Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaani nina tetesi sijui umbea
Zilisikika tetesi lulu michael yule muigizaji huwa anaendaga kwa mganga kuroga,sasa akapewa masharti ya kumtoa mama ake kafara,akashindwa so akaambiwa kama huwezi mama ako,basi mtoe mwanaume yeyote ambae nyota ake inafanana na mama ako ambayo ni Aquarius,thats why Kanumba was Aquarius,and so the new guy he is dating now
Ni mme wa mtu anaitwa Seki,sasa the wife ni mcha mungu,anaomba sana..she travelled akaenda kwa tb joshua,tb joshua akamwambia sali sana mama,kuna msichana yupo ivi ivi na ivi(features za lulu michael)
Akaambiwa uyo msichana ana mganga wake ambae wameingia kwenye maagano ya kutoa watu kafara ambao wana nyota ya aquarius so omba sana mama maana maisha ya mume wako yapo hatarani
Mwanaume kaja kuambiwa,haelewii maana nasikia anampenda hotlulu haelewii..
Hapa ninavyosikia the guy amefariki tena kama kifo cha kanumba cha kudondoka na kupiga kichwa chini..
Na leo ni birthday ya lulu..
Huyu alisema ameshasonga mbele mama Kanumba asimsumbue na zile ahadi.Eti alishalia sana anachojali ni mwanae na mamake.Alisahau hii dunia tu.
Jamaani nina tetesi sijui umbea
Zilisikika tetesi lulu michael yule muigizaji huwa anaendaga kwa mganga kuroga,sasa akapewa masharti ya kumtoa mama ake kafara,akashindwa so akaambiwa kama huwezi mama ako,basi mtoe mwanaume yeyote ambae nyota ake inafanana na mama ako ambayo ni Aquarius,thats why Kanumba was Aquarius,and so the new guy he is dating now
Ni mme wa mtu anaitwa Seki,sasa the wife ni mcha mungu,anaomba sana..she travelled akaenda kwa tb joshua,tb joshua akamwambia sali sana mama,kuna msichana yupo ivi ivi na ivi(features za lulu michael)
Akaambiwa uyo msichana ana mganga wake ambae wameingia kwenye maagano ya kutoa watu kafara ambao wana nyota ya aquarius so omba sana mama maana maisha ya mume wako yapo hatarani
Mwanaume kaja kuambiwa,haelewii maana nasikia anampenda hotlulu haelewii..
Hapa ninavyosikia the guy amefariki tena kama kifo cha kanumba cha kudondoka na kupiga kichwa chini..
Na leo ni birthday ya lulu..
Nop cyo gundu seki amefariki mchana kwake mbezi beach alikua amekalia meza y kioo ghafla ikavunjika,so kioo kikamchoma kwenye paja mshipa ukakatika n tumboni so kapelekwa hosp bt bliding ilikua kubwa ndio akafariki do sad r.i.p mutu wa watu sekioni
Alipata 4 billion akaacha mke, akaanza ku date na lullu, mpaka mauti, hawa wanaume zetu hawa........... Kha!
even if binamu
ila lulu mi simuonei huruma ht kidogo
maana mke MUNGU kamlipa hapahapa shenzyyyyy zake
yaani mme wa mtu unaonesha ulimwengu mzima km anakuweka mjini
hv mkewe alikua anajiskiaje labda..!!!!
bora ulivyomchukua pumbavu zake huyu paka la baa
Huyu alisema ameshasonga mbele mama Kanumba asimsumbue na zile ahadi.Eti alishalia sana anachojali ni mwanae na mamake.Alisahau hii dunia tu.
Mbona nasikia kapata ajali? Na picha yake ninayo apa inatisha sana
Nipo njian naelekea mbezi ivoo, maana nimechanganyikiwa apa ata sielewi utadhan marehemu ni kaka angu
Hajawahi mwacha mkewe hata cku moja na mali zake zote mkewe ndio alikua msimamizi thou ni muajiriwa w serikali.pia kuhusu 4bn ni kias kidogo sana mana alikua n assets more than hiyo hela kuanzia dar n dodoma.wanadamu tuna maneno sana sekioni alikua anamuheshimu mkewe sana n alikua anafanya umalaya kisiri.
Mwezi w 2 tulikua nae dom n mkewe amejenga hotel kubwa sana jirani n saint gasper ilikua ndio imefika ghorofa y 3.mkewe ni msomi so kila ki2 alikua anafuatilia kuanzia ma apartments dar na hostel dodoma anazo 4
Ha ha ha ha!
Nmecheka utadhani sipo msibani.Utanikuta hapa ila msiba wa mabilionea hamna kulia.Kama umevaa ovyo kajipange.
Maskini lulu anaambulia maumivu tu arithi ata kijiko manina, raha zote zimemuisha
Ubuyu njoo..utamu kolea
Wekeni picha za huyo shemeji basi.
may his soul rip
Lulu ana makubwa, anatoka na watu wazito