Lulu (Elizabeth Michael) kuachiwa kwa dhamana

Lulu (Elizabeth Michael) kuachiwa kwa dhamana

hebu jiulize kama marehemu angekuwa hai ungekuta yeye ndo yupo ndani kwa kutembea na kajitoto ka miaka chini ya 18

Mbona walikua na mahusiano mda mrefu tu, na siyo yeye hata Ray kashakili kua kalishatembea nae. Ukitajiwa wengine waweza zimia wewe unaekaita katoto.
 
Pole zake lulu,, mwache arudi nyumbani apumzike maana mwaka 2012 hatausahau maishani mwake...

Wenye uelewa wa mambo ya dhamana mnisaidie ili swali " hivi hiyo hela aliyotolewa dhamana itarudishwa kama akishinda kesi au ndo mali ya mahakama?

Inalipwa kama mtuhumiwa atakula kona otherwise hapana.
 
Pole yake,mambo ya kesi huwa ni magumu sana na kukaa mahabusu si jambo dogo
 
Akina Ruge na Shigongo washapata dili.

Watatulipisha viingilio kwenda kumuona Dar live na ziara za mikoani.

Subiri uone kuanzia kesho magazeti ya bwana shigongo atakavyoanza kuandika ....
 
basi ndio kitajiona yeye ndio hero,kitaanza kutuonyesha vichupi sasa hivi,katoto kadoogo umezidiwa na ushenzi,lamda anaweza kufikiria kwamba mungu yupo na alishamchoka na upuuzi wake,
 
Wanaume watakuwa wanamwogopa wasije kuwa Kanumba wa pili!? Chezea kifo wewee.....!!!
 
hivi lulu alikuwepo jf kweli maana kama alikuwa memba itabidi tumuambie siku hizi kuna name tagging na memba wameongezeka na kufikia laki moja na... karibu sana uraiani chezea masonic mission wewe..
 
Pamoja na kwamba dhamana ni haki ya kila raia kisheria,ni nani yupo nyuma ya kesi ya Lulu?.Ni watanzania wangapi wanakaa maabusu kwa muda mrefu bila kupata dhamana wala kesi zao kuanza kusikilizwa?,kwa kesi hii inaenda haraka kuna nini hapo?,Je haya si mambo yanayoamsha hasira kwa wananchi?
 
Inabidi nimtafute lulu wangu leo baada ya kuachiwa tukapate chakula pamoja..najua atakua na hamuuuuu si ujua siku nyingi..ila nasikia anamimba???

Kwani wewe ndo IYENA IYENA!? maana naskia ndo mpenziwe aliyebaki baada ya the great ku concusion
 
Pamoja na kwamba dhamana ni haki ya kila raia kisheria,ni nani yupo nyuma ya kesi ya Lulu?.Ni watanzania wangapi wanakaa maabusu kwa muda mrefu bila kupata dhamana wala kesi zao kuanza kusikilizwa?,kwa kesi hii inaenda haraka kuna nini hapo?,Je haya si mambo yanayoamsha hasira kwa wananchi?

Inawezekana kuna invisible back up, si kamesha accomplish mission,!? sasa wanafanya ku clear her way back
 
acheni kusema mbofumbofu juu ya Lulu baana! watu tumewekeza hapo mil. 20 zetu halafu mnasemasema mbooofu! au ndo 'sizitaki mbichi hizi' za sungura aliyeshindwa?!
 
acheni kusema mbofumbofu juu ya Lulu baana! watu tumewekeza hapo mil. 20 zetu halafu mnasemasema mbooofu! au ndo 'sizitaki mbichi hizi' za sungura aliyeshindwa?!

Hata wewe!?? mi nilidhani ni IYENA IYENA peke yake, tuko wangapi!?
 
Acha kumtukana marehemu humjui vizuri huyo unaemtetea, ukijua kua huyo binti ana rekodi hadi za kutembea na vizee venye vitambi utafanyaje.

hamna mwenye haki hapo kati ya vizee vyenye vitambi na kanumba, wote ni wabakaji!! tufuate sheria ndugu yangu unaye au unatarajia kuwa na mtoto wa kike ina maana mtoto wako akirubuniwa na mzee na kubakwa basi haki zake za msingi kama mtoto zinapotea na kuwa wa kubakwa na kila mwanaume?
 
Back
Top Bottom