Lulu hakumuua Kanumba, toka mahabusu Mpaka Mfungwa wa nje!

Hivi ni mimi tu ndiye ambaye sijauelewa huu uzi?

1. 2012 alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela,
2.Lulu amebadilishiwa adhabu na ameachiwa juzi!

Kwani sasa hivi tupo mwaka gani? huenda mimi ndio nikawa nyuma ya muda.

2024 -2012 =12 years.
kaka sisi tunasoma nakuandika tu hesabu hatujui sie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…