO MWANDENGA, alikuwa anamuokoa Mtoto wake ndio yeye kuangukia kioo na kufa hapo hapo! Rip, soooo sad for loulou!

So hakua kwa Lulu? Huu umbeya nusunusu unatupa shida.
 
Alipata 4 billion akaacha mke, akaanza ku date na lullu, mpaka mauti, hawa wanaume zetu hawa........... Kha!

Nasikia alianza ukaribu na mkewe tena.Lulu alisemaga huyu jamaa anatoa asilimia tisin za expense za lulu kimaisha kwa sasa.Akasema ataolewa sijui vikaishia wapi
Mwe rip mfadhili ingawa atapata mfadhili mwingime mkali kuliko wewe.
 
poa amu mdogo wangu, wanadai they were together when the guy passed away leo jioni. Khaaaaa namhurumia
Teh Teh
Mmh nasikia harufu ya Manslaughter tena duu! Huyu binti ana hitaji maombi...
 
Last edited by a moderator:
Alipata 4 billion akaacha mke, akaanza ku date na lullu, mpaka mauti, hawa wanaume zetu hawa........... Kha!

Sikweli kuwa aliachana na mkewe alikuwa anamahusiano na Lulu huku pia akiwa anaendelea na mke wake, ila uhusiano wake na Lulu haukuwa wa kificho sababu yeye mwenyewe pia alikuwa anasema ana mahusiano na Lulu
 
Nop cyo gundu seki amefariki mc hana kwake mbezi beach alikua amekalia meza y kioo ghafla ikavunjika,so kioo kikamchoma kwenye paja mshipa ukakatika n tumboni so kapelekwa hosp bt bliding ilikua kubwa ndio akafariki do sad r.i.p mutu wa watu sekioni

Oky.Polen kwa kufiwa.
 
Alipata 4 billion akaacha mke, akaanza ku date na lullu, mpaka mauti, hawa wanaume zetu hawa........... Kha!

Dunia ina maajabu sana aiseee, yaani mtu unamuacha mkeo kisa Lulu!!
 
Nop cyo gundu seki amefariki mchana kwake mbezi beach alikua amekalia meza y kioo ghafla ikavunjika,so kioo kikamchoma kwenye paja mshipa ukakatika n tumboni so kapelekwa hosp bt bliding ilikua kubwa ndio akafariki do sad r.i.p mutu wa watu sekioni

even if binamu
ila lulu mi simuonei huruma ht kidogo
maana mke MUNGU kamlipa hapahapa shenzyyyyy zake
yaani mme wa mtu unaonesha ulimwengu mzima km anakuweka mjini
hv mkewe alikua anajiskiaje labda..!!!!
bora ulivyomchukua pumbavu zake huyu paka la baa
 
warumi nani anapokea rambirambi?
 
Last edited by a moderator:

hili nalo neno hilii...!!!
tutataskia mengi@nifah
 
Maskini kamefunga account ista namuonea huruma sana maana kidonda kimetoneshwa.
Namuomba Mungu awe sawa pia na yeye aombe sana na kusali maana...

Amina kwa dua njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…