Lulu (Elizabeth Michael) awaogopa Wachawi kumtaja aliyemtundika Ujauzito wake

Da amekufa siku ya birthday ya Lulu da atakuwa analia mengi labda kuna zawadi angepewa leo.
 
Huyo mzee anapiga mizinga mbaya yeye anajua matajiri wote tz anajifanya anamjua seki kumbe kamba tu
le mutuz bwana,eti seki ni super friend wake,jamani le mutuz mabilionea wote ni masuper friend wake
 
le mutuz bwana,eti seki ni super friend wake,jamani le mutuz mabilionea wote ni masuper friend wake

Huyu mzee anapenda kujikweza sana ukimwambia ukweli anajifanya kasoma sana n blahblah kibao,cku zote ukiona mtu anajisifia ujue hana kitu maisha yke anayajua mwenyewe
 
Huyu mzee anapenda kujikweza sana ukimwambia ukweli anajifanya kasoma sana n blahblah kibao,cku zote ukiona mtu anajisifia ujue hana kitu maisha yke anayajua mwenyewe

Umeona eti kaweka picha yupo kwenye msiba analia kaficha USO Sijui alimwambia Mtu ampige picha ...watu kwa kupenda sifa.
 
Marehem hakuishi Mbezi Beach ila alokuwa anakaa Mivumoni Block 6. karibu na Madale. ambapo ana jumba la maana. Msiba huko hapo.
 
Sikweli kuwa aliachana na mkewe alikuwa anamahusiano na Lulu huku pia akiwa anaendelea na mke wake, ila uhusiano wake na Lulu haukuwa wa kificho sababu yeye mwenyewe pia alikuwa anasema ana mahusiano na Lulu
ahsante kwa kunielewesha mwaya!
 
Uigizaji? Kuendekeza ngono mtoto mdogo ndo maana yanamkuta makubwa, mama yake naye tumchambe, anajua fika mwanae anatoka na mume wa mtu, ye anafuraia tu pesa, mama lulu sio mlezi mzuri, atamuua mtoto wake nakwambia kwa kuendeza tamaa
mama lulu ni sheitwani wallahi! enzi zangu mama akisikia tu tetesi za jirani fimbo utakazokula na kuhamishwa shule hutarudia, ndio itakuwa mume wa mtu kweli??
 
mama lulu ni sheitwani wallahi! enzi zangu mama akisikia tu tetesi za jirani fimbo utakazokula na kuhamishwa shule hutarudia, ndio itakuwa mume wa mtu kweli??

Ukite mama mtu ndo kamshauri beba na mimba ili ule hela zake vizuri
 
Hivi wa kulaumiwa ni Lulu au Seki mwenyewe yeye anamke kilichomfanya kuwa na Lulu ni nini?Kama alikuwa hana maelewano na mkewe na akawa anahitaji mchepuko si angeenda pale sinza akajitimizia haja zake maisha yakaendelea.
 
mtoto asione kichaka anataka kunyaaa!! aendelee kuiba atakuja kutembea uchi Kariakoo. me naona wanamchelewesha huyu mtoto, wamnyweshe dawa.
 

Me naomba kufahamu aquarius ndio nyota gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…