Siyo hiyo hizo picha z ajali y jana zilikua hapa jf yeye kapata ajali ndani kwake leo mchana.lulu nipe mie nimlele kufa kupo tu binamu
Hajawahi mwacha mkewe hata cku moja na mali zake zote mkewe ndio alikua msimamizi thou ni muajiriwa w serikali.pia kuhusu 4bn ni kias kidogo sana mana alikua n assets more than hiyo hela kuanzia dar n dodoma.wanadamu tuna maneno sana sekioni alikua anamuheshimu mkewe sana n alikua anafanya umalaya kisiri.
Mwezi w 2 tulikua nae dom n mkewe amejenga hotel kubwa sana jirani n saint gasper ilikua ndio imefika ghorofa y 3.mkewe ni msomi so kila ki2 alikua anafuatilia kuanzia ma apartments dar na hostel dodoma anazo 4
Wala bidada hakuwa na makeke, amejishika na ajira yake, anamwacha mume ale ujana lakini ndiyo hivyoo Mungu kaamua yake.pesa mamaaa ..
pesa...!!!
anajua akiondoka ndo bas jeuri zote mjini kwishaaa...!!
Aah wapiii unasikia ana mtu wake anaitwa Johnson Lukaza alimuhonga gari ni papa fisadi.
Johnson Lukaza wa sakata la EPA google jina lake ana kampuni zaidi ya kumi hapa jijini ile chaser nyeupe ya.lulu yeye ndio alimuhonga
Changamkia fursa lakini shurti uwe na pesa na mke.
ile NYUMBA lulu kanunuliwa?
mkewe atakua jirani yangu dom mana nyuma ya st.gasper tuna kakibanda chetu pale
Binadamu tuna visa angemuheshimu mkewe angetoka nje ya ndoa yake,
Bado umechanganyikiwa tu
Wala bidada hakuwa na makeke, amejishika na ajira yake, anamwacha mume ale ujana lakini ndiyo hivyoo Mungu kaamua yake.
hili nalo neno hilii...!!!
tutataskia mengi@nifah
Hhhhaaàaa le mutuz akiiona hiii
kesho keshokutwa utasikia nimeokoka, akijisahau tu atakwapua tena zee lingine.
Kapangiwa, analipa laki tisa kwa mwezi, upo apo? ***** lulu anakula maisha nyie muache tu aenyeke uko, kasharusha roho watu sana
Siyo hiyo hizo picha z ajali y jana zilikua hapa jf yeye kapata ajali ndani kwake leo mchana.lulu nipe mie nimlele kufa kupo tu binamu
Kuna ghorofa hapo jirani alikua inajengwa kiwanja kina ukuta alikua anajenga hotel ya rum 30
Binadamu tuna visa angemuheshimu mkewe angetoka nje ya ndoa yake,
shenzyyyyy
wabaya wake leo fuu bata
bethdei binamu ipo lakini?