ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nimegoogle ni kioskihv huwa ni kioksi au kioski?
Upo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegoogle ni kioskihv huwa ni kioksi au kioski?
Situmii kileviKishalewa huyo tayari,Mama fatuma kamuhudumia pombe za kutosha.
😀 😀
HatersMajizo ni mshamba mmoja hapa duniani anayebebwa na pesa
ukiambiwa ukweli unasema chuki.we mwenyewe mbona unawakosoa watu. kwa hiyo ukikosolewa mapungufu yako ni chukiHaters
InaishajeKwani bado ipo?
Miaka hii kulea watoto inahitaji commitment ya Hali ya juu sana, wazazi nao wamekua bize ule ukaribu na watoto wao umepungua Sana miaka sisi tunakua ilikua nadra kuskia matukio ya ajabu kuwakumba watoto...hata focus ya malezi ilikua kwa mtoto wa kike zaidi ila miaka hii ukizingua kidogo ushaharibu pakubwaKosa la mtu mzima.
Believe me , mtoto chini ya miaka 18 hajui lolote, akidanganywa tu anaingia mkenge.
Fikiri nani alikuwa anamtoa nyumbani, kumpeleka ITV kipindi cha watoto wetu, kumrudisha, lazma ni wazazi wake na walimuamini Kanumba.
Sad.
#Nawashangaa wazazi wanamkabidhi mtoto "kwa mwalimu wa dini" hizi dini mhusika analawiti watoto 15.!
Mzazi anakabidhi katoto kake saluni ya kiume kasukwe rasta yeye anarudi after 3 hours.
Abby ephen charmsLike mother like daughter
NifafanulieAbby ephen charms
Statement yako ilinikumbusha yule mama aliekua anaenda studio na Binti yake na anafanya nae media tour kama sikosei Abby charms(Sina hakika na jina)Nifafanulie
Upo sahihi!Statement yako ilinikumbusha yule mama aliekua anaenda studio na Binti yake na anafanya nae media tour kama sikosei Abby charms(Sina hakika na jina)
Tz uwe muuza madawa,jambaz,mbakajiA convicted felony! Anawekwa, karibu na Rais wa nchi! Wanasafiri pamoja,! Only in the banana republic, nchi inaendeshwa kishikaji!
Kanumba alikuwa anakadinya haka kadem kinyemela 😄Hivi Kanumba hana hatia ya kubaka?
Umewaza mbali sana mkuuA convicted felony! Anawekwa, karibu na Rais wa nchi! Wanasafiri pamoja,! Only in the banana republic, nchi inaendeshwa kishikaji!
Jitahidi some vizuri. Ndipo utaelewa lengo la mtoa mada.Sijaelewa hii habari maana yake nini.
Au ni leo ndio amebadilishiwa kifungo?
Kibongo bongo mabinti wengi wanaanza kua free wakienda chuoUpo sahihi!
Mtoto wa kike utakiwi kumpa uhuru kile kipindi cha miaka 12 hadi 19
Ni kweli kabisa mkuu.Kibongo bongo mabinti wengi wanaanza kua free wakienda chuo
Sio chuo Tz watu wanakulana sanaNi kweli kabisa mkuu.
Huko chuo nasikia wanaliwa sana