Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Bongo kuna mambo ya ajabu sana mkuuSio chuo Tz watu wanakulana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo kuna mambo ya ajabu sana mkuuSio chuo Tz watu wanakulana sana
Miaka 17 ni mkubwa anaweza kuolewa kama amevunja ungo na akazaa biala shakaSema nae kanumba alikua fala sana wakati ule alikua star mkubwa ilikuaje akawa anamdinya lulu akiwa na miaka 17
Mkeo ulimuoa kabla hujamt..mba?Kanumba hakumuoa Lulu.
Sheria ipi wakati sheria inasema miaka 14 unaoaMuonekano wa nje una nafasi ndogo sana kwenye field ya 6 by six
UMalaya hauna umri.Sema nae kanumba alikua fala sana wakati ule alikua star mkubwa ilikuaje akawa anamdinya lulu akiwa na miaka 17
Mama mwenyewe si alikuwa mcharuko? Mbona nilisikia sikia? Tena eti kuna njemba ilikuwa inawakula wote!! Mama+mtoto.Sasa si anaenda kwa staa atamkataza vp
si unajua tena mm nilikuwa kichwa kwa darasa,Nimegoogle ni kioski
Upo sahihi
sasa mbona namuambia atume lipa namba niklie bili hataki? ephen_Kishalewa huyo tayari,Mama fatuma kamuhudumia pombe za kutosha.
Kama tu Kajala na Paula, wazazi wa hovyo huwafanya watoto wao kuwa hovyo zaidi, Zuchu si ni mama yake mtupu? Mwana umleavyo ndivyo akuavyo.Like mother like daughter
hutaki kulipiwa weye?Nishalipa
kapteni komba🥲🥲🥲🥲Kawaida sana mkuu kanumba alikua na 28 years kipindi
Kama lulu alikua napigwa mpaka na kapten komba unategemea nini😂😂
Ila ata sasa kijana wa 28 years kujigongea kabinti ka miaka 15 mpaka 18 ni kawaida tu
Wee shida yako nini?Kweli hii kitu hainaga makombo, Majizo anaona ngoma mpya hii.
Ukitaka kuona ya zaidi basi tembelea South africa, utayaona hadi ya mwaka 2070.Bongo kuna mambo ya ajabu sana mkuu
Mbona povu? Pita taratibu usinikanyage.Wee shida yako nini?
Mbona we mwenyewe makombo ?
Akuuuuhutaki kulipiwa weye?
waogopa kudaiwa?Akuuuu
Hii ndio point sasaKipindi kile alikua kwenye prime yake sijui manzi gani ingemkazia sema yy kaamua kukapelekea moto kale katoto
By the way utakuta marehemu alikuwa anapiga kitambo tuSio mtoto kiivo, ila huwezi sema unazama nae huko Bagamoyo lodge ijumaaa jioni afu jpili saa nne unarudi nae mjini
Mimi nahisi alianza kupata tangia akiwa mdogo zaidi17 ni mtoto jamani!
Untaka kusema watoto wenye malezi wa Dar es salaam kwa umri wa 17 years wameshajua mambo ya wanaume?