Lulu hakumuua Kanumba, toka mahabusu Mpaka Mfungwa wa nje!

Lulu hakumuua Kanumba, toka mahabusu Mpaka Mfungwa wa nje!

Si Nzi alifia kidondani?
Kumbuka hakuna mtu ambaye alijua kama ni wapenzi?
Hkuna aliyejua kama katoto kashatolewa bikra kakiwa kwenye vipindi.
Kumbuka kama ingefahamika jamaa angepewa kesi ya ubakaji.
huyu mtoto is smart, asilaumiwe maana aliubuniwa, alikuwa mdogo.
Tena Kipindi hicho Kanumba ndio Director unakuta alimwambia usiponipa huonekani kwenye TV
 
Back
Top Bottom